Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

napata matumaini ya kufanya vema game ya leo. japo katikati sina imani napo. so far tumewashika ila hatujaitumia vema nafasi hii.
 
Jamaa wameshaanza kuzoea game na ile speed we started with is gone. This isnt good for us. ref anabana sana tht was really penalt. i mean vidic hand ball
 
Hii inaonyesha how man u wanavyobebwa this season. there is no way linesman awe hakuona ule mkono and to me that was a penalt n straight red
 
Kwan kubebwa tumeanza leo...
Marefa nao wana akili...wanajua kuchagua na kupenda vitu vizur....
Wenztu jana wamebebwa...leo zamu ytu.
 
refa naona kaamua kuwaongezea nguvu mazeee. kwa staili hii sijui tu
 
mshika kibendera kaiona hile ya vidic kabana kama kawaida yao kutafuta timu ya kuibeba.

Sio nshika kibendera tu. hata refa aliuona ule mkono. ila hii game tumewashika sana hstukutumia nafasi zetu vzr. we just had a beatiful first half.
 
Sio nshika kibendera tu. hata refa aliuona ule mkono. ila hii game tumewashika sana hstukutumia nafasi zetu vzr. we just had a beatiful first half.
angalia vizuri position ya refa na mshika kibendera kama wangeweza kuona lile tukio usilaumu tu
 
Back
Top Bottom