hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Tuongezeeni pesa kidogo basi kwa Jorginho.
Acheni ubahili.


tunamtaka na Sterling maana mna wachezaji Hadi mnakosa nafasi ya kuwasajili wengine UCLTuongezeeni pesa kidogo basi kwa Jorginho.
Acheni ubahili.


tunamtaka na Sterling maana mna wachezaji Hadi mnakosa nafasi ya kuwasajili wengine UCLMpira Mzuri FC kila siku kazi kuchambua mechi mlizoshinda kwa kigoli kimoja. 😂Ligi gani hiyo imeanza NOVEMBER?
mbona mnapenda kujitoa ufahamu?
Nimeona tetesi kwamba mnamtaka STERLING.
Wekeni mpunga mezani.
Sisi tunajishukia zetu daraja. Tukutane kwenye mashindano ya FA




Unaongea kishabiki sanaKimbinu ,Ten jagi namuweka kundi la kina Unai Emery
Ni ukweli ambao mashabiki hamtaki kuusikiaUnaongea kishabiki sana
Mbona kama tunaanza upya hivi? Wataleta timu uwanjani kweli?Gabriel Jesus gonna feel like a new signing View attachment 2533052View attachment 2533053



Yaani ndio Kama tunaanza ligi upya
Uyo kwio nasikia anamwaga long balls balaa na nusuYaani ndio Kama tunaanza ligi upya
Hapa Jesus ,sub Kuna Trossard, nketiah
Hapa Partey sub Kuna Gorginho



AnabalaaUyo kwio nasikia anamwaga long balls balaa na nusu![]()
WameyakanyagaNew signingView attachment 2533066
Mpira ni mbinu na akili. Arteta ile siku alizidiwa akili, mkubali au mkatae.
Sawa basi, Martinelli alifunga ni 3 - 2 nani anabaki na points 3?
Umeona jinsi gani Arsenyani mnashangilia vitu vitu vya kijinga, eti possession!!!
Watu tunaangalia ushindi tu, hayo mengine ni ya timu ndogo kama Arsenal.







