Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 613
- 987
So far, jorgii ni kam ameanza na timu toka, season ya kwanzaKuna wawili hapa tulisema Jorginho hapana, tulishambuliwa sana
So far so good,, Jorgi, man of the match
So far, jorgii ni kam ameanza na timu toka, season ya kwanzaKuna wawili hapa tulisema Jorginho hapana, tulishambuliwa sana
TumekusikiaMkishinda niiteni mbwa au zuwena wa mondi
Dah hua nawaambia rafiki zangu tufanye chochote tunachotaka ikiwa tunaweza na kitatupa furaha na hatuvunji sheria za nchi. Huwezi jua utaishi mpaka liniAtsu found dead after earthquake in Turkey
Binafsi nimeona moments nyingi zilizoashiria hatuna mid nzuri au hakuna maelewano kati ya Xhaka na JorginhoSo far, jorgii ni kam ameanza na timu toka, season ya kwanza
So far so good,, Jorgi, man of the match
Weka namba ya boehly au poter apaTuongezeeni pesa kidogo basi kwa Jorginho
KOCHO FLANO na ARV mpoHizi Kima zilitumia nguvu nyingi sana siku ile zilipocheza na Man Utd, pamoja na kutufunga ila sisi ndio tuliowachomoa upepo na impact yake ndio inaonekana sasa hivi.


Uko sahihi lakini ushindi ulikuwa muhimu sana, nadhani unachosema hata kocha kakionaBinafsi nimeona moments nyingi zilizoashiria hatuna mid nzuri au hakuna maelewano kati ya Xhaka na Jorginho
Lile goli ni zuri sana kumzawadia Martinez
EvertonMechi ya kiporo ya Arsenal anacheza na timu gani?!
We mrembo dadamlamayao umeamua kuja na Id mpya, tumia tu Id yako ya dada mla mayai ndio imekaa kiutamu utamu.KOCHO FLANO na ARV mpo![]()
Leo Nketia anasemwa balaa, bora Martineli wamemsahau🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Zuwena wanamabadiriko sanaaWe mrembo dadamlamayao umeamua kuja na Id mpya, tumia tu Id yako ya dada mla mayai ndio imekaa kiutamu utamu.
Hatimae tembo karudi juu ya mti na atadumu hapo juu kwa dakika 30 kisha anadondoka tena chini na tawi lake.
Arsenal Kondoo
Nketiah KiatuView attachment 2521824
Washabiki huwa mnafurahisha sana!Angalia back 4 ya villa unavyoji- position, ni ngumu kupenya kwa style ya arteta. He does not learn
Huyu jamaa hana msimamo.Unauhakika?!