Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20230209-102800.png
 
Umedroo kwako pumzi unaitolea wapi ,mnatupigia makelele na timu yenu ya kuungaunga kama mabehewa ya treni ya Mwakyembe.
Sisi mpaka dakika ya 50 tayari tulikua tumeshapigwa goli 2 kwa bila, ila wanawaume tulipiga comeback ya hatari ndani ya dakika 20 tukarudisha magoli yote, nyinyi watoto wa kiume dada Ever kawagonga kimoko tu na mkashindwa kukirudisha.
 
Sisi mpaka dakika ya 50 tayari tulikua tumeshapigwa goli 2 kwa bila, ila wanawaume tulipiga comeback ya hatari ndani ya dakika 20 tukarudisha magoli yote, nyinyi watoto wa kiume dada Ever kawagonga kimoko tu na mkashindwa kukirudisha.
Nyumbani kwako,unajivunia kutoa droo halafu unajiuta kidume,labda kama mchicha mwiba.
 
Sisi mpaka dakika ya 50 tayari tulikua tumeshapigwa goli 2 kwa bila, ila wanawaume tulipiga comeback ya hatari ndani ya dakika 20 tukarudisha magoli yote, nyinyi watoto wa kiume dada Ever kawagonga kimoko tu na mkashindwa kukirudisha.
Title Contender mlikojozwa dakika ya kwanza tu na kuvunja Rekodi ya kuwa wa kwanza KUKOJOZWA mapema tangu Ligi ianze
 
| Ødegaard on before signing with Arsenal:

“I spoke to Mikel Arteta on a Zoom call and he told me all about the project. At the time, Arsenal were not doing well. They were way down like 15th in the table, but that meeting…”
 
| Ødegaard: “He told me his plan, everything he was building towards. He knew exactly what needed to change at the club. He told me all about these amazing young players in the squad — Saka, Martinelli, Smith Rowe, etc., etc.” #afc
 
| Ødegaard: “Not just me, my whole family, friends and everyone I follow! It’s such an amazing, active fan base. Random people I know would show me how the comments on their posts were full of stuff like “Tell Martin to sign for Arsenal.””
 
Hivi imekuaje msimu huu tunafungwa sana magoli ya set pieces? Msimu uliopita tulikua vizuri ila safari hii tunafungwa sana na hata ufungaji wa magoli ya set pieces umepungua
 
Hivi imekuaje msimu huu tunafungwa sana magoli ya set pieces? Msimu uliopita tulikua vizuri ila safari hii tunafungwa sana na hata ufungaji wa magoli ya set pieces umepungua
Kwenye EPL msimu huu tumefungwa goli 1 tu la set piece, dhidi ya Everton.
 
Back
Top Bottom