Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hii picha ni kama Mc Mboneke na Steve Nyerere na hilo koti la Jorginho![]()





Hii picha ni kama Mc Mboneke na Steve Nyerere na hilo koti la Jorginho![]()





Dah 😂Hii picha ni kama Mc Mboneke na Steve Nyerere na hilo koti la Jorginho![]()
Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.Kwa manufaa ya members jaribu kufafanua mkuu ili watu waelewe na kama yupo wa kupinga na yeye aseme anachokijua. Mfn ukisema yupo slow ni yupo slow kwenye nini na vile vile unaposema ni mzito kwenye kufanya maamuzi una maanisha nini. Nadhani kwa kufanya hivyo utakuwa umetengeneza argument yenye fact
Unyama sana mkuu!!!!Naisubiri combination ya Partey Jorginho halafu na Zinchenko wote watatu Ni Press Resistant
Tutapiga pass 700+, Kuna mtu atakula wiki hi Round ya 2
Mark my words
Hapo mpinzani mpira unausaka kwa tochi maana Øde , saka , Trossard wanaletewa Mali kila sekunde
Kama huna akili ya kuuangalia mchango wa mchezaji mpaka umsubiri kocha hilo siyo kosa languAnavyofikiri kocha sio kama wanavyofikiri mashabiki, anaishi na wachezaji kila siku, sisi tunawaangalia tu kwenye screen, kuna mambo mengi yanaangaliwa kwa mchezaji, ndio maana kuna wachezaji walipigiwa kelele na mashabiki lakini kocha anaamua kubaki nao na wanafanya vizuri. Kwahiyo sio kubwatuka bwatuka tu kama wewe ndio kocha
Nadhani kimbinu ni ngumu kuwatumia wote 3 kwa pamoja japo inawezekana. Sababu zangu binafsi ni kwamba;Naisubiri combination ya Partey Jorginho halafu na Zinchenko wote watatu Ni Press Resistant
Tutapiga pass 700+, Kuna mtu atakula wiki hi Round ya 2
Mark my words
Hapo mpinzani mpira unausaka kwa tochi maana Øde , saka , Trossard wanaletewa Mali kila sekunde
Ndicho nilichofikiria ,maana Jorginho namfahamu hawezi ku cover eneo kubwa ,Arteta anatumia Single Pivot Kama Pep au BarcelonaNadhani kimbinu ni ngumu kuwatumia wote 3 kwa pamoja japo inawezekana. Sababu zangu binafsi ni kwamba;
1. Jorginho ni mzuri sana kwenye kupiga pass na anakaa vzr sana kwenye eneo lake. Shida yake ni kwamba hana uwezo wa ku-cover eneo kubwa akiwa peke yake kama DM hivyo kucheza pamoja na Partey au na Zinny itamfanya awe bora zaidi.
2. Partey kwa sasa ni kiungo (DM)alietimia na sifa yake kubwa ni uwezo wa ku-cover eneo kubwa ndo maana huwa anatumika kwa kusimama peke yake(single pivot) lkn nadhan kwa kumpunguzia kazi Arteta akamfanya Zinny kucheza km kiungo pia.
3. Zinny pia ni master kwenye pass lkn ana udhaifu kwenye kuzuia.
Kwahiyo kwa concept hiyo Partey anaweza kucheza pamoja na Jorginho kwa vile Jorginho anaweza ku-offer kile ambacho zinny anaki-offer kwenye kiungo na ikiwa hivyo maana yake ni kwamba Zinny itabidi ampishe Tierney ili kuimarisha ulinzi. Huu ni mtizamo wangu mimi
USARA ZANGU GWIJI LA HIGHBURY
JORGINHO signing kwanini ni Usajili ambao atleast unatupa walau asilimia 60 ya tulichokuwa tunahitaji CM hapo mimi nitajikita kwenye tactical aspects
Wachezaji aina ya JORGINHO kwa sasa ni wachache mno watailano wanawahita REGISTA ni wachezaji ambao wapo vyema kucheza kama Orchstator au tuseme ball carrier kutokaea kwa mabeki
Kwa misingi hii hawa wana footwork nzuri na accuracy kubwa kupiga pass mahala sahihi na zikafika kila angle ya uwanja kwa misingi hii kwa vile Arsenal ni team ambayo ID yao ni possession based football basi Jorginho anafit
Kwenye soka kuna kitu tunaita press resistance wachezaji ambao hawana pressure na mpira ata wakikabwa ni rahisi kupata upenyo kuwa press uwa ni ngumu mfano Zinchenko sasa Jorginho type hiyo
kwa vile Arteta anahitaji kiungo anaecheza 6 awe ball carrier mzuri sio kukaba tu basi Jorginho anafit hapo sababu team ina miliki mpira muda mrefu
Wasi wasi wa watu wengi ni pindi team ikiwa haina mpira wanakaba vipi basi Nikupe siri watu siku hizi wanakaba ndani mfumo na sio mtu mmoja tu
Ukimuangalia Rodri au Bisquet ni Viungo kariba Jorginho ila bado team zao ni dorminant kwenye aspects zote
Naelewa Tumemkosa Caceido ambae pengine angekuwa long term replacement ya kina partey Lakini Nature deal imegoma kwa muuzaji swali tungeendelea tu na Partey bila walau cover
Jorginho 31 bado ana miaka 2 mitatu kutumika kwenye kiwango kizuri tu ndio maana team imempa short term deal ili kumuangalia 18 Months
Nimalize kusema Aliyepush kumsajili uyu ni Arteta aliwahi kukikili viungo wachache sana kariba Jorginho ndio maana alimuhitaji akiwa City hivyo anajua Ni set up gani atamtumia bila kuharibu balance ya team kiushambuliaji na kiukabaji
Mchezaji yeyote akivaaa jezi Arsenal namsupport 100% uyu ni mimiUmekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matakoYupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.
Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
Hivyo ndivyo watu hubishana mkuu kwa maana km kuna aliye tofauti na wewe atakuja na mtizamo wake kisha mwenye strong reason ataonekana amechambua vzr na wengine watajifunza.Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.
Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.


