Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pressure ya mashabiki, mashabiki safari hii Wana mzuka sana na Team yao hadi wachezaji wanakuwa wanacheza kwa hofu pindi wanapokuwa Emirates

kwa kuhofia kuwaangusha Washabiki ambao wanashangwe mwanzo mwisho bila kujali matokeo lakini pia kama hiyo haitoshi wanakuwa na hofu na kuwaumiza moyo mashabiki wanaolipa viingilio vikubwa kuliko Team zote EPL
Exactly na hii ndo sababu tunakua kama hatujiamin alaf ukizingatia mafans wanakua na shangwe na vibe exercise
Inachangia pressure kuzid Kwa wachezaj
 
Ukinuna uwe na sababu basi
20230312_175730.jpg
 
Nimefurahi pia kwamba msimu ulipoanza wengi tulikuwa tunawaza kutoboa top 4. Sasa top 4 inaonekana kama inawezekana au imeshawezekana na tunawaza kupambania title. Very positive.
Jinsi ligi inavyoeenda ni vizuri kutengeneza goli difference kubwa, winner could be decided by goal differences, you never know.
 
Back
Top Bottom