Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cheza hivi kwenye casino ya jupita

Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games

Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...

Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....

JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd

Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,

Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....

Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.

TUNA PIGAJE PESA

Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako

Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD

Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose

=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000

Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.

=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000

=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000

Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000

Unatoa 32000

Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku

Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..

Website yao ni jupitabet.live

Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.

NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..

link www.jupitabet.live

video

Maskini hatakiwi kubet.
 
Arsenal kushinda 3_2 ndo mnakelele vile mmeona wenzenu walichotufanya hata kuongea kitu uwezi tumezimwa midomo rasmi.
20230114_183249.jpg
 
Arsenal kumbe ndo inavyouma hivi mbona mkusema mapema tuandae roho za simba.
20230305_210124.jpg
 
Huyu ETH ana mdomo Sana ,tulienda OT pale Kiungo Lokonga , akatufunga kwa kaunta tu ,na sio kwamba alifanya total dominance

Ila aliongea shombo Sana
IMG_20230305_224422.jpg
 
Jifunze na sheria za mpira ili usiwe shabiki 'maandazi', kwenye dakika za nyongeza sheria inasema dakika zinazoonekana kwenye ubao wa fourth official ni minimum minutes to be played.

Mfano zikiongezwa 6mins maana yake ukomo ni 6:59 ila refa anaweza kumaliza anytime after 6th minute pia especially km hakuna potential/advantage yoyote kwny mechi inayoweza patikana kama vile kunapokuwa na margin kubwa kwny scoresheet eg. 3-0, 2-0 nk.
Ni ujinga au ni kitu gani hiki..Yaani zikiongezwa dakika 6 maana yake ni 6:59???? Mmesoma wapi nyie watoto wa asenane?
 
Back
Top Bottom