Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
Early na late sizipend, tension inakuwa kubwa kwa wachezaj hasa wanaoogopa kupoteza zaidMechi za mapema nuksi saana
Early na late sizipend, tension inakuwa kubwa kwa wachezaj hasa wanaoogopa kupoteza zaidMechi za mapema nuksi saana
Jamani tupunguzeni posts ambazo pia zinatufanya tuonekane vijana wa hovyo, najuwa mpira unaambatana na utani ila sio huu. Nikijaga kwenye jf platform ya sport uwa najiuliza iweje JF mods waliacha jukwaa hili lijiendesha lenyewe bila kufata sheria za JF kwa ujumla? Guys tufike pahala kabla ya ku-type na kupost tujiulize sisi ni akinanani katika jamii? Lakini tuzingatie tunachokiandika mtandaoni kinaishi miaka yote na tutakutana nacho pindi tushazeeka na tutajiona hovyo katika jamii ya wakati huo.Arsenyege
Arsepungaz

Uongo huo hiyo ni uongo bhanJamani tupunguzeni posts ambazo pia zinatufanya tuonekane vijana wa hovyo, najuwa mpira unaambatana na utani ila sio huu. Nikijaga kwenye jf platform ya sport uwa najiuliza iweje JF mods waliacha jukwaa hili lijiendesha lenyewe bila kufata sheria za JF kwa ujumla? Guys tufike pahala kabla ya ku-type na kupost tujiulize sisi ni akinanani katika jamii? Lakini tuzingatie tunachokiandika mtandaoni kinaishi miaka yote na tutakutana nacho pindi tushazeeka na tutajiona hovyo katika jamii ya wakati huo.
Ukiona mtu anaandika huo utumbo ujue ndo tafsiri ya akili yake ilivyo.Jamani tupunguzeni posts ambazo pia zinatufanya tuonekane vijana wa hovyo, najuwa mpira unaambatana na utani ila sio huu. Nikijaga kwenye jf platform ya sport uwa najiuliza iweje JF mods waliacha jukwaa hili lijiendesha lenyewe bila kufata sheria za JF kwa ujumla? Guys tufike pahala kabla ya ku-type na kupost tujiulize sisi ni akinanani katika jamii? Lakini tuzingatie tunachokiandika mtandaoni kinaishi miaka yote na tutakutana nacho pindi tushazeeka na tutajiona hovyo katika jamii ya wakati huo.
Nionyeshe post ya timu yako City ikipinga ushoga.Hii team inajinadi na kusema n mashoga hadharan bila kuogopa ,yaan ni genge la LGBT![]()
Labda lugha inawasumbua Hawa watu. Wanashindwa kutofautisha team na supporters. Usiwalaumu. UShabiki unakuwaga na vyama kibao kama Tanzania Gooners (ambapo Yuko Aaron na wanatoa misaada Kwa jamii kabisa kama chama Cha mashabiki wa arsenal), Indian Gooners nk. Na Kila club ina chama Cha supporters ambao ni gays, mfano Cha ManUtd kinaitwa Rainbow Devils. NA siyo kwenye mpira tu, karibia Kila kitu chenye following na influence kina subset ya gay followers, iwe mwanamuziki, mwanasiasa au chama Cha siasa mpaka movies na series kama Star Wars nkNionyeshe post ya timu yako City ikipinga ushoga.
Ukishindwa, tafuta ya timu yeyote duniani.
Kisha fanya hivi google jina la timu yeyote ya Uingereza kisha mbele malizia na gay supporters.
Elimu elimu elimu-Lowassa.Labda lugha inawasumbua Hawa watu. Wanashindwa kutofautisha team na supporters, usiwalaumu. UShabiki unakuwaga na vyama kibao kama Tanzania Gooners (ambapo Yuko Aaron na wanatoka misaada Kwa jamii kabisa kama chama Cha mashabiki wa arsenal), Indian Gooners nk. Na Kila club ina chama Cha supporters ambao ni gays, mfano Cha ManUtd kinaitwa Rainbow Devils. NA siyo kwenye mpira tu, karibia Kila kitu chenye following na influence kina subset ya gay followers, iwe mwanamuziki, mwanasiasa au chama Cha siasa mpaka movies na series kama Star Wars nk
Ukiachilia lugha inawezekana kuna utoto au kushindwa kua aware na vitu vinavyoenda. Watu wa hivi ndiyo wamejaa kwenye haya majukwaaLabda lugha inawasumbua Hawa watu. Wanashindwa kutofautisha team na supporters. Usiwalaumu. UShabiki unakuwaga na vyama kibao kama Tanzania Gooners (ambapo Yuko Aaron na wanatoa misaada Kwa jamii kabisa kama chama Cha mashabiki wa arsenal), Indian Gooners nk. Na Kila club ina chama Cha supporters ambao ni gays, mfano Cha ManUtd kinaitwa Rainbow Devils. NA siyo kwenye mpira tu, karibia Kila kitu chenye following na influence kina subset ya gay followers, iwe mwanamuziki, mwanasiasa au chama Cha siasa mpaka movies na series kama Star Wars nk
Umeongea point sana,football is for fun,ila tunapofika tunaanza kuandika upuuzi inakua sio FUN tena bali ni UTOTO..Jamani tupunguzeni posts ambazo pia zinatufanya tuonekane vijana wa hovyo, najuwa mpira unaambatana na utani ila sio huu. Nikijaga kwenye jf platform ya sport uwa najiuliza iweje JF mods waliacha jukwaa hili lijiendesha lenyewe bila kufata sheria za JF kwa ujumla? Guys tufike pahala kabla ya ku-type na kupost tujiulize sisi ni akinanani katika jamii? Lakini tuzingatie tunachokiandika mtandaoni kinaishi miaka yote na tutakutana nacho pindi tushazeeka na tutajiona hovyo katika jamii ya wakati huo.
Wengi wamezaliwa hii miaka ya 2000 Utoto mwingi.Umeongea point sana,football is for fun,ila tunapofika tunaanza kuandika upuuzi inakua sio FUN tena bali ni UTOTO..
Kweli kabisa mkuuUkiachilia lugha inawezekana kuna utoto au kushindwa kua aware na vitu vinavyoenda. Watu wa hivi ndiyo wamejaa kwenye haya majukwaa