Onenge
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 221
- 159
Hapo ni uzoefu,Unai ana uzoefu wa kutoshaLong way to go taking into consideration that Emery always outsmarts arteta
Hapo ni uzoefu,Unai ana uzoefu wa kutoshaLong way to go taking into consideration that Emery always outsmarts arteta
Daaah hivi kweli kabisa chama letu la London linatukwamisha hivi daaahNasikia kelele huku nani kapigwa?



Yaani tunaweza kumaliza bila hata kupiga shuti Tena wakikaa nyuma ndo basi tenaAngalia back 4 ya villa unavyoji- position, ni ngumu kupenya kwa style ya arteta. He does learn
Ni yule yule..mechi ya tano hii anashindwa kushinda.Nasikia kelele huku nani kapigwa?