Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa manufaa ya members jaribu kufafanua mkuu ili watu waelewe na kama yupo wa kupinga na yeye aseme anachokijua. Mfn ukisema yupo slow ni yupo slow kwenye nini na vile vile unaposema ni mzito kwenye kufanya maamuzi una maanisha nini. Nadhani kwa kufanya hivyo utakuwa umetengeneza argument yenye fact
Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.

Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
 
Naisubiri combination ya Partey Jorginho halafu na Zinchenko wote watatu Ni Press Resistant


Tutapiga pass 700+, Kuna mtu atakula wiki hi Round ya 2

Mark my words

Hapo mpinzani mpira unausaka kwa tochi maana Øde , saka , Trossard wanaletewa Mali kila sekunde
Unyama sana mkuu!!!!
Wakati huo Martinelli akichoka, Trossard huyooooooo. Huku ESR akiendelea kuimarika zaid.

Moto wa hii round inayofata, ni zaidi na tuloanza nao!!!!Maji yataitwa mmaa!!!
 
Anavyofikiri kocha sio kama wanavyofikiri mashabiki, anaishi na wachezaji kila siku, sisi tunawaangalia tu kwenye screen, kuna mambo mengi yanaangaliwa kwa mchezaji, ndio maana kuna wachezaji walipigiwa kelele na mashabiki lakini kocha anaamua kubaki nao na wanafanya vizuri. Kwahiyo sio kubwatuka bwatuka tu kama wewe ndio kocha
Kama huna akili ya kuuangalia mchango wa mchezaji mpaka umsubiri kocha hilo siyo kosa langu
 
NIMEIPENDA SANA HII , HUWEZI KUMTUPA MTU KISA KAUMIA

#FC will trigger Mohamed Elneny's option for a one year contract extension despite Jorginho transfer. Popular member of the dressing room and highly valued for his experience and professionalism.


IMG_20230131_234242.jpg
 
Naisubiri combination ya Partey Jorginho halafu na Zinchenko wote watatu Ni Press Resistant


Tutapiga pass 700+, Kuna mtu atakula wiki hi Round ya 2

Mark my words

Hapo mpinzani mpira unausaka kwa tochi maana Øde , saka , Trossard wanaletewa Mali kila sekunde
Nadhani kimbinu ni ngumu kuwatumia wote 3 kwa pamoja japo inawezekana. Sababu zangu binafsi ni kwamba;

1. Jorginho ni mzuri sana kwenye kupiga pass na anakaa vzr sana kwenye eneo lake. Shida yake ni kwamba hana uwezo wa ku-cover eneo kubwa akiwa peke yake kama DM hivyo kucheza pamoja na Partey au na Zinny itamfanya awe bora zaidi.

2. Partey kwa sasa ni kiungo (DM)alietimia na sifa yake kubwa ni uwezo wa ku-cover eneo kubwa ndo maana huwa anatumika kwa kusimama peke yake(single pivot) lkn nadhan kwa kumpunguzia kazi Arteta akamfanya Zinny kucheza km kiungo pia.

3. Zinny pia ni master kwenye pass lkn ana udhaifu kwenye kuzuia.

Kwahiyo kwa concept hiyo Partey anaweza kucheza pamoja na Jorginho kwa vile Jorginho anaweza ku-offer kile ambacho zinny anaki-offer kwenye kiungo na ikiwa hivyo maana yake ni kwamba Zinny itabidi ampishe Tierney ili kuimarisha ulinzi. Huu ni mtizamo wangu mimi
 
Nadhani kimbinu ni ngumu kuwatumia wote 3 kwa pamoja japo inawezekana. Sababu zangu binafsi ni kwamba;

1. Jorginho ni mzuri sana kwenye kupiga pass na anakaa vzr sana kwenye eneo lake. Shida yake ni kwamba hana uwezo wa ku-cover eneo kubwa akiwa peke yake kama DM hivyo kucheza pamoja na Partey au na Zinny itamfanya awe bora zaidi.

2. Partey kwa sasa ni kiungo (DM)alietimia na sifa yake kubwa ni uwezo wa ku-cover eneo kubwa ndo maana huwa anatumika kwa kusimama peke yake(single pivot) lkn nadhan kwa kumpunguzia kazi Arteta akamfanya Zinny kucheza km kiungo pia.

