johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,253
mara ya mwisho kumfunga city gardiola alikua kocha wa barca ata droo ujawai toa ww na uchambuz mchwara[emoji16][emoji16]Mtoe Chelsea hapo anakuja Emirates machinjion
Binafs mech ngumu ilikuwa ya leo na ya Liverpool
City alitufunga ila Kama ukiichunguza vzr ile mech tulizingua wenyewe
Pamoja na Kumkosa Partey ,nketiah kukosa magoli ,mechi tuliidominate Sana
Sijui kwanini mancity Sina hofu nao kabisa tofaut na Liverpool