Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal hatuna historia ya kununua waItalia, Jorginho ni mchezaji wa pili kutoka Italia; wa mwisho alitokea kwenye youth team na hakudumu kwenye kikosi cha kwanza. 2005/6; ingawaje jorginho kiuhalisia ni Mbrazil
 
Ndio maana wengi wakitoka arsenal huwa wanajuta
Na ata wakiwa katika timu zingine lakini anakua bado na upendo mkubwa kwa arsenal
Eg Sanchez
Kwenye hii comment yako naomba huyu mwamba hapa chini pamoja Giroud wasihusishwe, maana mpaka leo hua wanajilaumu sana kupoteza muda wao mwingi kuchezea timu ya Academy.

Povu ruksaaaa.
Screenshot_20220930_135207.jpg
 
Achen mdomo aisee, huyo Marcel ana miaka 28 lakin alikuwa anakula bench na Hana namba ,

Tayari mmeshaanza mdomo
Mkuu hajacklic vzr Bayern, Ni mchezaji mzuri,,,, karibia msimu wote ulioisha alikumbwa na majeraha ! Hii Ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakirudi kutoka majeruhi anahitaji mda kurudisha kiwango chake ,,,,,

Ngoja pengine hii loan spell tukauona ule ubora wake akiwa leizpg
 
Niliondoka humu muda mkubwa nimerudi nakutana na hizi species zinazoishi maeneo ambayo matako ni currency, huna akili huwezi hata fikiria kama na mimi naishi maeneo kama yako au hapana.

Mimi kijiweni nimeshinda sana ila siyo siku hizi nigga enzi za mimi kushinda kijiweni ni zile Arsenal haijielewi. Jitahidi kitu kimoja toka kwenye hiyo lifestyle utaharibiwa wewe bado mtoto mdogo, stress za matokeo yako ya form four usiniangushie mimi. Mimi hili jukwaa nakuja kwa kupenda siyo kwakua sina kazi za kufanya, na kama unahisi matako yako yanaweza tumika kufanya malipo confirm tuone tunafanyaje.
Hawa ndio mashabiki wa Arsenyani ninaowajua mimi.
Kwanza kua shabiki wa Arsenyani mpole mpole hua hata hainogi kabisa lazima uwe na mdomo mdomo ili kuendana na mfumo.
 
Mkuu hajacklic vzr Bayern, Ni mchezaji mzuri,,,, karibia msimu wote ulioisha alikumbwa na majeraha ! Hii Ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakirudi kutoka majeruhi anahitaji mda kurudisha kiwango chake ,,,,,

Ngoja pengine hii loan spell tukauona ule ubora wake akiwa leizpg
Yah muda mwingi amekuwa injury , miaka miwili aliuwasha Sana Leipzig na World cup
 
Arsenyani mnatakiwa mchukue darasa hapa, tuition Chelsea.

View attachment 2502001

Endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu, watu wanavunja vibubu. Mudryk, Enzo. Kuwa club kubwa siyo kuongoza ligi, kuna msimu Leicester pia alikuwa bingwa.
Kuna kitu umesahau kuwaambia hawa kima, huyo Marcel Sabitzer ana PHD ya kupiga pasi, ana Masters kwenye maswala ya tackling na kuzuia, hajawahi kupata chini ya A katika somo la kupiga mashuti na kwenye maswala ya mbio huwa anafanya mazoezi na Hussein Bolt.
 
Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako
huyu ndie Jackwillpower ninae mjua mimi ambae kila kukicha utamkuta kule kwenye jukwaa la mabingwa wa muda wote wa Epl (Manchester United) akiwachallenge watu waliomzidi IQ kwa mipasho ya kwenye kanga na vitenge.
Shabiki wa Arsenyani kua ni mtu mstaarabu mstaarabu hua kwanza hata hainogi.
 
Kwenye hii comment yako naomba huyu mwamba hapa chini asihusishwe, maana mpaka leo hua anajilaumu sana kupoteza muda wake mwingi kuchezea timu ya Academy.

Povu ruksaaaa. View attachment 2502271
Muongezee na Jiroud hapo, analaamu hadi leo kwakupoteza muda wake kuchezea Arsenal, kwakifupi hakuna anayejuta kutoka arsenal kwenda timu nyingine.
 
Hapo Bado wametupiga. Walitakiwa wapewe 2 kwanza, tukibeba kombe wapewe 2 tena
daaahhh sio kwa kumshusha thamani huko dada Jorjinah.
Wenyewe kina OllaChuga Oc wanasema wamewapea hio silaha ya maangamizi ili iwasaidie walau mpate hilo kombe la Epl japo kwa huu msimu mmoja baada ya kulikosa hilo kombe kwa zaidi ya miongo miwili iliyopita.
Hakika bila ya huruma na hisani za namna hii kutoka kwa Chelsea na Man City hawa Arsenyani wanaweza kumaliza mpaka karne moja bila ya kubeba hilo kombe.
 