3. Zinny pia ni master kwenye pass lkn ana udhaifu kwenye kuzuia.

Kwahiyo kwa concept hiyo Partey anaweza kucheza pamoja na Jorginho kwa vile Jorginho anaweza ku-offer kile ambacho zinny anaki-offer kwenye kiungo na ikiwa hivyo maana yake ni kwamba Zinny itabidi ampishe Tierney ili kuimarisha ulinzi. Huu ni mtizamo wangu mimi
Ndicho nilichofikiria ,maana Jorginho namfahamu hawezi ku cover eneo kubwa ,Arteta anatumia Single Pivot Kama Pep au Barcelona


Ndio maana nikaona tukiwaweka wote na Partey plus Zinny

Nataka nione Nini kitatokea ,
 
USARA ZANGU GWIJI LA HIGHBURY

🤏 JORGINHO signing kwanini ni Usajili ambao atleast unatupa walau asilimia 60 ya tulichokuwa tunahitaji CM hapo mimi nitajikita kwenye tactical aspects

Wachezaji aina ya JORGINHO kwa sasa ni wachache mno watailano wanawahita REGISTA ni wachezaji ambao wapo vyema kucheza kama Orchstator au tuseme ball carrier kutokaea kwa mabeki

🤏 Kwa misingi hii hawa wana footwork nzuri na accuracy kubwa kupiga pass mahala sahihi na zikafika kila angle ya uwanja kwa misingi hii kwa vile Arsenal ni team ambayo ID yao ni possession based football basi Jorginho anafit

🤏 Kwenye soka kuna kitu tunaita press resistance wachezaji ambao hawana pressure na mpira ata wakikabwa ni rahisi kupata upenyo kuwa press uwa ni ngumu mfano Zinchenko sasa Jorginho type hiyo

kwa vile Arteta anahitaji kiungo anaecheza 6 awe ball carrier mzuri sio kukaba tu basi Jorginho anafit hapo sababu team ina miliki mpira muda mrefu

Wasi wasi wa watu wengi ni pindi team ikiwa haina mpira wanakaba vipi basi Nikupe siri watu siku hizi wanakaba ndani mfumo na sio mtu mmoja tu

Ukimuangalia Rodri au Bisquet ni Viungo kariba Jorginho ila bado team zao ni dorminant kwenye aspects zote

🤏 Naelewa Tumemkosa Caceido ambae pengine angekuwa long term replacement ya kina partey Lakini Nature deal imegoma kwa muuzaji swali tungeendelea tu na Partey bila walau cover

🤏 Jorginho 31 bado ana miaka 2 mitatu kutumika kwenye kiwango kizuri tu ndio maana team imempa short term deal ili kumuangalia 18 Months

Nimalize kusema Aliyepush kumsajili uyu ni Arteta aliwahi kukikili viungo wachache sana kariba Jorginho ndio maana alimuhitaji akiwa City hivyo anajua Ni set up gani atamtumia bila kuharibu balance ya team kiushambuliaji na kiukabaji

Mchezaji yeyote akivaaa jezi Arsenal namsupport 100% uyu ni mimi

Amigo adios hermanos
 
Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.

Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako
 
Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.

Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
Hivyo ndivyo watu hubishana mkuu kwa maana km kuna aliye tofauti na wewe atakuja na mtizamo wake kisha mwenye strong reason ataonekana amechambua vzr na wengine watajifunza.

Mfano mimi ninachokiona kwa Jorginho ni kutokuwa na uwezo ku-cover eneo kubwa hivyo anapojisahu tu kidogo anajikuta yuko vulnerable kwenye eneo lake lkn ebu chukulia kukiwa na mtu mwingine wa kumsaidia km Zinchenko au wakicheza wote wawili na partey km double pivot?

Kitu ulichokisema ambacho mimi nakubaliana na wewe ni kwamba hatujawahi kuwa na bahati na wachezaji wanaotoka Chelsea kwahiyo hata kwa Jorginho inaweza kuwa same story
 
Kila team huwa na malengo katika suala zima la usajili na kila kwenye usajili huwa Kuna target ya kwanza na target ya pili na ya tatu

Nikikazia sana kwenye hili dirisha dogo la January target ya kwanza ilikuwa ni Mudryk Ila iliposhindikana target yetu ya pili ikawa Trossard tukampata

Tukahamia kwenye kiungo hapo target yetu ilikuwa ni Caicedo Brighton wameweka ngumu kwamba hawamuuzi licha ya kutuma ofa mpaka 80M

Bado wameipiga chini tukageukia target ya pili Kwa Jorginho na sio mbaya tumempata bado mnaanza kulalama

Iko hivi hakuna dirisha gumu kwa mchezaji kama kumuuza kama dirisha dogo kwa sababu klabu nyingi huwa zinakuwa nusu ya malengo ambayo wamejiwekea

