Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamna uwezo wa kutuzidi ,timu yenu bado Sana inacheza Kama middle teams tu
😂😂😂 Arsenal nasubiri sana siku mtakayocheza soka la viwango vya Dunia, hapa namaanisha Champions League.

Katika miaka yote mnayoteseka United tumeonyesha ubabe wa ku-battle na vikosi vikali Europe kwa vikosi vya kawaida tu now tumerudi bado Arsenal ina-struggle kufuzu Champions League ambako mtaenda kupata vipigo vya 5 - 0 kama kawaida yenu.


Tupo levels za mbali sana kushinda Arsenal.
 
Arsenal nasubiri sana siku mtakayocheza soka la viwango vya Dunia, hapa namaanisha Champions League.

Katika miaka yote mnayoteseka United tumeonyesha ubabe wa ku-battle na vikosi vikali Europe kwa vikosi vya kawaida tu now tumerudi bado Arsenal ina-struggle kufuzu Champions League ambako mtaenda kupata vipigo vya 5 - 0 kama kawaida yenu.


Tupo levels za mbali sana kushinda Arsenal.
Sasa Kama timu yako hata kuingia box la Arsenal haiwezi


Huoni Aibu ?

Arsenal tuna option kila idara


Mikel Arteta on if it’s more difficult to know what his best XI is:

The fact (is) we have options now. We have players coming back from injury giving us alternatives, which is going to be crucial. Players can’t maintain same level for 10 months - it’s just impossible."

"We need to change and we have to generate alternatives and be more unpredictable for opponents sometimes as well.

We have those options now."
 
Sasa Kama timu yako hata kuingia box la Arsenal haiwezi


Huoni Aibu ?

Arsenal tuna option kila idara


Mikel Arteta on if it’s more difficult to know what his best XI is:

The fact (is) we have options now. We have players coming back from injury giving us alternatives, which is going to be crucial. Players can’t maintain same level for 10 months - it’s just impossible."

"We need to change and we have to generate alternatives and be more unpredictable for opponents sometimes as well.

We have those options now."
Timu yako yenye options kila idara imeshatolewa makombe 2.

EPL mnapumuliwa kabla ya kwenda Etihad (kupigwa tena).

Europa siku zenu zinahesabika.

Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu. Kinachowapa Arsenal ushindi sasa hivi ni momentum by the time mkishikwa vizuri ndiyo wakati wa anguko lenu kutimia.

Arsenal hamtabeba kombe lolote msimu huu. Time will tell.
 
Timu yako yenye options kila idara imeshatolewa makombe 2.

EPL mnapumuliwa kabla ya kwenda Etihad (kupigwa tena).

Europa siku zenu zinahesabika.

Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu. Kinachowapa Arsenal ushindi sasa hivi ni momentum by the time mkishikwa vizuri ndiyo wakati wa anguko lenu kutimia.

Arsenal hamtabeba kombe lolote msimu huu. Time will tell.
Unaongea kwa uchungu Sana

Arsenal imesukwa bhana

Eti momentum

Kama ingekuwa rahisi hivo ,mech ya Emirates msingetia aibu vile yaan dk 90 unaingia box la mpinzani mara 13?

Saka , Martinell pekee waliingia mara 25

Hiyo ndio Arsenal iliyosukwa
Fp_KzD2WIAMNIXl.jpg
 
Tunachojua sisi pamoja na Arsenal kukimbia kote bado tumemkuta kwenye msimamo.

Hii ndiyo mnasema ni Arsenal bora ambayo inafukuziwa na United mbovu.
Weka msimamo hapa tuone umemkutaje

Maana usichokijua Spurs yupo karibu kukuondoa hapo
 
Unaongea kwa uchungu Sana

Arsenal imesukwa bhana

Eti momentum

Kama ingekuwa rahisi hivo ,mech ya Emirates msingetia aibu vile yaan dk 90 unaingia box la mpinzani mara 13?

Saka , Martinell pekee waliingia mara 25

Hiyo ndio Arsenal iliyosukwa View attachment 2532729
Mwisho wa siku baada ya mechi zinaangaliwa points.

