Tomiyasu akawakaangaFuraha ya kumuona Tomiyasu akilejea kwenye first eleven,,
City hana sub nje , kamaliza kila kitu kwenye first Timu, mwiba zaid kwetu ni Benardo kutokana na kutokuwepo kwa Partey, mashaka yangu Xhaka atafanya Rafu nyingi sana leo
Wewe subiri city akuzidi points na muwe mnalingana naye idadi ya michezo mliocheza yani ubingwa mtaanza kuusahau tu.Haters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.
Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.
Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.
Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.
Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.
Good days are coming.🔥🔥🔥🔥
Polee mpendwa yatapitaHaters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.
Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.
Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.
Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.
Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.
Good days are coming.
Kaeni na hawa vijana misimu mitano msiwauze halafu uone izo back to back hapo emirates hazitokauka....Arsenal haitakaa itokee iwe title contender never ever never ever
Yaleyale wakicheza na united halafu naona ule ubabe wetu kwa aseno kauchukua cityMpira mnatawala ila kipigo mnaambulia nyie
Yeah mapambano bado nitaamini tumepoteza ikifuka Mei Mimi bado naimini timuHaters wamejazana hapa lakini mimi bado ninaona arsenal akibeba ubingwa. Hiki ni kipindi cha mpito na kinaelekea mwisho.
Pia ni lazima Arteta akubali kufanya mabadiliko, Saka, Odegaard, Xhaka, Martinelli, Magalhaes, Partey, White na Saliba wametumika sana, awapumzishe.
Sasa ni wakati wa kuwaweka akina kiwior, nelson, esr, kt, tomiyasu, cedric, trossad, jorginho na vieira kuanza kwenye game zijazo.
Afundishe kupiga nje ya box na kuanzisha mfumo wa kuweza kupiga counterattack. Mfumo wa sasa kuingia mpaka ndani ya box umeshafeli.
Mashabiki wa arsenal mlioanza kutukana mnaonyesha ukosefu wa ukomavu na kutoufahamu mpira vizuri.
Good days are coming.
Man uikichukua ubingwa mimi ni shoga kuanzia siku iyoMsimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Mashabiki wa arsenal wazee wa ndoto za mbio za vijiti katika kuwania ubingwa wa nyoko. Niliwambia huo ndio msimamo wa ligi mtake msitake.
Utakua shoga toka kitambo ila unataka kujitambulisha rasmi.Man uikichukua ubingwa mimi ni shoga kuanzia siku iyo
Hili nalo neno, ila hadi kwa sasa Arteta kalitupa