Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuna Agent wetu Willian huko mtakiona Cha mtema kuni Tena ana hasira na nyinyi ile mbaya
 
Kuna watu wanakwambia Tuna kikos finyu

Arsenal Bench today: Matt Turner, Tierney, Nelson, Vieira, Jorginho, Jesus, Smith Rowe, Tomiyasu & Holding

With Eddie & Kiwior still to come[emoji2969]

They are very right, injuries to 3 starting players, could leave us in trouble
 
Agent wenu?

Hivi unajua Fulham waliwafunga na Willian aliwapiga kimoja? 😂😂
Ndio alitufunga lakini hatukuwa kwenye position yoyote either ya big four au ubingwa ila nyinyi mpo kwenye position ya kuchukua ubingwa so lazima atataka kuwaharibia shughuli
 
As a team tumesharudi kwenye ubora wetu now unaona idea ya namna tunavyokaba, kumshambulia tofauti na Mwanzo, system ya team inapokuwa imara hata wachezaji nao wanaimarika
Mlikua mkifungwa hamfungwi nyingi. Hamkua na shida kubwa kiulinzi tatizo lilikua kuscore
 
[emoji4]wenye wivu wajinyonge
JamiiForums-1689493570.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom