Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game plan ya bornamouth ndio hiyo hiyo tunaitumia tukikutana na manjesta

Bado hamna timu ya kubishana toe to toe na Arsenal

Hiki kitu hamtaki kuelewa ndio maana mmepigwa 7-0
Watu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal. 😂

Kuna levels kwenye football, nyie mnaweza kutufunga kwenye ligi lakini haimaniishi mpo vizuri kwenye big stage, Europe.
 
Hawa Home watakula nyingi

Leo walitakiwa angalau washinde

| Mikel Arteta on the second leg vs Sporting CP:

“Everything is still to play for and we get to play at home and now we have to show that we are the better team.” [via BBC] #afc
Europa hakuna ushindi wa janja janja. Tumekaaa pale kusubiri 2nd Leg.
 
Watu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal.

Kuna levels kwenye football, nyie mnaweza kutufunga kwenye ligi lakini haimaniishi mpo vizuri kwenye big stage, Europe.
Sawa tunawangoja
 
Fabio Viera the DELIVERER, William SALIBA the FINISHER.

Assist ya 6 Kwa Fabio Viera msimu huu na inamfanya kuwa sawa na Martin Odegaard na Gabriel Jesus.Kinara ni Bukayo Saka na Assist 9 kwenye mashindano yote

Ukiiwekea Muktadha unaona ni msimu wa kwanza wenye mafanikio kwa Fabio Viera ikiwa ameanza kikosi Cha kwanza mechi 12 tu.

Leo akiwa amepewa Majukumu ya Martin Odegaard kikosini kama #8 ule upande wa kulia kwenye 4-3-3 ya Arteta. Kila pasi yake ilikuwa sumu.Kijana anaendelea kukua Kimwili,nguvu na akili.Mafanikio yake ndani ya Arsenal hayaepukiki

MIKEL ARTETA aliikabili vizuri sana 3-2-5 ya Sporting Lisbon kwenye kushambulia na 5-2-3 Bukayo Saka akishuka zaidi kwenye mstari wa Mwisho.Tatizo ilikuwa kupiga pasi ambazo hazina macho wakati team inatoka kuanzia nyuma.

JAKUB KIWIOR alipewa mechi yake ya kwanza tangu ametua kutoka Spezia.Haikuwa mechi nzuri sana lakini bado unaelewa kwa kijana.Baadae Aliingia Gabriel MAGALHAES na utulivu ukarejea.

Arsenal wanaonekana kuwa na Faida nyingi kimbinu na Kiufundi dhidi ya Sporting Lisbon Lakini Sporting Lisbon wamefanya mechi iwe ngumu na tamu.Kwanini?

Kwasababu kwanza ya Mabadiliko Makubwa ya kikosi ambayo Mikel Arteta ameyafanya kwenye kikosi Cha kwanza.Lakini pia Sporting Lisbon wana mafundi wa kuichukua na kuitawala mechi kutoka kwa Arsenal

Welcome to the Emirates SPORTING LISBON

FT UEFA Europa league Sporting Lisbon 2-2 Arsenal
 
Watu tunashindana na Barcelona yenye World-class players uje ufananishe na Arsenal. 😂

Kuna levels kwenye football, nyie mnaweza kutufunga kwenye ligi lakini haimaniishi mpo vizuri kwenye big stage, Europe.
Na zile 7-0 vipi naona hujazungumzia hapo😂
 
Fabio Vieira stats this season so far:

Starts - 12
Goals - 2
Assists - 6

Mikel Arteta thinks Fabio deserves more minutes. He's one of the top talents at Arsenal.

Can we agree with Mikel on this one!?
IMG_20230310_132321.jpg
 
Fabio Vieira stats this season so far:

Starts - 12
Goals - 2
Assists - 6

Mikel Arteta thinks Fabio deserves more minutes. He's one of the top talents at Arsenal.

Can we agree with Mikel on this one!?View attachment 2544360
bdo hayuko fast kwnye decision making kama øde pia anatakiw kunyanyua sna weights.

nilichokiona jna kimeongezeka kwake ni workrate.
 
Kocha bora, Mchezaji bora na Goalkeeper bora, sisi hao halafu haturingi wala hatuongei sana.
February ilikua ni mwendo wa kusambaza upendo tu.
Screenshot_20230310_175616.jpg
 
Maybe next season, msimu huu bado anatakiwa kuimprove
Nilichogundua Europa ni moja ya kombe gumu sana kwa squad tuliyonayo ukitoa 1st 11 utaona huwa tuna struggle sana kupata results kama jana na Arteta kazi anayo squad ya kucheza EPL ndiyo hyo hyo inatakiwa icheze Europa league hakuna namna kwa sasa itafahamika May but tukikosa any trophy kati ya hizi mbili itauma sana sana
 
Back
Top Bottom