kwahiyo hata kwa Jorginho inaweza kuwa same story
Ila iliposhindikana target yetu ya pili ikawa Trossard tukampata 
Pass 8000 zote back pass, anakeraa huyo mwamba.Yupo slow hawezi kutrack back hii inasababisha timu iwe vulnerable kwenye counter.
Akiwa na mpira anatumia muda mkubwa kuangalia team mates positioning hii husababisha anyang'anywe mipira mara nyingi ili kuepuka hili amekua aki-back pass.
Jorginho is such an Arteta player. He is great in a team that plays on his strength. He has a manager's brains and will be perfect for Arteta because his football IQ is so high. That's why Pep wanted him at City when he was at Napoli and why Arteta already wanted him last summer.Hivyo ndivyo watu hubishana mkuu kwa maana km kuna aliye tofauti na wewe atakuja na mtizamo wake kisha mwenye strong reason ataonekana amechambua vzr na wengine watajifunza.
Mfano mimi ninachokiona kwa Jorginho ni kutokuwa na uwezo ku-cover eneo kubwa hivyo anapojisahu tu kidogo anajikuta yuko vulnerable kwenye eneo lake lkn ebu chukulia kukiwa na mtu mwingine wa kumsaidia km Zinchenko au wakicheza wote wawili na partey km double pivot?
Kitu ulichokisema ambacho mimi nakubaliana na wewe ni kwamba hatujawahi kuwa na bahati na wachezaji wanaotoka Chelseakwahiyo hata kwa Jorginho inaweza kuwa same story
Ila na wewe ndugu kama unapenda ligi hivi!.. unamfuatilia sana jamaa na unafukua Hata maubisha I yenu ya miaka mingi ya nyuma.. kama unaona hakuelewi busara ni kukaa kimya na kuendelea kutoa mchango wako chanya humu..Nilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.
Danilo uliumbuka
Ujio wa Kiwior uliumbuka
Kumfukuzia Fresneda uliumbuka
Felix uliumbuka
Lokonga uliumbuka
So hakuna ulilowahi debate na Mimi ukafanikiwa. So nshakudharau kitambo tu. Tokea jukwaa la intelligence ulikua na ubishi wa KISABATO wakati ulikua hujui lolote kuhusu bible.
Angalia comments za watu about you wote wanakuona delusional. JITAFAKARI
Hivi nyie mnahisi huyo Sabitzer ndio atakaewaokoa?Arsenyani mnatakiwa mchukue darasa hapa, tuition Chelsea.
View attachment 2502001
Endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu, watu wanavunja vibubu. Mudryk, Enzo. 🔥 Kuwa club kubwa siyo kuongoza ligi, kuna msimu Leicester pia alikuwa bingwa.
Kwa hiyo jamaa ni Mla mihogo?Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako
Niliondoka humu muda mkubwa nimerudi nakutana na hizi species zinazoishi maeneo ambayo matako ni currency, huna akili huwezi hata fikiria kama na mimi naishi maeneo kama yako au hapana.Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako