hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,704
Jana alifanya Changes 6 , kwa timu ambayo imecheza mechi 8 bila kufungwa ,Nilichogundua Europa ni moja ya kombe gumu sana kwa squad tuliyonayo ukitoa 1st 11 utaona huwa tuna struggle sana kupata results kama jana na Arteta kazi anayo squad ya kucheza EPL ndiyo hyo hyo inatakiwa icheze Europa league hakuna namna kwa sasa itafahamika May but tukikosa any trophykati ya hizi mbili itauma sana sana
Pia Jana tuliwakosa CF wetu wote Trossard, Jesus na nketiah
Nionacho tuendelee kufanya rotation kuanzia robo tuanze weka mziki wote
Mfano next week tuna advantage wanakuja home pia mechi ya EPL tutakuwa home
kati ya hizi mbili itauma sana sana
