Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sakaaaaa wonderful goal

Arsenal 1 vs Everton 4

What a goal
20220105_193554.jpg
 
The #Arsenal XI to face Everton tonight at the Emirates Stadium.

Martinelli-Trossard-Saka front three again

What are your thoughts, Gooners
IMG_20230301_215025.jpg
 
Leo ni kuwauliza Everton waliwezaje.

Villa alimpiga 7 Liva next match Liva aliwauliza Villa waliwezaje.

Ni migoli ya haraka haraka tu
 
Wanted Partey in for Jorginho and some added creativity with Tierney/ESR but we move. Will be very hard to break this 451 block today. Luckily, no Calvert-Lewin means Everton's out ball won't be anywhere near as effective as Goodison
 
Best shooter kwetu ni Martinelli it makes sense kumuweka kati yeye kuliko Martinelli lakini nahisi Trossard anaoffer link up play kwenye hii 4 3 3 better kuliko Nketiah.

Kwa uwezo huo wa Trossard hata Martinelli atapata chances za kuingia kwenye boksi kama mechi iliyopita goli lilivyopatikana. Nketiah ana safari ndefu kidogo kufit kwenye hii false 9
 
Best shooter kwetu ni Martinelli it makes sense kumuweka kati yeye kuliko Martinelli lakini nahisi Trossard anaoffer link up play kwenye hii 4 3 3 better kuliko Nketiah.

Kwa uwezo huo wa Trossard hata Martinelli atapata chances za kuingia kwenye boksi kama mechi iliyopita goli lilivyopatikana. Nketiah ana safari ndefu kidogo kufit kwenye hii false 9
Nketiah ni forward mzuri sana shida yake ni kutotumia nafasi anazopata vya kutosha.mimi namprefer yeye kuanza mbele kuliko hawa akina Martineli na Trossard ni mpambanaji sana vile vile na ana press vizuri
 
Hii game inafanana sana na ile ya kwanza, Everton wanaonekana Wana plan na wanaifanyia kazi na hili linaonekana kila wakati wanapopata nafasi ya kutushambulia kwa counter attack

Arsenal wanaonekana wapo wapo tu, wanacheza ilimradi tu utadhani wako London colney wanafanya mazoezi, hakuna uhatari wowote ule wanauonesha pindi wanapoenda kushambulia

Wasipokuwa makini yatajirudia yale yale ya last game unakula kimoja game kwisha, Everton wanaonekana wanajua wanachokifanya, wamepata counter Tatu ambazo walikuwa wengi kuliko wachezaji wa Arsenal ni basi tu hawana watu hatari mbele
 
Back
Top Bottom