verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Msiba unahamia kwenu leo mataito kontendazToka mzibuliwe na Everton pamepoa sana hapa ndani.
Msiba unahamia kwenu leo mataito kontendazToka mzibuliwe na Everton pamepoa sana hapa ndani.
Kwa mujibu wa Gary Neville wanachukua ndoo.Msiba unahamia kwenu leo mataito kontendaz
Yap, bado jiwe linanitesa.Oya bado upo Msumbiji?
Yap, bado jiwe linanitesa.
Bado wapo kwenye matanga,Toka mzibuliwe na Everton pamepoa sana hapa ndani.
Yap, bado jiwe linanitesa.
Kama ambavyo NKETIAH alivyowazibua mitaro siku ile mkabaki kuachia vijambo tuToka mzibuliwe na Everton pamepoa sana hapa ndani.
Yule ni hater wetu, sio pundit wa kumsikilizaKwa mujibu wa Gary Neville wanachukua ndoo.
Sheikh mbona lugha kali sanaKama ambavyo NKETIAH alivyowazibua mitaro siku ile mkabaki kuachia vijambo tu
Kama na sisi tulivyowazibua flop Antony akiwagalagazaKama ambavyo NKETIAH alivyowazibua mitaro siku ile mkabaki kuachia vijambo tu

Toka uko mashimoni mchizi boti njoo tubeti, ci unaona manjestaa kila game anashinda 😉😉Yap, bado jiwe linanitesa.
Kwenye hii fixture huyu arse8 anapoteza zote hapoJojinyo kaja na matokeo yake mfukoni kutoka chelsea.
Mkiachana na mechi 2 zinazofata za kutema ndoano dhidi ya Brentford na Man City fixture yenu ya mwisho wa ligi imekaa kiEuropa Europa msimu unaofata.
Asenyo endeleeni kula mtori, nyama mtakutana nazo mwisho wa April na mwanzo wa May. View attachment 2506947
Wazoefu nawaona wanatoka na nakuingia, ila kwa mgeni sikushauri.Kunaingilika huko?
Mchizi boti, me sili kwa shemeji.Toka uko mashimoni mchizi boti njoo tubeti, ci unaona manjestaa kila game anashinda![]()
Me natafuta pesa, sio akili.Ndio maana una akili za kijinga,
Wazoefu nawaona wanatoka na nakuingia, ila kwa mgeni sikushauri.
Kuanzia juzi, wale jamaa (waasi) wamerudi kwa kasi na nguvu mpyaa.
Kuna kijiji wamechinja kama watu 16 hivi.
Ila tuachane na hayo, tunatoka nje ya maudhui.
Yule ngoja achanganye ndio utajua bado ni mapema kumjajiMchizi boti, me sili kwa shemeji.
Wanaobeti wengi wao hawana majukumu.
Ila mchizi boti pale kwa Enzo mumepigwa na kitu kizito, yule sio mchezaji wa kununua kiasi kile cha pesa.