Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zinchenko always plays that LBCMCAMCFLW role to perfection.


Man is a genius.
IMG_20230307_144956.jpg
 
BADO ARSENAL TUNA TATIZO LA UFANISI KATIKA KUTUMIA NAFASI

HATUNA TATIZO LA KUZIFUNGUA TIMU ZINAZOKAA NYUMA


ARTETA anasema

"Lazima tujitafakari, tuwe na ufanisi zaidi. Kwa uchezaji ambao tunatawala mechi, hatujazalisha magoli ya kutosha na hiyo ni chini yetu. "Msimu huu tumekabiliwa na low block kwa timu 16 na tumeshinda mechi nyingi kati ya hizo. Lakini ni kuhusu ufanisi wa magoli Wanapozuia kila kitu na mpira hauingii wavuni, ni nzuri (kwao).


IMG_20230307_144956.jpg
 
Arsenal Pattern ya kuzifungua timu zinazokaa Nyuma

Tatizo limekuwa hatutumii nafasi ,

Ukiangalia mfano mechi na Manchester pale Emirates muda wote tulikuwa golini kwake lakini Cha ajabu tulipata magoli matatu tu


Mech na Leicester tulitawala muda wote ,kiasi kwamba Leicester ndani ya dk 90 alipata shot 1 tu, ambayo ni off target

Cha ajabu tulishinda Goli 1


Tetesi Leo zinasema Arsenal wanamtaka Victor Osmhe msimu ujao
IMG_20230306_201750.jpg
 
Kwasasa Timu nyingi EPL ,Saka amekuwa ajenda kwenye mipango yao kuhakikisha habaki 1v1

Usipofanya hivo atakutesa tu, Rejea mechi na Manchester ,Luke Shaw alipoachwa Awe peke yake anamkaba


Tabia hii ya timu za EPL kumuundia mpango kazi imesababisha apigwe viatu/rafu Sana .

IMG_20230307_152436.jpg
 
Odegaard Captain Fantastic

Mechi Vs Everton baada ya kuonekana Everton mpango wao kuhakikisha Saka & Martinelli wakipokea mpira wanaandwamwa na mabeki 2-3 ,

Martin Odegaard alimshauri Arteta Trossard aende pembeni na Martinelli awe CF , then Yeye na Saka wabadilishane Position mara kwa Mara

Baada ya Muda Everton wakachanganyikiwa

Arteta aliwahi kuulizwa kwanini unampenda Odegaard na kwanini ulimpa jezi no.8 ambayo ulikuwa unavaa wewe

Alisema Ndiye mchezaji pekee anayeweza kutafsiri maelekezo na kuwapa wenzie ,ndiye mchezaji anayeamua kwasasa tucheze kwa aina gani


IMG_20230302_200019.jpg
 
Klopp on Odegaard:


"I spoke to him when he was 15 in Norway and the whole world wanted to sign him. He became the player everybody expected at that time."
 
Mpango wa Arteta ni kwamba Smith Rowe acheze safu ya tatu ya mbele(front three) ya Arsenal, lakini kwa muda mrefu kuna imani miongoni mwa wakufunzi kwamba anaweza kuishia kucheza kama double 8/10 kwenye safu ya kiungo pamoja na Martin Odegaard.

(@sr_collings

IMG_20230303_221221.jpg
 
Emile Smith Rowe is in line to start on Thursday against Sporting

. [@sr_collings] #afc
 
Ili msimu ujao tubebe Uefa champions league inabidi mabadiliko haya yafanyike:

1. Tuwape Brentford kijana wetu Nketiah pamoja na Euro 20m watupatie Toney

2. Tuwape Brighton kijana wetu Lokonga pamoja na Euro 70m watupatie Caicedo

3. Achukuliwe Tielemans na Gundogan kuongeza squad depth na uzoefu. Tierney asiuzwe.

4. Fresneda aje kama RB ili White arudi kuwa backup ya Saliba. Kulia atakuwepo pia Tomiyasu kama backup.

5. Hapo auzwe Balogun, Taveres, Pepe Cedric na Mari zipatikane hata Euro 100m. Summer tutakuwa tumetengeneza hela na kuboresha kikosi.

Ikiwa hivi UCL hatutakuwa na mpinzani.
 
Ili msimu ujao tubebe Uefa champions league inabidi mabadiliko haya yafanyike:

1. Tuwape Brentford kijana wetu Nketiah pamoja na Euro 20m watupatie Toney

2. Tuwape Brighton kijana wetu Lokonga pamoja na Euro 70m watupatie Caicedo

3. Achukuliwe Tielemans na Gundogan kuongeza squad depth na uzoefu. Tierney asiuzwe.

4. Fresneda aje kama RB ili White arudi kuwa backup ya Saliba. Kulia atakuwepo pia Tomiyasu kama backup.

5. Hapo auzwe Balogun, Taveres, Pepe Cedric na Mari zipatikane hata Euro 100m. Summer tutakuwa tumetengeneza hela na kuboresha kikosi.

