Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta anasema Fabio Vieira anamuumiza kichwa maaa aazidi kuwa hatari zaidi

Amekuwa akimtumia kwenye LCM hasa au no.8 ya Kushoto anapocheza xhaka,

Eneo Hilo Hilo anacheza Smith Rowe ,

Anasema huu kwake ni mtihan maana Fabio Vieira ameimarika kukaba
Na pia yupo physically fit kwa ushindani wa epl.
 
Mikel Arteta on Arsenal’s win vs Leicester:


“I think defensively we were incredible because we restrict Leicester to one shot on target in the whole game at home is a difficult thing to do. The players did really well.”


@arsenal
 
Sikubaliani na wewe cuz timu zinazopaki bus kunakuwa na wazuiaji wengi so unahitaji attackers wengi ili kufunga goli. 433 inakupa hiyo option, mfumo una namba nane wawili LCM & RCM si km double pivot wa 4231, lkn hata inaruhusu FB kuwa inverted au kupush forward huku structure ikiwa compact km kuna any kind of transition, Inshort 433 inaruhusu defenders kuattack huku tukipunguza risk ya ku concede goals.

Pia unahitaji ku-Interchanging positions ku unlock packed defense, 433 inakupa option ya ku switch positions both kwenye Flank au central,

Xhaka, zinny, Nelli LHS

Saka, Ø, White RHS

Partey/ Jorginho, White Zinny, Xhaka,Ø,Jesus central,

IMO, mfumo wa kushambulia toka enzi huwa ni 433, ukiangalia Ajax total voetball ya kina Johan Cruyff, Barca ya Pep Guardiola etc.
Mimi ninachosema ni kwamba bado hatuna wachezaji wa kucheza 4 3 3 kwa 100%. Sisemi kwamba 4 3 3 ni butu, with players ambao hawafit inatufanya tupossess mpira ila hatuwi lethal.

Refer game na City, Everton na Brentford na jana. Sasa hivi hata xG imepungua, with Jesus tukicheza 4 3 3 haina tatizo. With Nketiah tunacheza kamari
 
Acha uongo, Arsenal kaanza kutumia double 8 msimu jana 2nd round

Wewe endelea kupiga ramli na kusubiri Gorginho akosee useme ulisema

Kwasasa tafuta vichaka maana mnaaibika
Ushamuingiza Jorginho kwenye hizi ishu?
 
Kisha, kisha kisha nye nye nye nyeee. Hujui kitu zaidi ya ku tafsiri analysis za pundits huko mitandaoni. Keti chini Hamisi akupige shule

Eti andika unavyoandika. Ndo write whatever you write?

Nchi imejaa vijana wa hovyo sana
Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.

Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.
 
Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.

Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.
Ukiondoka jf itanisaidia nini? Uwepo ama usiwepo hilo sio tatizo langu. Muhimu kaa chini akina Hamisi wakupige pindi. Halafu hakuna mtu amekutukana. Acha kujitafutia piblic sympathy

Andika utakachoandika/write whatever your write
 
Ukiondoka jf itanisaidia nini? Uwepo ama usiwepo hilo sio tatizo langu. Muhimu kaa chini akina Hamisi wakupige pindi. Halafu hakuna mtu amekutukana. Acha kujitafutia piblic sympathy

Andika utakachoandika/write whatever your write
Piblic ni nini boss?
 
Mbona mapovu humu, kulikoni?..... watu munaongoza ligi lakini hamjiamini.
 
"Kufika au kutofika kwako hakutazuia sisi kuchukua kombe"
IMG-20230226-WA0019.jpg
 
🗣️Pep Guardiola after #Arsenal and Manchester City both won yesterday:


“I know how good Arsenal are, I know we cannot drop points, but now they are starting to play Europa as well. Many things are going to happen. They are going to drop points. We are going to drop points. The team who drop less points will be champions.” 💯👍
 
Back
Top Bottom