Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nawaonea huruma Northigham forest hapa dah! Hawa City watawatoa nyongo hawa watoto bure
 
Leo Nketia anasemwa balaa, bora Martineli wamemsahau Zuwena wanamabadiriko sanaa
Halafu kuna kima moja humu ilikua inadai Nketiah ni bora kuliko Rashford
tapatalk_-1293199984_512x637.jpg
 
Sijacheki gemu wakuu, performance ya timu mmeionaje? Zile individual errors bado zipo?
Zipo au niseme errors zinafanywa na system.

Goli la pili ni matokeo ya hizo errors.

Chances za kushuti walizopata ni matokeo hayo.

Xhaka alikua vulnerable mno.
 
Martinez haipendi Arsenal

Sisi na yeye uhusiano wetu umekua wa mtu na mpenzi ambao wameachana kwa kisasi.

Baada ya 2-2 akawa anaoverdelay mpaka akapata yellow, akiwa ana hamu ya kuhakikisha poetic justice inatendeka akaenda mbele muda wa kona kusaidia mashambulizi ili Villa ipate suluhu, hii ikawa a blessing in disguise na ikatupa goli la nne.

Hata hivyo bado naamini tunatakiwa kurudi kwenye 4 2 3 1
 
Martinez haipendi Arsenal

Sisi na yeye uhusiano wetu umekua wa mtu na mpenzi ambao wameachana kwa kisasi.

Baada ya 2-2 akawa anaoverdelay mpaka akapata yellow, akiwa ana hamu ya kuhakikisha poetic justice inatendeka akaenda mbele muda wa kona kusaidia mashambulizi ili Villa ipate suluhu, hii ikawa a blessing in disguise na ikatupa goli la nne.

Hata hivyo bado naamini tunatakiwa kurudi kwenye 4 2 3 1

I agree
 
Back
Top Bottom