Na hata kama wameamua kumuweka sokoni basi gharama zao zinakuwa kubwa sidhani kama yule Mudryk angefika thamani ya 100M au Leo Caicedo kufika thamani ya 80M sio kwamba hawajui mpira wanaujua sana

Ila ni kwamba kwa dirisha dogo kama hili wachezaji wa hizo level ni wachache tofauti na dirisha kubwa ambapo wachezaji wanakuwa wako wengi sokoni na kunakuwa na muda mwingi wa kutafuta replacement za wachezaji wanaowauza

Jorginho na Trossard ni wachezaji wa malengo mafupi tofauti mtu kama Zichenko au Jakb na ningewaona watu wa maana humu ndani basi mngeanza kulalamika kipindi kile Cha dirisha kubwa

Kwamba mnahitaji replacement ya maana ya Partey na mlikuwa wa kwanza kuwasifia na kuwatetea wakina Lokonga na Elneny na kuna watu walisema ingekuwa ukichaa kutoa 45M kwa Douglas Luiz Leo tumepeleka 80M na imekataliwa

Dirisha January ni gumu sababu wachezaji wanakuwa Wana gharama kubwa na pia kulingana na sera za klabu yetu ni wagumu kumwaga pesa

Mnaoponda usajili wa Jorginho tukutane May mponde vizuri tumekosa ubingwa Ila kwa sasa wote tusimame kwenye mstari mmoja kama mlivyokuwa mnaniambia Mimi tumuamini Arteta

#COYG
#ONCEAGUNNERALWAYSAGUNNER
 
Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.

Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
Pass 8000 zote back pass, anakeraa huyo mwamba.
 
Hivyo ndivyo watu hubishana mkuu kwa maana km kuna aliye tofauti na wewe atakuja na mtizamo wake kisha mwenye strong reason ataonekana amechambua vzr na wengine watajifunza.

Mfano mimi ninachokiona kwa Jorginho ni kutokuwa na uwezo ku-cover eneo kubwa hivyo anapojisahu tu kidogo anajikuta yuko vulnerable kwenye eneo lake lkn ebu chukulia kukiwa na mtu mwingine wa kumsaidia km Zinchenko au wakicheza wote wawili na partey km double pivot?

Kitu ulichokisema ambacho mimi nakubaliana na wewe ni kwamba hatujawahi kuwa na bahati na wachezaji wanaotoka Chelsea kwahiyo hata kwa Jorginho inaweza kuwa same story
Jorginho is such an Arteta player. He is great in a team that plays on his strength. He has a manager's brains and will be perfect for Arteta because his football IQ is so high. That's why Pep wanted him at City when he was at Napoli and why Arteta already wanted him last summer.
 
Nilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.

Danilo uliumbuka
Ujio wa Kiwior uliumbuka
Kumfukuzia Fresneda uliumbuka
Felix uliumbuka
Lokonga uliumbuka

So hakuna ulilowahi debate na Mimi ukafanikiwa. So nshakudharau kitambo tu. Tokea jukwaa la intelligence ulikua na ubishi wa KISABATO wakati ulikua hujui lolote kuhusu bible.

Angalia comments za watu about you wote wanakuona delusional. JITAFAKARI
Ila na wewe ndugu kama unapenda ligi hivi!.. unamfuatilia sana jamaa na unafukua Hata maubisha I yenu ya miaka mingi ya nyuma.. kama unaona hakuelewi busara ni kukaa kimya na kuendelea kutoa mchango wako chanya humu..
 
Arsenyani mnatakiwa mchukue darasa hapa, tuition Chelsea.

20230201_004306.jpg


Endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu, watu wanavunja vibubu. Mudryk, Enzo. 🔥 Kuwa club kubwa siyo kuongoza ligi, kuna msimu Leicester pia alikuwa bingwa.
 
Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako
Niliondoka humu muda mkubwa nimerudi nakutana na hizi species zinazoishi maeneo ambayo matako ni currency, huna akili huwezi hata fikiria kama na mimi naishi maeneo kama yako au hapana.

Mimi kijiweni nimeshinda sana ila siyo siku hizi nigga enzi za mimi kushinda kijiweni ni zile Arsenal haijielewi. Jitahidi kitu kimoja toka kwenye hiyo lifestyle utaharibiwa wewe bado mtoto mdogo, stress za matokeo yako ya form four usiniangushie mimi. Mimi hili jukwaa nakuja kwa kupenda siyo kwakua sina kazi za kufanya, na kama unahisi matako yako yanaweza tumika kufanya malipo confirm tuone tunafanyaje.
 
Back
Top Bottom