Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama kuna kazi ngumu waliopata Leicester ni kupiga shuti kuelekea golini kwetu.

Hawakupata kona na shuti halizidi 1 na lenyewe ni nje ya lango.

Arsenal tulipiga kona 8. Passes 600+.

Tazama hapa.

Arsenal ilikuwa na wachezaji wa 4 tu wanaokaba, ndani ya sekunde 3, wakarudi wote na kuwa 10.

Ili ufanye hivi unahitaji kuwa na kocha mwenye akili wachezaji vijana na wanaofundishika.

Thus why wachezaji Kama Auba ,ozil ,Pepe walioneshwa mlango wa kutokea
IMG-20230227-WA0008.jpg
 
Bukayo Saka has always been clear in the last year: no negotiations with other clubs, he only wanted to stay at Arsenal as he loves club, project, coach #AFC New deal agreed one week ago after 13 months talks — it will be signed once final details and documents are sorted.

Your first sentence should be rephrased to read, “Bukayo Saka has always been loyal……
 
Martin Keown RATES Jorginho highly

“The business that they made, Jorginho as well, he’s so intelligent with his passing,”

“They could leave Thomas Partey on the bench because they knew that they’ve still got a player. They don’t have to rush him back.”
Fp_fwQ7XsAE7Vr8.jpg
 
Kama kuna kazi ngumu waliopata Leicester ni kupiga shuti kuelekea golini kwetu.

Hawakupata kona na shuti halizidi 1 na lenyewe ni nje ya lango.

Arsenal tulipiga kona 8. Passes 600+.

Tazama hapa.

Arsenal ilikuwa na wachezaji wa 4 tu wanaokaba, ndani ya sekunde 3, wakarudi wote na kuwa 10.

Ili ufanye hivi unahitaji kuwa na kocha mwenye akili wachezaji vijana na wanaofundishika.

Thus why wachezaji Kama Auba ,ozil ,Pepe walioneshwa mlango wa kutokea
View attachment 2532479
United walifanya kazi ndogo tu wakapata goli 3, nyie ni wiki sasa bado mnafanya uchambuzi mechi mliyoshinda 1 - 0 😂 anguko lenu linakaribia.

Arsenal hawezi kubeba ligi ambayo Erik ten Hag na Pep ni makocha.
 
United walifanya kazi ndogo tu wakapata goli 3, nyie ni wiki sasa bado mnafanya uchambuzi mechi mliyoshinda 1 - 0 anguko lenu linakaribia.

Arsenal hawezi kubeba ligi ambayo Erik ten Hag na Pep ni makocha.
Ten jagi huyu ambaye timu yake inarukaruka ?

Huyu Ten jagi ambaye alipokuja Emirates alikuwa anaomba mechi apate sare au yup? Huyu ambaye aliingia kwenye box la Arsenal mara 13 ndan ya dakika 90?

Ten jagi ni kocha wa kawaida Sana
 
Ten jagi huyu ambaye timu yake inarukaruka ?

Huyu Ten jagi ambaye alipokuja Emirates alikuwa anaomba mechi apate sare au yup? Huyu ambaye aliingia kwenye box la Arsenal mara 13 ndan ya dakika 90?

Ten jagi ni kocha wa kawaida Sana
Old Trafford mlifanywaje na EtH? 😂

Kila siku mnajisifia mpira mzuri halafu matokeo kagoli kamoja. United sisi ni ushindi tu mpira mzuri tunawaachia makocha vilaza kama Arteta. 😭😂
 
Old Trafford mlifanywaje na EtH?

Kila siku mnajisifia mpira mzuri halafu matokeo kagoli kamoja. United sisi ni ushindi tu mpira mzuri tunawaachia makocha vilaza kama Arteta.
Mngekuwa na Goli nyingi mnafunga Hadi Sasa mngekuwa na GD 13?

Una akili kweli ?
 
Sasa mnauwezo wa kugombea kombe gan zaidi ya Carabao?
Kama hujui uliza!

Timu pekee kwenye ligi 5 kubwa Europe ambayo ina uwezo wa kushinda makombe yote 4 ni Manchester United.

Leo na kesho ni mechi za FA Cup, niambie Arsenyani anacheza na nani? 😂😂😂
 
Old Trafford mlifanywaje na EtH?

Kila siku mnajisifia mpira mzuri halafu matokeo kagoli kamoja. United sisi ni ushindi tu mpira mzuri tunawaachia makocha vilaza kama Arteta.
Hata hiyo mech ya OT mlipaki Basi na Kiungo yupo Lokonga,

Ndio maana nawashangaa Sana mnavyompamba Ten jagi , mnaopitia Sasa ni upepo tu na hapo mmetumia €250m ndio mnabeba Carabao

Mshukuru Refa aliwabeba pale OT Goli la Martinell likakataliwa
 
Hata hiyo mech ya OT mlipaki Basi na Kiungo yupo Lokonga,

Ndio maana nawashangaa Sana mnavyompamba Ten jagi , mnaopitia Sasa ni upepo tu na hapo mmetumia €250m ndio mnabeba Carabao

Mshukuru Refa aliwabeba pale OT Goli la Martinell likakataliwa
Mpira ni mbinu na akili. Arteta ile siku alizidiwa akili, mkubali au mkatae.

Sawa basi, Martinelli alifunga ni 3 - 2 nani anabaki na points 3? 😂

Umeona jinsi gani Arsenyani mnashangilia vitu vitu vya kijinga, eti possession!!! 😂

Watu tunaangalia ushindi tu, hayo mengine ni ya timu ndogo kama Arsenal.
 
Kama hujui uliza!

Timu pekee kwenye ligi 5 kubwa Europe ambayo ina uwezo wa kushinda makombe yote 4 ni Manchester United.

Leo na kesho ni mechi za FA Cup, niambie Arsenyani anacheza na nani?
makombe manne eti

Wewe mwisho wako Carabao , FA huna uwezo wakumfunga hata westham

Europa tunakungoja tukupige

EPL hii soon Spurs anakutoa hapo top 4

Utakata na mguu wakuja humu kubwabwaja
 
Kweli ww ARV zinakusumbua ,kwani Klopp ,mou as maplayer wameshinda Nini?

Arteta ndio ana miaka 3 kwenye career ya ukocha na anaenda kuwa tishio

Ungeleta mafanikio ya kocha wako ambaye ni mkubwa hata kwa Pep
Sasa mtu hana hata miaka 3 unamuongelea kwamba na yeye ni kocha!!!! Aibu hii.
 
Mpira ni mbinu na akili. Arteta ile siku alizidiwa akili, mkubali au mkatae.

Sawa basi, Martinelli alifunga ni 3 - 2 nani anabaki na points 3?

Umeona jinsi gani Arsenyani mnashangilia vitu vitu vya kijinga, eti possession!!!

Watu tunaangalia ushindi tu, hayo mengine ni ya timu ndogo kama Arsenal.
Hamna uwezo wa kutuzidi ,timu yenu bado Sana inacheza Kama middle teams tu
 
makombe manne eti

Wewe mwisho wako Carabao , FA huna uwezo wakumfunga hata westham

Europa tunakungoja tukupige

EPL hii soon Spurs anakutoa hapo top 4

Utakata na mguu wakuja humu kubwabwaja
Kesho West Ham anapata kipigo kama wengine waliopita.

Europa msitungoje sisi maana Sporting hatawaacha salama.
 
Back
Top Bottom