
Haupo mbali na mipango ya timuIli msimu ujao tubebe Uefa champions league inabidi mabadiliko haya yafanyike:
1. Tuwape Brentford kijana wetu Nketiah pamoja na Euro 20m watupatie Toney
2. Tuwape Brighton kijana wetu Lokonga pamoja na Euro 70m watupatie Caicedo
3. Achukuliwe Tielemans na Gundogan kuongeza squad depth na uzoefu. Tierney asiuzwe.
4. Fresneda aje kama RB ili White arudi kuwa backup ya Saliba. Kulia atakuwepo pia Tomiyasu kama backup.
5. Hapo auzwe Balogun, Taveres, Pepe Cedric na Mari zipatikane hata Euro 100m. Summer tutakuwa tumetengeneza hela na kuboresha kikosi.
Ikiwa hivi UCL hatutakuwa na mpinzani.
Kumuuza Tierney ni kujirudisha nyuma maana Zichenko akipata majeruhi tutakuwa na tatizo.Haupo mbali na mipango ya timu
Msimu ujao Kuna Vyuma Kama vinne vinaingia
Taarifa zinasema Tierny atauzwa £40-50m
Nuno tavares ,Lokonga watauzwa
Pia Kuna Pesa ambayo ni obligation kutoka mauzo ya Pablo mari £6m
Kuna uwezekano Arsenal wakapata pesa nzuri kwa kumuuza Balogun
So €100m inafika
Target ni RB , DM kijana , No.8 na CF
Niliposikia Arsenal inataka CF sikuelewa kwanini ,Jana na leo zimesambaa taarifa tunamuhitaji Victor Osmhen .
Namuona pia Ikay Gundogan akija kusaidia kuwapa uzoefu kina Vieira na Smith Rowe ambao tayari Arteta anataka wacheze Kama No.8 kwenye upande wa Kushoto
Anakosa game time ,na mfumo wa sasa umemkataa , kumbuka Tomiyasu ndiye chaguo la 2 kwenye LB na Tierny amekuwa 3rd choiceKumuuza Tierney ni kujirudisha nyuma maana Zichenko akipata majeruhi tutakuwa na tatizo.
Osimhen anatakiwa na timu nyingi, sioni kama tutaweza kushindana kwenye bei.
Arteta anakuwa predictable sana kwa kutaka kutumia mfumo mmoja kwenye kila mechi. KT ni mzuri sana kwenye game zinazohitaji defense nzuri. Kuuza mchezaji kama yule ni kujirudisha nyuma.Anakosa game time ,na mfumo wa sasa umemkataa , kumbuka Tomiyasu ndiye chaguo la 2 kwenye LB na Tierny amekuwa 3rd choice
Mfumo unataka LB awe inverted Midfielder , Tierny anakuwa Bora LB inverted winger
Osmhen dirisha kubwa alipenda kuja
![]()
Osimhen Prefers Arsenal To Manchester United
Napoli forward Victor Osimhen is reportedly willing to join Arsenal over Manchester United and Newcastle United this summer. Osimhen has been linked with the Premier League trio, who are keen to bo…www.completesports.com
1st leg: Bayern 5-1 ArsenalIli msimu ujao tubebe Uefa champions league inabidi mabadiliko haya yafanyike:
1. Tuwape Brentford kijana wetu Nketiah pamoja na Euro 20m watupatie Toney
2. Tuwape Brighton kijana wetu Lokonga pamoja na Euro 70m watupatie Caicedo
3. Achukuliwe Tielemans na Gundogan kuongeza squad depth na uzoefu. Tierney asiuzwe.
4. Fresneda aje kama RB ili White arudi kuwa backup ya Saliba. Kulia atakuwepo pia Tomiyasu kama backup.
5. Hapo auzwe Balogun, Taveres, Pepe Cedric na Mari zipatikane hata Euro 100m. Summer tutakuwa tumetengeneza hela na kuboresha kikosi.
Ikiwa hivi UCL hatutakuwa na mpinzani.

Hivi arsenal mmewai kuwa serious kweli?Yani miaka yote iyo hata uefa 1 hakuna kweli kuwa shabiki wa arsenal yapasa kuwa na moyo wa chuma kweli kweli.
Mtu hakiwakuta mnajadili mpira hapa anaweza kujua hii timu ipo serious kweli.
Hii sio kitu ya kukosa kwa timu kama arsenal.View attachment 2540211
Arsenya....... au basi. 🙊