Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mr Assist
Screenshot_20230313-074636.png
 
Arsene Wenger "Football should be an Art "




Match Ya jana Fulham vs Arsenal Ndio ilitupa tafsiri kwanini team nyingi zikicheza na sisi zinapaki Bus

karibu dakika 8 za mwanzo Fulham walijitahidi kutupress na kushambulia kufunguka ili ndio kosa lao kubwa

Arsenal anacheza kwa Pattern ( Muundo ) ambao unajirudia kila siku kuanzia mikimbio wa wachezaji hadi nafasi ( Positioning) ukitaka kumpress Arsenal hakikisha huachi gape lolote

Arsenal ana press Resistance players Zinchenko , Partey , ambao uchezaji wao unaanza chini kabisa

Fulham ndipo wakaja kuadhibiwa sababu walifunguka Kutoa Gapes ambazo wachezaji Arsenal hawakutumia Nguvu nyingi Kufunga magoal kumbe ukitaka cheza toe to toe na Arsenal hii jipange



Wachezaji wanakimbia nafasi zile zile muda ule ule hii sio ilimradi ni kazi kocha kwahyo ambae anasema ni haoni kazi kocha anakosea mno

Leoandro Trossad anatoka na assits 3 anaingia Jesus

Amigo adios hermanos
IMG-20230313-WA0001.jpg
 
Arsene Wenger "Football should be an Art "




Match Ya jana Fulham vs Arsenal Ndio ilitupa tafsiri kwanini team nyingi zikicheza na sisi zinapaki Bus

karibu dakika 8 za mwanzo Fulham walijitahidi kutupress na kushambulia kufunguka ili ndio kosa lao kubwa

Arsenal anacheza kwa Pattern ( Muundo ) ambao unajirudia kila siku kuanzia mikimbio wa wachezaji hadi nafasi ( Positioning) ukitaka kumpress Arsenal hakikisha huachi gape lolote

Arsenal ana press Resistance players Zinchenko , Partey , ambao uchezaji wao unaanza chini kabisa

Fulham ndipo wakaja kuadhibiwa sababu walifunguka Kutoa Gapes ambazo wachezaji Arsenal hawakutumia Nguvu nyingi Kufunga magoal kumbe ukitaka cheza toe to toe na Arsenal hii jipange



Wachezaji wanakimbia nafasi zile zile muda ule ule hii sio ilimradi ni kazi kocha kwahyo ambae anasema ni haoni kazi kocha anakosea mno

Leoandro Trossad anatoka na assits 3 anaingia Jesus

Amigo adios hermanosView attachment 2548847

Hahaha ninaipenda arsenal lakini wewe umenizidi, I guess Arsenal comes into your dreams very often.
 
GOAL.com imeambiwa kwamba (Saa) ni sehemu ya mpango mpana zaidi wa Arteta wa kufanya vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa ugenini wahisi kama vya nyumbani. Jumapili ilikuwa mara ya Kwanza kutumika na ndiyo maana wachezaji walitaka kupiga nayo picha.


@charles_watts wa Goal.com
IMG_20230312_204627.jpg
 
Imagine double 8 ya Odegaard na huyu Savic

Jamaa anajua kufunga na kuassist

Naona mikakati msimu ujao eneo la xhaka ni kuzalisha magoli

Arsenal ready to take steps to sign Milinkovic Savic. Lazio want 50m euros. Player agent trying to get it done for 35-40m euros.

(@Gazzetta_it )
 
Arsenal technical director Edu:

"People were making jokes about our process. I think we were quite clear about all the steps and what we went through.

We knew we were going to go through some challenging periods because we had to make some unpopular decisions."

[Standard
 
Kuna mdau wa manjesta alikuwa anasema city msimu huu kashuka , nilimshangaa Sana

Kwa hizo data kashuka yes
Mwaka huu mechi 27 points 61
Mwaka jana mechi 27 points 66
Kashuka points 5
Mwaka juzi mechi 27 points 62
Kashuka point 1
 
Arteta:

"You need players that have the experience in the Premier League and they’ve done it here, so in terms of adaption the process it is much quicker."


“But as well they (Liverpool) bought players with European experience, playing in big national teams with big responsibilities - and, don’t forget, for a big amount of money as well.”
 
Kwa hizo data kashuka yes
Mwaka huu mechi 27 points 61
Mwaka jana mechi 27 points 66
Kashuka points 5
Mwaka juzi mechi 27 points 62
Kashuka point 1
Hapo inaonesha Range yake ni hiyo hiyo , kushuka ingekuwa Kama kilichomtokea Liverpool au apotee kwa point 10

Lakin standards zake unaona ni average ya points 55 kila msimu
 
Hapo inaonesha Range yake ni hiyo hiyo , kushuka ingekuwa Kama kilichomtokea Liverpool au apotee kwa point 10

Lakin standards zake unaona ni average ya points 55 kila msimu

Angekua na points 66 angeongoza league kwa goals df dhidi ya Arsenal’s amateur team.
Yes kashuka
 
Kwa hizo data kashuka yes
Mwaka huu mechi 27 points 61
Mwaka jana mechi 27 points 66
Kashuka points 5
Mwaka juzi mechi 27 points 62
Kashuka point 1
Kuna hoja kwamba arsenal yupo juu sababu ya ubovu wa Chelsea man u na Liverpool, swali nililouliza kipindi hizo timu sio mbovu walifikia idadi ya points ambazo zimekusanywa na arsenal msimu huu kwa mechi 27?
 
Back
Top Bottom