Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Kwakua hatujafuzu uefaSasa kama ni kombe dogo why tunapambania kushiriki?
Kwakua hatujafuzu uefaSasa kama ni kombe dogo why tunapambania kushiriki?
FACT sasa kwa kua tunaparticipate kwenye Europa league na ukiangalia katika 16 teams zilizobakia ,Arsenal ni among giant mkubwa aliyebakia hapo ukitoa Manchester United na Juventus pekee so lazima tuonyeshe ugiant wetu hapo EPL ni ngumu sana licha pia tupo vizuri sana season hii na pia Mungu atusaidie tubebe EPLKwakua hatujafuzu uefa
FACTNa Arsenal hatujawa serious nalo hata selection ya kikosi toka mwanzo haikua ile inayoanza kwenye EPL tofauti na timu zengne Arteta alifanya evaluation akaona kuchukua EPL mbele ya City,liverpool,chelsea,Man u lazma uwe umejipanga na una timu bora ila kuchukua europa au uefa ambazo mechi hazizidi 13 haitegemei sana kuwa na kikosi bora bali inaweza ikawa mbinu ya mda mfupi angalia chelsea wanaenda kutwaa taji la kwanza la uefa chini ya Di Matteo ambae alikua kama kocha wa mpito tuu baada ya chelsea kuwa na msimu mbovu.Makombe ni tofauti na ligi maana ligi utacheza na wanaume wenzako wote hamna shortcut wengine wananjia nyepesi hasi kufika final ila wwngne wanaweza kuwa na njia ngumu kufika final
Ni kweli hoja yako...ila kuweza kuchukua ubingwa kwenye mechi 38 inakuongezea hali ya kujiamini sana na kurudi katika zama za kutokugombania top 4 tena bali unakua na timu yakushindania ubingwa ukilwangalia Zichenko na Jesus na sasa Joginho wana hali ya kugombania ubingwa kwani washafanya ivyo wakiwa city na joginho akiwa chelseahii itaongeza viwango vya wachezaji wetu hata msimu ujao maana fikiria uwe na Saka,Martinel,Odegard,esr,nketiah,Nelson mwenye mentality ya kuwa bingwa kwenye mechi 38 lazima waongeze viwango vyao kuwa tishio zaidi ila pia hata kwa kocha wetu Arteta itamwongezea confidence na hatokua anaenda kwenye baadhi ya viwanja kinyonge km mwaka huuFACT sasa kwa kua tunaparticipate kwenye Europa league na ukiangalia katika 16 teams zilizobakia ,Arsenal ni among giant mkubwa aliyebakia hapo ukitoa Manchester United na Juventus pekee so lazima tuonyeshe ugiant wetu hapo EPL ni ngumu sana licha pia tupo vizuri sana season hii na pia Mungu atusaidie tubebe EPL
Mimi naona tubebe Europa league sababu hatujawahi beba champions league wala Europa league ambazo ni among the biggest trophiesduniani ,EPL tumeshabeba hata kama ni long time ago but ni mtihani mzito sababu EPL na Europa league trophies
zote ni muhimu sana so kuna fans watasema bora tubebe yote others watasema kama mimi na wewe tunavyoona trophy
ipi ni muhimu zaidi ya mwenzake
Cabinet yetu ya trophiesEPL lipo but ina lack european trophies
![]()
Ukiwa na kikosi cha kushinda ligi uwezi kukosa kushinda Kombe la Ulaya maana ligi hamna kubahatisha trust the process tuna kikombe cha washindi ambacho equivalent na europa ya sasa
Unaweza kuchukua ligi pamoja na depth uliyonayo na usibebe Europa/UEFA kwa sababu ile ni knockout inahitaji uwe na game plan ya knockoutUwezi kushinda ligi kwa bahati bahati lazima uwe na depth ya kikosi au wachezaji wako sio injury prone
Ntaangalia highlights baadae maana sisi tulinyimwa 5+ penalties mbwa wale na agenda yao tusibebe EPLLiverpool awarded a penalty for less of a handball than what Arsenal was denied.
Mo Salah misses.
Ball doesn't lie.
Uchanga wa timu na uzoefu wa kushiriki hayo mashindano zile in and out zikawa nyingi na kufika robo,nusu,final mara kadhaa haina short cut lazma unifunze wenger na Umwamba wake wote kacheza final Moja ya UEFA CL na Europa moja enzi zile inaitwa uefa.kuhusu mbinu sina hakika kwamba PEP hana mbinu tena maana mpira anaofundisha tunauonaUnaweza kuchukua ligi pamoja na depth uliyonayo na usibebe Europa/UEFA kwa sababu ile ni knockout inahitaji uwe na game plan ya knockout
Msimu wa ngapi huu pep anokosa UEFA pamoja na depth aliyonayo throughout all seasons hapo city?
Yule Refa ametushitaki FA kwamba tulishangilia kwa kuvunja sheria tupigwe FainiNtaangalia highlights baadae maana sisi tulinyimwa 5+ penalties mbwa wale na agenda yao tusibebe EPL
Muhimu sana hiiLeo Nahisi kama legend atachukua point zake.
Kwaio ni bahati au wachezaji wanamuangusha?Uchanga wa timu na uzoefu wa kushiriki hayo mashindano zile in and out zikawa nyingi na kufika robo,nusu,final mara kadhaa haina short cut lazma unifunze wenger na Umwamba wake wote kacheza final Moja ya UEFA CL na Europa moja enzi zile inaitwa uefa.kuhusu mbinu sina hakika kwamba PEP hana mbinu tena maana mpira anaofundisha tunauona
Niseme uzoefu tuu watimu husika na wachezaji kwenye hiyo michuano mfano mzuri tunajua Madrid akingia nusu akaenda final anachukua ubingwa sio kwamba kocha ana mbinu sana pia mda mwingine hadhi ya club kwwnye michuano pia na hatua flani wakifika. Arsenal tunajua kuanzia nusu final ya kombe la FA mechi zinakua Wembley hapo humfungi hata awe na kikosi cha kawaida lazima achukue ndoo ,Arsenal ana rekodi yake akiwa WembleyKwaio ni bahati au wachezaji wanamuangusha?