UCHOKO utaacha lini??
Everton sisi tunataka droo tuThe #Arsenal XI to face Everton tonight at the Emirates Stadium.
Martinelli-Trossard-Saka front three again
What are your thoughts, GoonersView attachment 2534153
Tunao Ruhusiwa Kwenda Bandaumiz Na Matokeo Mfukoni Ni Mashabiki Wa Arsenal Nyinyi Wengin Msijaribu Mtalia.
Nawakumbusha Tu Kwamba Hakuna Wachezaj Wenye Uwezo Wa Kudrible Mpira Kama Saka Na Martinel Kwenye Premier League Na Dunian..!View attachment 2533939

brother tunaipenda Arsenal na wachezaj wake ndio ila kusema duniani mhhh hpn aiseebrother tunaipenda Arsenal na wachezaj wake ndio ila kusema duniani mhhh hpn aisee
Nketiah ni forward mzuri sana shida yake ni kutotumia nafasi anazopata vya kutosha.mimi namprefer yeye kuanza mbele kuliko hawa akina Martineli na Trossard ni mpambanaji sana vile vile na ana press vizuriBest shooter kwetu ni Martinelli it makes sense kumuweka kati yeye kuliko Martinelli lakini nahisi Trossard anaoffer link up play kwenye hii 4 3 3 better kuliko Nketiah.
Kwa uwezo huo wa Trossard hata Martinelli atapata chances za kuingia kwenye boksi kama mechi iliyopita goli lilivyopatikana. Nketiah ana safari ndefu kidogo kufit kwenye hii false 9
Weka tokeo.Kituuuu