Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
FA, EPL na EUROPA.Sasa mnauwezo wa kugombea kombe gan zaidi ya Carabao?
Swali lingine
FA, EPL na EUROPA.Sasa mnauwezo wa kugombea kombe gan zaidi ya Carabao?
Kesho narudi kuichimbua hii commentmakombe manne eti
Wewe mwisho wako Carabao , FA huna uwezo wakumfunga hata westham
Europa tunakungoja tukupige
EPL hii soon Spurs anakutoa hapo top 4
Utakata na mguu wakuja humu kubwabwaja
😂😂😂 Arsenal nasubiri sana siku mtakayocheza soka la viwango vya Dunia, hapa namaanisha Champions League.Hamna uwezo wa kutuzidi ,timu yenu bado Sana inacheza Kama middle teams tu
Kwa timu gani ?FA, EPL na EUROPA.
Swali lingine


Sasa Kama timu yako hata kuingia box la Arsenal haiweziArsenal nasubiri sana siku mtakayocheza soka la viwango vya Dunia, hapa namaanisha Champions League.
Katika miaka yote mnayoteseka United tumeonyesha ubabe wa ku-battle na vikosi vikali Europe kwa vikosi vya kawaida tu now tumerudi bado Arsenal ina-struggle kufuzu Champions League ambako mtaenda kupata vipigo vya 5 - 0 kama kawaida yenu.
Tupo levels za mbali sana kushinda Arsenal.
Timu yako yenye options kila idara imeshatolewa makombe 2.Sasa Kama timu yako hata kuingia box la Arsenal haiwezi
Huoni Aibu ?
Arsenal tuna option kila idara
Mikel Arteta on if it’s more difficult to know what his best XI is:
The fact (is) we have options now. We have players coming back from injury giving us alternatives, which is going to be crucial. Players can’t maintain same level for 10 months - it’s just impossible."
"We need to change and we have to generate alternatives and be more unpredictable for opponents sometimes as well.
We have those options now."
Unaongea kwa uchungu SanaTimu yako yenye options kila idara imeshatolewa makombe 2.
EPL mnapumuliwa kabla ya kwenda Etihad (kupigwa tena).
Europa siku zenu zinahesabika.
Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu. Kinachowapa Arsenal ushindi sasa hivi ni momentum by the time mkishikwa vizuri ndiyo wakati wa anguko lenu kutimia.
Arsenal hamtabeba kombe lolote msimu huu. Time will tell.


Weka msimamo hapa tuone umemkutajeTunachojua sisi pamoja na Arsenal kukimbia kote bado tumemkuta kwenye msimamo.
Hii ndiyo mnasema ni Arsenal bora ambayo inafukuziwa na United mbovu.![]()
Mwisho wa siku baada ya mechi zinaangaliwa points.Unaongea kwa uchungu Sana
Arsenal imesukwa bhana
Eti momentum
Kama ingekuwa rahisi hivo ,mech ya Emirates msingetia aibu vile yaan dk 90 unaingia box la mpinzani mara 13?
Saka , Martinell pekee waliingia mara 25
Hiyo ndio Arsenal iliyosukwa View attachment 2532729
Yaani timu ambayo tulicheza nayo ikaingia mara 13 ndani ya dk 90 tuiogope?Naamini ninyi ndio mnaombea msipangwe na sisi
Siku siyo nyingi utajua tumewakutaje.Weka msimamo hapa tuone umemkutaje
Maana usichokijua Spurs yupo karibu kukuondoa hapo
Bado hamna timu ,upepo unawapitia na hapo mlitumia €250mMwisho wa siku baada ya mechi zinaangaliwa points.
Tulichukua points 3 na nyie mkachukua 3. Tena sisi kwa goal margin ya 2. Hata Barcelona walikuwa na mpira wao mzuri tu mwisho wa siku tumewapiga.
Mpira mzuri mnashangilia nyie tu Arsenyani. Sisi tunashangilia makombe.![]()
Stuka Spurs kakubakiza point 4Siku siyo nyingi utajua tumewakutaje.
Spurs kututoa tulipo ni ndoto.
Mlisema mnamfunga palace mnakuja Emirates mnatufunga mnaongoza ligiSiku siyo nyingi utajua tumewakutaje.
Spurs kututoa tulipo ni ndoto.
United ku-spend ndiyo kawaida yetu.Bado hamna timu ,upepo unawapitia na hapo mlitumia €250m
Newcastle na Spurs wapo karibu Sana kuwatoa top 4
Ndio maana tunawashangaa mnavyosema mnautaka ubingwa
Sasa Spurs kumaliza msimu juu ya namba 1 haiwezekani.Stuka Spurs kakubakiza point 4
Next una Liverpool anflied
Arsenal nyie tunajua ni suala la muda tu kutoka pale juu.Mlisema mnamfunga palace mnakuja Emirates mnatufunga mnaongoza ligi
Kilichowatokea kila mtu anajua
Sasa endelea kuota
😂😂😂 Hivi hamjiulizi kwanini wengine hawaendi kujiokotea kama nyie.Chelsea imekuwa sehemu ya kujiokotea wachezaji kwa Bei nafuu
Arsenal could make a shock move for Raheem Sterling. Chelsea may be forced to sell to reduce the size of their squad and Mikel Arteta is a long term admirer of the England winger. (Source:
@MailSport
)
Ten jagi kocha wa kawaida Sana , usithubutu kumuweka juu ya Arteta ,alitia aibu alipokuja pale Emirates ,ilifika muda anataman sare ya 2-2Arsenal nyie tunajua ni suala la muda tu kutoka pale juu.
Arteta hawezi kubeba ubingwa Erik ten Hag na Pep wakiwa makocha kwenye ligi.
Muda ndiyo hakimu.


