Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nafikiri CB partnership ya leo kwa Fulham is brilliant full backs wao wako partnered na wings ambazo wote wana pace so if it clicks kama kwenye paper wanavyotaka they will be more of a threat going forward.

CM wao ambaye naona yupo serious na kazi ni Lukic, its just that Partey is so good that mid nyingi knelt before him so hata huyu akifunikwa its fair but siyo mbaya.

Martinelli hua anapress so nafikiri atamsaidia vizuri Zinchenko, Reid ni msumbufu na Mitrovic ni finisher mzuri.

Sioni Fulham akienda toe to toe na Arsenal so ni atarely kwenye counter na kupaki basi. Odegaard kama ameamka vizuri siyo mvivu kushut nje ya boksi same kwa Trossard na Partey.

Mpinzani akichoka then its fair akaingia Emile he is usually good akiingia kama sub so sioni leo akishindwa fanya jambo.

As usual Arsenal kushinda siyo habari, habari ni Arsenal kufungwa
 
Tuna Agent wetu Willian huko mtakiona Cha mtema kuni Tena ana hasira na nyinyi ile mbaya
 
Kuna watu wanakwambia Tuna kikos finyu

Arsenal Bench today: Matt Turner, Tierney, Nelson, Vieira, Jorginho, Jesus, Smith Rowe, Tomiyasu & Holding

With Eddie & Kiwior still to come

They are very right, injuries to 3 starting players, could leave us in trouble
 
Agent wenu?

Hivi unajua Fulham waliwafunga na Willian aliwapiga kimoja? 😂😂
Ndio alitufunga lakini hatukuwa kwenye position yoyote either ya big four au ubingwa ila nyinyi mpo kwenye position ya kuchukua ubingwa so lazima atataka kuwaharibia shughuli
 
As a team tumesharudi kwenye ubora wetu now unaona idea ya namna tunavyokaba, kumshambulia tofauti na Mwanzo, system ya team inapokuwa imara hata wachezaji nao wanaimarika
Mlikua mkifungwa hamfungwi nyingi. Hamkua na shida kubwa kiulinzi tatizo lilikua kuscore
 
wenye wivu wajinyonge
JamiiForums-1689493570.jpg
 
Back
Top Bottom