Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yani nyie "kichwa cha mwendawazimu" ndiyo mnataka mkutane na United?

Kwanza mna uhakika hatua hii mtavuka!? HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA!!!

#MrenoMweusi
Game plan ya bornamouth ndio hiyo hiyo tunaitumia tukikutana na manjesta

Bado hamna timu ya kubishana toe to toe na Arsenal

Hiki kitu hamtaki kuelewa ndio maana mmepigwa 7-0
 
Tuna mechi jumapili

Hatuna kikosi kikubwa kugombea kote kote

Haya matokeo ni fair.

Gape kwenye mid in terms of attacking and defending nafikiri lilikua la Vieira zaidi, hata hivyo attackers wetu wote leo hamna kitu.

We knew tumekutana na low blocking lakini wote wakawa hawataki kushoot nje ya 18, Saka kaja kushtuka late sana
 
Nyie mbuzi...ngoja Rashford awafunze kucheza Europa
Screenshot_20230309_230826_All%20Goals.jpg
 
Mkuu Acha kujifariji Arteta analitaka sana hili kombe tena ni very important sababu Arsenal ina lack makombe kama haya ya European Champions hili kombe halitakiwi litupite kwa sasa
Hawa Home watakula nyingi

Leo walitakiwa angalau washinde

| Mikel Arteta on the second leg vs Sporting CP:

“Everything is still to play for and we get to play at home and now we have to show that we are the better team.” [via BBC] #afc
 
Back
Top Bottom