Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wasilazimishwe kuwahi. Fulham ni kueadhibiti wasipate chances then piga msako na shoot often. Hapo Nelson, Saka na Martinelli wanatosha. Kama hawatumii nguvu sana then Vieira anatosha kama assister mkuu
Mid anakaa nani? Hii Fulham siyo weak kiasi hicho. They are more physical and pacey Vieira physically atakua bullied na hawa watu
 
Jezi yangu ya MITROVIC ishakauka wewe huko je.
1657903745907.jpg
 

Attachments

  • 20230308_211817.jpg
    20230308_211817.jpg
    53 KB · Views: 14
Yule bwana mdogo winger wa Napoli anajua, navyomuona Kvara hana tofauti na Mudryk talent-wise.
Kichekesho ni kwamba dogo kabla hajaenda Napoli alikua na rekodi mediocre mno.

Ila alivyofika Napoli yupo on fire mno. Kwa maoni yangu Mudryk haiingii kwa Kvitcha in terms of chance creation, ability ya one two na kua constant threat muda wote
 
Back
Top Bottom