Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira ni mbinu na akili. Arteta ile siku alizidiwa akili, mkubali au mkatae.

Sawa basi, Martinelli alifunga ni 3 - 2 nani anabaki na points 3?

Umeona jinsi gani Arsenyani mnashangilia vitu vitu vya kijinga, eti possession!!!

Watu tunaangalia ushindi tu, hayo mengine ni ya timu ndogo kama Arsenal.

Msimu ulioisha walikua wanashangilia clean sheets, halafu hizohizo clean shit zao walizokua wanazishangilia zikaishia kuwapeleka Europa na Spurs kiulaini akaenda UEFA.
Msimu huu wanashangilia possessions na kuingia ndani ya box mara nyingi
 
Pale pale kwenye mshono
its_onana-20230301-0005.jpg
 
Tunapaswa kuingia hii mechi kwa tahadhari sana ukiangalia na matokeo tuliyopata na opponent wetu kwenye game iliyopita tuliyokutana.
Kweli Kabisa, kigoli kimoja sio afya kwa timu inayopossess mpira kwa asilimia kubwa, huenda wapinzani wetu wameshajua mbinu zetu.
 
Kwahiyo timu zikiambiwa zitoke na kombe nyie mtatoka na hilo koloboi cup?
We kima mtu anapoagiza chakula hotel hua anaanza kuletewa Starter, kisha inafata Soup, baada ya hapo ndio inakuja main course halafu mwisho unamalizia na Dessert.
Sasa Man Utd tumeanza na Starter Shida iko wapi?

English clubs with most trophies in the history (All major trophies):
Liverpool - 68
Man United - 67
Arsenal - 48
Chelsea - 34
Man City - 29
Tottenham Hotspurs - 26
Aston Villa - 25

Man United bado kombe moja pekee tuwafikie Liverpool.

Hebu nikumbushe kwanza mara ya mwisho Arsenyani kucheza Uefa ilikua mwaka gani?


Screenshot_20230301_174140.jpg
 
MARCH 1 2023 ,ni siku ya kutafuna Kile Kiporo chetu dhidi ya EVERTON.

-Mechi ya kwanza tulifungwa 1-0, Everton walikaa sana chini na Sean Dyche aliijaza sana Midfield ikiwa na Idriss Gana, Abdoulaye Dacoure ,Amadou Onana

-Everton walizuia kabisa Chanzo Cha hatari nyingi za Arsenal kwenye kutokea maeneo ya Pembeni kwa kuhakikisha Gabi Martinelli na Bukayo Saka hawapokei mpira wakiwana na 1v1

-Newcastle United pia walitumia approach hyo hyo na wakapata 0-0

-Mikel Arteta anatakiwa kuja na Solutions Leo,ili kutanua wigo wa Points dhidi ya Manchester City na kuwa 5

-Je anaweza pengine kuanza na Kieran Tierney kama Left back badala ya Zinchenko? Zinchenko amekuwa muhimu sana kwenye kuimarisha umilikaji wa Mpira wa Arsenal akisogea ndani pembeni ya Jorginho au Partey

-Lakini kwasababu eneo la katikati kurudi nyuma Everton itajaza sana watu, ufanisi pia wa Zinchenko unaweza usiwe wa Kiwango cha juu sana.Na kushambulia kupitia pembeni inaweza pengine kutoa majibu kidogo

-Kuanza kwa Kieran Tierney itamaanisha pia Gabriel Martinelli kuwa na uhuru zaidi kushambulia box kuliko akiwa anashika ule mstari wa Pambizo

-Kuna swali pia kuhusu Thomas Partey na Jorginho kuanza pamoja Leo.Kwangu naona mtu pekee anayeweza kufanya kile Granit Xhaka anafanya akisogea juu ni Fabio Viera.

-Vipi kuhusu Leandro Trossard na Eddie ENKETIAH? Eddie arejee kikosini au Trossard aanze kama mechi iliyopita?


IMG_20230301_183152.jpg
 
MARCH 1 2023 ,ni siku ya kutafuna Kile Kiporo chetu dhidi ya EVERTON.

-Mechi ya kwanza tulifungwa 1-0, Everton walikaa sana chini na Sean Dyche aliijaza sana Midfield ikiwa na Idriss Gana, Abdoulaye Dacoure ,Amadou Onana

-Everton walizuia kabisa Chanzo Cha hatari nyingi za Arsenal kwenye kutokea maeneo ya Pembeni kwa kuhakikisha Gabi Martinelli na Bukayo Saka hawapokei mpira wakiwana na 1v1

-Newcastle United pia walitumia approach hyo hyo na wakapata 0-0

-Mikel Arteta anatakiwa kuja na Solutions Leo,ili kutanua wigo wa Points dhidi ya Manchester City na kuwa 5

-Je anaweza pengine kuanza na Kieran Tierney kama Left back badala ya Zinchenko? Zinchenko amekuwa muhimu sana kwenye kuimarisha umilikaji wa Mpira wa Arsenal akisogea ndani pembeni ya Jorginho au Partey

-Lakini kwasababu eneo la katikati kurudi nyuma Everton itajaza sana watu, ufanisi pia wa Zinchenko unaweza usiwe wa Kiwango cha juu sana.Na kushambulia kupitia pembeni inaweza pengine kutoa majibu kidogo

-Kuanza kwa Kieran Tierney itamaanisha pia Gabriel Martinelli kuwa na uhuru zaidi kushambulia box kuliko akiwa anashika ule mstari wa Pambizo

-Kuna swali pia kuhusu Thomas Partey na Jorginho kuanza pamoja Leo.Kwangu naona mtu pekee anayeweza kufanya kile Granit Xhaka anafanya akisogea juu ni Fabio Viera.

-Vipi kuhusu Leandro Trossard na Eddie ENKETIAH? Eddie arejee kikosini au Trossard aanze kama mechi iliyopita?


View attachment 2533946
Anza na Zinchenko ili asaidiane na Jorginho hapo kati. Mbele inaelekea combi ya Trossard, Martinelli na Saka imekuwa nzuri hivyo anzisha Eddie bench. Hii mechi itawale vizuri usimpe Everton nafasi ya kushambulia.

Ukimshambilia mshambulie haswa na tengeneza nafasi na jitahidi kuzitumia. Shots ziwe nyingi na accurate na zizae magoli.

Cheza mpira wako wa burudani tu, Everton atashindwa kukumudu. Kumbuka goli la Saka vs Leicester ambalo Martinelli alimsquare baada ya through ball ya Odegaard? Sema bahati mbaya ilikuwa offside. Wapige mambo kama hayo. Ikibidi shoot Kwa nje ya 18... Trossard, Jorginho, Saka na Ode naona wanaweza kidogo kazi hii.
 
Back
Top Bottom