Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,065
Wazee tuongezeeni hata pesa kidogo kwa Jorgnho
Wazee tuongezeeni hata pesa kidogo kwa Jorgnho
apa ndipo unapata kapicha cha title pretenders na title contender
🤣🤣🤣🤣🤣hatimae umejitokeza
Nkeita angekosa hapo
Unauhakika?!Jorginho big NO
Difficult game so far kwa season hiihatimae umejitokeza
Basi sawaa,, ngoja tuone mwez mayHata top four hatuwezi kuingia kwa style hii tatizo la Arsenal ni Kroenke
Sijawahi kuwatakia mafanikio wana London mkafungwa, inadhihirisha jinsi gani heri yangu kwenu haina kinyongo chochote.Daaah hivi kweli kabisa chama letu la London linatukwamisha hivi daaah
Arse8 nawatumainia mtafanya come back nzuri tu maana bado naamini mtabeba kombe la EPL 2022/2023

Mze umekomaa,, haya let hiyo namba tukufanyie muhamala,,Wazee tuongezeeni hata pesa kidogo kwa Jorgnho


Kamati ya roho mbaya toka Man UtdSare inawatosha

Sawa ZuwenaMkishinda niiteni mbwa au zuwena wa mondi