Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"We have Eddie (Nketiah), Gabriel (Jesus) and Leo (Trossard) out" -

Mikel Arteta on team news ahead of Fulham

(@footballdaily)
 
Mechi ya kesho ni ngumu Sana

Fulham wagumu halafu tupo away

Tunawakosa CF wetu wote watatu

Jesus

Nketiah

Trossard

Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko hata ya Liverpool away
 
Yale yale tu ya Arsenal mmestruggle wakienda wao wanakufa kabisa
 
Mechi ya kesho ni ngumu Sana

Fulham wagumu halafu tupo away

Tunawakosa CF wetu wote watatu

Jesus

Nketiah

Trossard

Kwangu hii ni mechi ngumu kuliko hata ya Liverpool away
#KOCHA WA MPIRA#

Vijana wa asenane wanaweza wakabisha, watataka kale kakatuni kanakoruka ruka kwenye touchline ndio kapewe
-650837555.jpg
 
Arsenal’s Ukrainian superstar Oleksandr Zinchenko is one of the most technically gifted ballers on Earth.

His quality shines through game after game, nothing ruffles him, he’s like a raging fire that can’t be tamed.

Premier League Player of the Season so far
IMG_20230304_215529.jpg
 
Ni utimamu tu wa kutumia nafasi na kumaliza mchezo mapema!
Bila hao watatu tumekuwa ovyo kutumia nafasi

Tunashambulia Sana ,tuna create nafasi nyingi ila hatuzitumii

Ndio maana naiona mechi ya kesho tukiivuka Basi ni mpela mpela

Maana baada ya kesho , wawili watarudi , Nketiah na Jesus ,Kisha after International break wote watatu watakuwa fit
 
Arteta kazungumza hili swala la kutotumia nafasi

Kama Kocha kaliona Basi atalifanyia kazi


| Mikel Arteta:

“We’ve been really good at preventing chances but not good enough in the last two weeks, and doing the right things in the box.”


[@arsenal] #afc #FULARS
 
Ni utimamu tu wa kutumia nafasi na kumaliza mchezo mapema!
Mwalimu kalisema kwenye press tutegemee kuona mabadiliko ,japo Imani yangu inaniambia watakaporejea Trossard,Jesus na Nketiah

| Mikel Arteta:

“We’ve been really good at preventing chances but not good enough in the last two weeks, and doing the right things in the box.” [@arsenal]
 
Hivi inakuaje wachezaji wetu huwa hawashoot mpira golini?

Game ya sporting na nyingine kabla unakuta Granit/Øde anapata nafasi ila hashoot anataka kutoa pasi shida ni nini au maelekezo ya mwalimu?
 
Hivi inakuaje wachezaji wetu huwa hawashoot mpira golini?

Game ya sporting na nyingine kabla unakuta Granit/Øde anapata nafasi ila hashoot anataka kutoa pasi shida ni nini au maelekezo ya mwalimu?
Kazi ya mwalimu ni kutengeneza system ya ku create chances za kufunga

Maamuzi ya kushuti ni wao wenyewe


Ni sawa na anayekosa Goli na nyavu ,
 
There is a fear that Eddie Nketiah may not be available again until after the international break.

[@charles_watts] #afc
 
Back
Top Bottom