Kwan mashabiki wa Chelsea wanajua lolote kuhusu tactics,technicaly wa mchezaji zaid ya kuangalia magoli tu basi.Chelsea fans have been attacking Jorginho for years making us think he is a bad player The truth is that they have no football brains
Na pia yupo physically fit kwa ushindani wa epl.Arteta anasema Fabio Vieira anamuumiza kichwa maaa aazidi kuwa hatari zaidi
Amekuwa akimtumia kwenye LCM hasa au no.8 ya Kushoto anapocheza xhaka,
Eneo Hilo Hilo anacheza Smith Rowe ,
Anasema huu kwake ni mtihan maana Fabio Vieira ameimarika kukaba
Mimi ninachosema ni kwamba bado hatuna wachezaji wa kucheza 4 3 3 kwa 100%. Sisemi kwamba 4 3 3 ni butu, with players ambao hawafit inatufanya tupossess mpira ila hatuwi lethal.Sikubaliani na wewe cuz timu zinazopaki bus kunakuwa na wazuiaji wengi so unahitaji attackers wengi ili kufunga goli. 433 inakupa hiyo option, mfumo una namba nane wawili LCM & RCM si km double pivot wa 4231, lkn hata inaruhusu FB kuwa inverted au kupush forward huku structure ikiwa compact km kuna any kind of transition, Inshort 433 inaruhusu defenders kuattack huku tukipunguza risk ya ku concede goals.
Pia unahitaji ku-Interchanging positions ku unlock packed defense, 433 inakupa option ya ku switch positions both kwenye Flank au central,
Xhaka, zinny, Nelli LHS
Saka, Ø, White RHS
Partey/ Jorginho, White Zinny, Xhaka,Ø,Jesus central,
IMO, mfumo wa kushambulia toka enzi huwa ni 433, ukiangalia Ajax total voetball ya kina Johan Cruyff, Barca ya Pep Guardiola etc.
Ushamuingiza Jorginho kwenye hizi ishu?Acha uongo, Arsenal kaanza kutumia double 8 msimu jana 2nd round
Wewe endelea kupiga ramli na kusubiri Gorginho akosee useme ulisema
Kwasasa tafuta vichaka maana mnaaibika
Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.Kisha, kisha kisha nye nye nye nyeee. Hujui kitu zaidi ya ku tafsiri analysis za pundits huko mitandaoni. Keti chini Hamisi akupige shule
Eti andika unavyoandika. Ndo write whatever you write?
Nchi imejaa vijana wa hovyo sana
Wew jamaa ni mwongo na mpenda shari...Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.
Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.
Ukiondoka jf itanisaidia nini? Uwepo ama usiwepo hilo sio tatizo langu. Muhimu kaa chini akina Hamisi wakupige pindi. Halafu hakuna mtu amekutukana. Acha kujitafutia piblic sympathyChochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.
Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.








Piblic ni nini boss?Ukiondoka jf itanisaidia nini? Uwepo ama usiwepo hilo sio tatizo langu. Muhimu kaa chini akina Hamisi wakupige pindi. Halafu hakuna mtu amekutukana. Acha kujitafutia piblic sympathy
Andika utakachoandika/write whatever your write![]()