Ikiwa hivi UCL hatutakuwa na mpinzani.
Haupo mbali na mipango ya timu

Msimu ujao Kuna Vyuma Kama vinne vinaingia

Taarifa zinasema Tierny atauzwa £40-50m

Nuno tavares ,Lokonga watauzwa

Pia Kuna Pesa ambayo ni obligation kutoka mauzo ya Pablo mari £6m

Kuna uwezekano Arsenal wakapata pesa nzuri kwa kumuuza Balogun

So €100m inafika


Target ni RB , DM kijana , No.8 na CF

Niliposikia Arsenal inataka CF sikuelewa kwanini ,Jana na leo zimesambaa taarifa tunamuhitaji Victor Osmhen .

Namuona pia Ikay Gundogan akija kusaidia kuwapa uzoefu kina Vieira na Smith Rowe ambao tayari Arteta anataka wacheze Kama No.8 kwenye upande wa Kushoto
 
Haupo mbali na mipango ya timu

Msimu ujao Kuna Vyuma Kama vinne vinaingia

Taarifa zinasema Tierny atauzwa £40-50m

Nuno tavares ,Lokonga watauzwa

Pia Kuna Pesa ambayo ni obligation kutoka mauzo ya Pablo mari £6m

Kuna uwezekano Arsenal wakapata pesa nzuri kwa kumuuza Balogun

So €100m inafika


Target ni RB , DM kijana , No.8 na CF

Niliposikia Arsenal inataka CF sikuelewa kwanini ,Jana na leo zimesambaa taarifa tunamuhitaji Victor Osmhen .

Namuona pia Ikay Gundogan akija kusaidia kuwapa uzoefu kina Vieira na Smith Rowe ambao tayari Arteta anataka wacheze Kama No.8 kwenye upande wa Kushoto
Kumuuza Tierney ni kujirudisha nyuma maana Zichenko akipata majeruhi tutakuwa na tatizo.

Osimhen anatakiwa na timu nyingi, sioni kama tutaweza kushindana kwenye bei.
 
Kumuuza Tierney ni kujirudisha nyuma maana Zichenko akipata majeruhi tutakuwa na tatizo.

Osimhen anatakiwa na timu nyingi, sioni kama tutaweza kushindana kwenye bei.
Anakosa game time ,na mfumo wa sasa umemkataa , kumbuka Tomiyasu ndiye chaguo la 2 kwenye LB na Tierny amekuwa 3rd choice

Mfumo unataka LB awe inverted Midfielder , Tierny anakuwa Bora LB inverted winger


Osmhen dirisha kubwa alipenda kuja

 
Anakosa game time ,na mfumo wa sasa umemkataa , kumbuka Tomiyasu ndiye chaguo la 2 kwenye LB na Tierny amekuwa 3rd choice

Mfumo unataka LB awe inverted Midfielder , Tierny anakuwa Bora LB inverted winger


Osmhen dirisha kubwa alipenda kuja

Arteta anakuwa predictable sana kwa kutaka kutumia mfumo mmoja kwenye kila mechi. KT ni mzuri sana kwenye game zinazohitaji defense nzuri. Kuuza mchezaji kama yule ni kujirudisha nyuma.

Tomiyasu mwenyewe huwa anapangwa zile game ambazo tunahitaji kumkaba mchezaji fulani specifically ndio maana anakuwepo kwenye game kubwa tu. Bado KT ndio huwa anaingizwa siku zote Zinchenko anapochoka hasa kwenye mechi tunazoshambuliwa.

Mkuu hata Mudrky alisema anapenda arsenal lakini tunafahamu kilichotokea. Osimhen ataenda timu zenye maslahi makubwa na zinazoweza kulipa paundi milioni 120 na sio arsenal.
 
Ili msimu ujao tubebe Uefa champions league inabidi mabadiliko haya yafanyike:

1. Tuwape Brentford kijana wetu Nketiah pamoja na Euro 20m watupatie Toney

2. Tuwape Brighton kijana wetu Lokonga pamoja na Euro 70m watupatie Caicedo

3. Achukuliwe Tielemans na Gundogan kuongeza squad depth na uzoefu. Tierney asiuzwe.

4. Fresneda aje kama RB ili White arudi kuwa backup ya Saliba. Kulia atakuwepo pia Tomiyasu kama backup.

5. Hapo auzwe Balogun, Taveres, Pepe Cedric na Mari zipatikane hata Euro 100m. Summer tutakuwa tumetengeneza hela na kuboresha kikosi.

Ikiwa hivi UCL hatutakuwa na mpinzani.
1st leg: Bayern 5-1 Arsenal
2nd leg: Arsenal 1-5 Bayern

On this day in 2017, Bayern handed Arsenal a 10-2 aggregate loss and they haven’t played in the Champions League since

Mmejipanga sasa sio kuja kutia aibu kama hizi.
 
Back
Top Bottom