Hizi Kima zilitumia nguvu nyingi sana siku ile zilipocheza na Man Utd, pamoja na kutufunga ila sisi ndio tuliowachomoa upepo na impact yake ndio inaonekana sasa hivi.Ni yule yule..mechi ya tano hii anashindwa kushinda.
The guy is the trash ,he needs 10 clear chances to score one ..Nketiahhhhhh, two chances wasted
Sare inawatoshatunashinda hii game japo kwa mateso sana
lakini sio lazima mungu akuridhishe katika kila unalotamani..!Sare inawatosha
Jorginho big NO