usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,092
Exactly na hii ndo sababu tunakua kama hatujiamin alaf ukizingatia mafans wanakua na shangwe na vibe exercisePressure ya mashabiki, mashabiki safari hii Wana mzuka sana na Team yao hadi wachezaji wanakuwa wanacheza kwa hofu pindi wanapokuwa Emirates
kwa kuhofia kuwaangusha Washabiki ambao wanashangwe mwanzo mwisho bila kujali matokeo lakini pia kama hiyo haitoshi wanakuwa na hofu na kuwaumiza moyo mashabiki wanaolipa viingilio vikubwa kuliko Team zote EPL
Inachangia pressure kuzid Kwa wachezaj



Arsenal are 16 points above title contenders Manchester United