Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaongoza mbili
JamiiForums1403530734.jpg
 
Kulikoni humu? Mbona hata Uzi wa Man UTD unaripoti matokeo ya mechi yetu kama LiveScore vile?
 
Mlikua mkifungwa hamfungwi nyingi. Hamkua na shida kubwa kiulinzi tatizo lilikua kuscore
Yah kabisa kumpiga 3 leceister city Tena pale kwake sio mchezo ndio mabadiliko yanaanza kutolea taratibu taratibu mwisho wa siku tutakuwa na wastani mzuri wa kufunga magoal
 
Back
Top Bottom