Kuna mchezaji anaitwa James Rodriguez, mColombia, akasumbua sana kwenye WC watu wakasema kifaa hichi hapa.

Kikaenda Bayern kikaenda Madrid ila hakikung'aa kama kilivyong'aa WC. Na ile volley yake

Anyway, jana nilikua mtandao fulani hivi nikakuta wanamsifia Enzo na clip waliyoweka kwa 70% ilikua inatokea kombe la dunia la Qatar ambapo hiyo clip inaonyesha akipiga long balls tu na moja akifanya body faint.

Bora kaja EPL ili wote tuone.
wivu2 kaeni na kinyonga wenu
 
Kuna kitu umesahau kuwaambia hawa kima, huyo Marcel Sabitzer ana PHD ya kupiga pasi, ana Masters kwenye maswala ya tackling na kuzuia, hajawahi kupata chini ya A katika somo la kupiga mashuti na kwenye maswala ya mbio huwa anafanya mazoezi na Hussein Bolt.
Mashabiki wa United hamjui mpira.

Angekua na huo uwezo angestruggle namba Bayern?

Mngempata nyinyi?

Huyu jamaa msimu wake ambao alikua kwenye peak kabisa ni wa 19-20, akafunga magoli 10 nafikiri. Sasa nyinyi mnampata leo halafu unakuja kuandika taarab?

Ni kama jamaa ameandika Jorginho ni mzuri hata Pep alimtaka alipokua Napoli. Yaani mambo ya Napoli anayaleta hapa
 
Mashabiki wa United hamjui mpira.

Angekua na huo uwezo angestruggle namba Bayern?

Mngempata nyinyi?

Huyu jamaa msimu wake ambao alikua kwenye peak kabisa ni wa 19-20, akafunga magoli 10 nafikiri. Sasa nyinyi mnampata leo halafu unakuja kuandika taarab?

Ni kama jamaa ameandika Jorginho ni mzuri hata Pep alimtaka alipokua Napoli. Yaani mambo ya Napoli anayaleta hapa
Bayern kilichokua kinamuweka nje Marcel Sabitzer ni majeruhi tu.
Ila huyo jamaa mpira wake ni combination ya ufundi wa Casemiro, Thomas Chapati, Zinchenko na speed ya Martinel kwa pamoja.
Yaani natamani kwenye Europa tukutane tena na nyinyi ili tuwafundishe adabu.
 
Bayern kilichukua kinamuweka nje ni majeruhi.
Ila huyo jamaa mpira wake ni combination ya ufundi wa Casemiro, Thomas Chapati, Zinchenko na speed ya Martinel kwa pamoja.
Yaani natamani kwenye Europa tukutane tena na nyinyi ili tuwafundishe adabu.
Wewe hua unamuangalia Sabitzer yupi mwenye speed ya Martinelli?

Casemiro siyo skilled wala talented ila ana work rate kubwa mno, sasa kama kiungo bora kwako ni kumfananisha na Casemiro in terms of skills mbona unacheza makida makida?

Au ngoja nikurahisishie. Sajili zote alizofanya Erik ambayo mimi nasema ni kweli mna mchezaji ni Lisa tu hawa wengine wote wanawavua nguo na huyu Sabitzer hana ukali unaouwaza his prime is past him
 
Aaron Arsenal re: Lokonga
Bro tumuombee huyu jamaa ila Kwa mtazamo wangu na baadhi ya waliomchambua humu, sioni akifanya vizuri Palace. Kama changamoto zake ni positioning, lack of aggressiveness, pace na poor control na ukabaji mbovu...basi Kwa timu kama Palace si ndiyo watamuua kabisa. Angalau sisi tumaheshimiwa na kuogopwa na wapinzani. Kule hata kina Everton na manyumbu watakuwa wanawapress na kuwakimbiza bila huruma. Pressure hizo hataziweza huyu jamaa.
 
Kuna mchezaji anaitwa James Rodriguez, mColombia, akasumbua sana kwenye WC watu wakasema kifaa hichi hapa.

Kikaenda Bayern kikaenda Madrid ila hakikung'aa kama kilivyong'aa WC. Na ile volley yake

Anyway, jana nilikua mtandao fulani hivi nikakuta wanamsifia Enzo na clip waliyoweka kwa 70% ilikua inatokea kombe la dunia la Qatar ambapo hiyo clip inaonyesha akipiga long balls tu na moja akifanya body faint.

Bora kaja EPL ili wote tuone.
Acha inyeshe kaka tutaona panapovuja
 
Back
Top Bottom