Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,865
- 103,892
Utakavyoona ndivyo ilivyoKwani wewe ni KE au ME? Tuanzie hapo kwanza.
Utakavyoona ndivyo ilivyoKwani wewe ni KE au ME? Tuanzie hapo kwanza.
Leão yuko powerful sana yule mtuNelson jana alikuwa na utulivilu ambao unaleta matumaini kwa washabiki wengi wa Arsenal, ile performance ya jana ni kama unamuangalia Rafa Leao, vitu vilivyomkwamisha miaka ya nyuma ni nguvu ya mwili, majeruhi, utulivu. Kwa uchezaji ule kitu anachozidiwa na Leao ni kimo na speed.
Tafuta kina dada wenzio humu sio mahali pakeChelsea ya wanawake wameshaanza kuwapa dozi nyie arsenyeto ya wanawake
Half time in the Continental Cup final: Arsenal 3-1 ChelseaChelsea ya wanawake wameshaanza kuwapa dozi nyie arsenyeto ya wanawake
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Arsenyani atabeba EPL.
Arsenyani siwapendi kinoma hasa msimu huu mlivyotunyanyasa pale Emiratesbanters lazima ziendelee.
Ila Arsenyani mnastahili kubeba ligi, kwanza kwa kazi waliyopiga wachezaji na mashabiki (loyal fans) mliobaki kwa miaka yote hiyo.
Glory hunters wataanza kuvamia timu yenu kama walivyokimbilia City.
leta matokeo ya dakika 90 KOCHO weweChelsea ya wanawake wameshaanza kuwapa dozi nyie arsenyeto ya wanawake


Commentator anasema Liverpool six Man utd sickManyumbu yameshapigwa 4 huko.. Hii wiki hamtawaona hapa
















Manyumbu yameshapigwa 4 huko.. Hii wiki hamtawaona hapa