Tulichukua points 3 na nyie mkachukua 3. Tena sisi kwa goal margin ya 2. Hata Barcelona walikuwa na mpira wao mzuri tu mwisho wa siku tumewapiga.

Mpira mzuri mnashangilia nyie tu Arsenyani. Sisi tunashangilia makombe. 😂
 
Naamini ninyi ndio mnaombea msipangwe na sisi
Yaani timu ambayo tulicheza nayo ikaingia mara 13 ndani ya dk 90 tuiogope?

Timu ambayo tuliweka Kiungo Lokonga ikashindwa kukamata mechi? Tuigope timu ya hivi?


Tutakuwa wehu

Kwasasa wapinzani ndio wanaogopa kucheza na Arsenal
 
Mwisho wa siku baada ya mechi zinaangaliwa points.

Tulichukua points 3 na nyie mkachukua 3. Tena sisi kwa goal margin ya 2. Hata Barcelona walikuwa na mpira wao mzuri tu mwisho wa siku tumewapiga.

Mpira mzuri mnashangilia nyie tu Arsenyani. Sisi tunashangilia makombe.
Bado hamna timu ,upepo unawapitia na hapo mlitumia €250m


Newcastle na Spurs wapo karibu Sana kuwatoa top 4

Ndio maana tunawashangaa mnavyosema mnautaka ubingwa
 
Bado hamna timu ,upepo unawapitia na hapo mlitumia €250m


Newcastle na Spurs wapo karibu Sana kuwatoa top 4

Ndio maana tunawashangaa mnavyosema mnautaka ubingwa
United ku-spend ndiyo kawaida yetu.

Hujiulizi kwanini Arsenyani hajafuzu Champions League tokea 2016/17?

Kwahiyo mnategemea ku-battle kwenye European football na wakina Madrid, Barca, PSG, Bayern kwa wachezaji wenu wa mafungu hao?

Nyie ndiyo upepo umewapitia, United tunaonyesha kwanini tulitoa pesa kwa Casemiro, Martinez, Antony. Tayari kombe 1 kabatini, bado 3.
 
Chelsea imekuwa sehemu ya kujiokotea wachezaji kwa Bei nafuu

Arsenal could make a shock move for Raheem Sterling. Chelsea may be forced to sell to reduce the size of their squad and Mikel Arteta is a long term admirer of the England winger. (Source:

@MailSport

)
 
Mlisema mnamfunga palace mnakuja Emirates mnatufunga mnaongoza ligi

Kilichowatokea kila mtu anajua


Sasa endelea kuota
Arsenal nyie tunajua ni suala la muda tu kutoka pale juu.

Arteta hawezi kubeba ubingwa Erik ten Hag na Pep wakiwa makocha kwenye ligi.

Muda ndiyo hakimu.
 
Chelsea imekuwa sehemu ya kujiokotea wachezaji kwa Bei nafuu

Arsenal could make a shock move for Raheem Sterling. Chelsea may be forced to sell to reduce the size of their squad and Mikel Arteta is a long term admirer of the England winger. (Source:

@MailSport

)
😂😂😂 Hivi hamjiulizi kwanini wengine hawaendi kujiokotea kama nyie.

Vitu vizuri gharama!!!

Madrid angekuwa na akili kama Arsenyani angekuwa na yeye kila msimu anagombea Europa.
 
Arsenal nyie tunajua ni suala la muda tu kutoka pale juu.

Arteta hawezi kubeba ubingwa Erik ten Hag na Pep wakiwa makocha kwenye ligi.

Muda ndiyo hakimu.
Ten jagi kocha wa kawaida Sana , usithubutu kumuweka juu ya Arteta ,alitia aibu alipokuja pale Emirates ,ilifika muda anataman sare ya 2-2


Tumeshuhudia mech kibao jinsi mnavyohangaika , individual brilliance ndio inawabeba kwasasa


Mech na Leicester bila individual brilliance za degea tungeongea mengine


Hao hao Leicester Vs Arsenal dk 90 wamepiga shot 1 Tena off target


Unaona levels hizo ambazo tumeweka


Hatupo pale juu kwa ngekewa
 
Back
Top Bottom