Jamaa hawezi cover eneo kubwa kwakua yupo slow, now kuna viungo at their peak walikua slow na mambo yanaenda mfano Busquet alichokosa kwenye speed akacompensate katika technical ability na skills na kwakua timu yao inafanya sana possession hii trait haikuwahi mfanya aonekane mzigo.Hivyo ndivyo watu hubishana mkuu kwa maana km kuna aliye tofauti na wewe atakuja na mtizamo wake kisha mwenye strong reason ataonekana amechambua vzr na wengine watajifunza.
Mfano mimi ninachokiona kwa Jorginho ni kutokuwa na uwezo ku-cover eneo kubwa hivyo anapojisahu tu kidogo anajikuta yuko vulnerable kwenye eneo lake lkn ebu chukulia kukiwa na mtu mwingine wa kumsaidia km Zinchenko au wakicheza wote wawili na partey km double pivot?
Kitu ulichokisema ambacho mimi nakubaliana na wewe ni kwamba hatujawahi kuwa na bahati na wachezaji wanaotoka Chelseakwahiyo hata kwa Jorginho inaweza kuwa same story

Kuwa club kubwa siyo kuongoza ligi, kuna msimu Leicester pia alikuwa bingwa.

JORGINHO FRELLO
Tangu alipojiunga na Chelsea msimu wa 2018-19, Jorge Luiz frello (Jorginho) amefunga mabao ya penati (19) kwenye premier league, mengi zaiidi ya mchezaji mwengine yoyote kuanzia kipindi hicho hadi hivi sasa.
Arsenal wamekamilisha usajili wa Kiungo huyu mwenye umri wa miaka 31 kutoka Chelsea kwa ada ya £10 na nyongeza ya £2.