Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na Arsenal hatujawa serious nalo hata selection ya kikosi toka mwanzo haikua ile inayoanza kwenye EPL tofauti na timu zengne Arteta alifanya evaluation akaona kuchukua EPL mbele ya City,liverpool,chelsea,Man u lazma uwe umejipanga na una timu bora ila kuchukua europa au uefa ambazo mechi hazizidi 13 haitegemei sana kuwa na kikosi bora bali inaweza ikawa mbinu ya mda mfupi angalia chelsea wanaenda kutwaa taji la kwanza la uefa chini ya Di Matteo ambae alikua kama kocha wa mpito tuu baada ya chelsea kuwa na msimu mbovu.Makombe ni tofauti na ligi maana ligi utacheza na wanaume wenzako wote hamna shortcut wengine wananjia nyepesi hasi kufika final ila wwngne wanaweza kuwa na njia ngumu kufika final
 
Kwakua hatujafuzu uefa
FACT sasa kwa kua tunaparticipate kwenye Europa league na ukiangalia katika 16 teams zilizobakia ,Arsenal ni among giant mkubwa aliyebakia hapo ukitoa Manchester United na Juventus pekee so lazima tuonyeshe ugiant wetu hapo EPL ni ngumu sana licha pia tupo vizuri sana season hii na pia Mungu atusaidie tubebe EPL
 
Na Arsenal hatujawa serious nalo hata selection ya kikosi toka mwanzo haikua ile inayoanza kwenye EPL tofauti na timu zengne Arteta alifanya evaluation akaona kuchukua EPL mbele ya City,liverpool,chelsea,Man u lazma uwe umejipanga na una timu bora ila kuchukua europa au uefa ambazo mechi hazizidi 13 haitegemei sana kuwa na kikosi bora bali inaweza ikawa mbinu ya mda mfupi angalia chelsea wanaenda kutwaa taji la kwanza la uefa chini ya Di Matteo ambae alikua kama kocha wa mpito tuu baada ya chelsea kuwa na msimu mbovu.Makombe ni tofauti na ligi maana ligi utacheza na wanaume wenzako wote hamna shortcut wengine wananjia nyepesi hasi kufika final ila wwngne wanaweza kuwa na njia ngumu kufika final
FACT
 
FACT sasa kwa kua tunaparticipate kwenye Europa league na ukiangalia katika 16 teams zilizobakia ,Arsenal ni among giant mkubwa aliyebakia hapo ukitoa Manchester United na Juventus pekee so lazima tuonyeshe ugiant wetu hapo EPL ni ngumu sana licha pia tupo vizuri sana season hii na pia Mungu atusaidie tubebe EPL
Ni kweli hoja yako...ila kuweza kuchukua ubingwa kwenye mechi 38 inakuongezea hali ya kujiamini sana na kurudi katika zama za kutokugombania top 4 tena bali unakua na timu yakushindania ubingwa ukilwangalia Zichenko na Jesus na sasa Joginho wana hali ya kugombania ubingwa kwani washafanya ivyo wakiwa city na joginho akiwa chelseahii itaongeza viwango vya wachezaji wetu hata msimu ujao maana fikiria uwe na Saka,Martinel,Odegard,esr,nketiah,Nelson mwenye mentality ya kuwa bingwa kwenye mechi 38 lazima waongeze viwango vyao kuwa tishio zaidi ila pia hata kwa kocha wetu Arteta itamwongezea confidence na hatokua anaenda kwenye baadhi ya viwanja kinyonge km mwaka huu
 
Mimi naona tubebe Europa league sababu hatujawahi beba champions league wala Europa league ambazo ni among the biggest trophies duniani ,EPL tumeshabeba hata kama ni long time ago but ni mtihani mzito sababu EPL na Europa league trophies zote ni muhimu sana so kuna fans watasema bora tubebe yote others watasema kama mimi na wewe tunavyoona trophy ipi ni muhimu zaidi ya mwenzake

Cabinet yetu ya trophies EPL lipo but ina lack european trophies

Many teams in Europa competition are prioritizing wining the title because they have little chance to lift respective domestic league cups.
 
Uwezi kushinda ligi kwa bahati bahati lazima uwe na depth ya kikosi au wachezaji wako sio injury prone
Unaweza kuchukua ligi pamoja na depth uliyonayo na usibebe Europa/UEFA kwa sababu ile ni knockout inahitaji uwe na game plan ya knockout

Msimu wa ngapi huu pep anokosa UEFA pamoja na depth aliyonayo throughout all seasons hapo city?
 
Unaweza kuchukua ligi pamoja na depth uliyonayo na usibebe Europa/UEFA kwa sababu ile ni knockout inahitaji uwe na game plan ya knockout

Msimu wa ngapi huu pep anokosa UEFA pamoja na depth aliyonayo throughout all seasons hapo city?
Uchanga wa timu na uzoefu wa kushiriki hayo mashindano zile in and out zikawa nyingi na kufika robo,nusu,final mara kadhaa haina short cut lazma unifunze wenger na Umwamba wake wote kacheza final Moja ya UEFA CL na Europa moja enzi zile inaitwa uefa.kuhusu mbinu sina hakika kwamba PEP hana mbinu tena maana mpira anaofundisha tunauona
 
Ntaangalia highlights baadae maana sisi tulinyimwa 5+ penalties mbwa wale na agenda yao tusibebe EPL
Yule Refa ametushitaki FA kwamba tulishangilia kwa kuvunja sheria tupigwe Faini

FA wameona aibu wametupilia mbali madai yake

Yule Refa na wasiwasi alikuwa na ajenda yake
 
Ila kwa vile ni Arsenal hizo hazikua penatiView attachment 2546228View attachment 2546226View attachment 2546227
20230311_170407.jpg
 
Uchanga wa timu na uzoefu wa kushiriki hayo mashindano zile in and out zikawa nyingi na kufika robo,nusu,final mara kadhaa haina short cut lazma unifunze wenger na Umwamba wake wote kacheza final Moja ya UEFA CL na Europa moja enzi zile inaitwa uefa.kuhusu mbinu sina hakika kwamba PEP hana mbinu tena maana mpira anaofundisha tunauona
Kwaio ni bahati au wachezaji wanamuangusha?
 
Kwaio ni bahati au wachezaji wanamuangusha?
Niseme uzoefu tuu watimu husika na wachezaji kwenye hiyo michuano mfano mzuri tunajua Madrid akingia nusu akaenda final anachukua ubingwa sio kwamba kocha ana mbinu sana pia mda mwingine hadhi ya club kwwnye michuano pia na hatua flani wakifika. Arsenal tunajua kuanzia nusu final ya kombe la FA mechi zinakua Wembley hapo humfungi hata awe na kikosi cha kawaida lazima achukue ndoo ,Arsenal ana rekodi yake akiwa Wembley
 
Back
Top Bottom