Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tufocus na mechi ya Everton
Wamepata kocha mpya Sean Dyche
Wamepata kocha mpya Sean Dyche
Kwenye hii comment yako naomba huyu mwamba hapa chini pamoja Giroud wasihusishwe, maana mpaka leo hua wanajilaumu sana kupoteza muda wao mwingi kuchezea timu ya Academy.Ndio maana wengi wakitoka arsenal huwa wanajuta
Na ata wakiwa katika timu zingine lakini anakua bado na upendo mkubwa kwa arsenal
Eg Sanchez
Mkuu hajacklic vzr Bayern, Ni mchezaji mzuri,,,, karibia msimu wote ulioisha alikumbwa na majeraha ! Hii Ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakirudi kutoka majeruhi anahitaji mda kurudisha kiwango chake ,,,,,Achen mdomo aisee, huyo Marcel ana miaka 28 lakin alikuwa anakula bench na Hana namba ,
Tayari mmeshaanza mdomo
Hawa ndio mashabiki wa Arsenyani ninaowajua mimi.Niliondoka humu muda mkubwa nimerudi nakutana na hizi species zinazoishi maeneo ambayo matako ni currency, huna akili huwezi hata fikiria kama na mimi naishi maeneo kama yako au hapana.
Mimi kijiweni nimeshinda sana ila siyo siku hizi nigga enzi za mimi kushinda kijiweni ni zile Arsenal haijielewi. Jitahidi kitu kimoja toka kwenye hiyo lifestyle utaharibiwa wewe bado mtoto mdogo, stress za matokeo yako ya form four usiniangushie mimi. Mimi hili jukwaa nakuja kwa kupenda siyo kwakua sina kazi za kufanya, na kama unahisi matako yako yanaweza tumika kufanya malipo confirm tuone tunafanyaje.




lazima uwe na mdomo mdomo ili kuendana na mfumo.
Yah muda mwingi amekuwa injury , miaka miwili aliuwasha Sana Leipzig na World cupMkuu hajacklic vzr Bayern, Ni mchezaji mzuri,,,, karibia msimu wote ulioisha alikumbwa na majeraha ! Hii Ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakirudi kutoka majeruhi anahitaji mda kurudisha kiwango chake ,,,,,
Ngoja pengine hii loan spell tukauona ule ubora wake akiwa leizpg
Sajili hizi Ni kamari ,,,,muda utasema !!!Yah muda mwingi amekuwa injury , miaka miwili aliuwasha Sana Leipzig na World cup
Kuna kitu umesahau kuwaambia hawa kima, huyo Marcel Sabitzer ana PHD ya kupiga pasi, ana Masters kwenye maswala ya tackling na kuzuia, hajawahi kupata chini ya A katika somo la kupiga mashuti na kwenye maswala ya mbio huwa anafanya mazoezi na Hussein Bolt.Arsenyani mnatakiwa mchukue darasa hapa, tuition Chelsea.
View attachment 2502001
Endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu, watu wanavunja vibubu. Mudryk, Enzo.Kuwa club kubwa siyo kuongoza ligi, kuna msimu Leicester pia alikuwa bingwa.
£10 m inatosha
Tukibeba EPL Kuna £2m
Jumla £12m
Umekaa kijiweni umepiga zako mihogo ya buku na chai ya mia unakuja unasema humtaki jorginho bro tutafutie mchezaji wako unayemtaka wewe tupelekee arsenal watu wanatoa hela sio matako


huyu ndie Jackwillpower ninae mjua mimi ambae kila kukicha utamkuta kule kwenye jukwaa la mabingwa wa muda wote wa Epl (Manchester United) akiwachallenge watu waliomzidi IQ kwa mipasho ya kwenye kanga na vitenge. Muongezee na Jiroud hapo, analaamu hadi leo kwakupoteza muda wake kuchezea Arsenal, kwakifupi hakuna anayejuta kutoka arsenal kwenda timu nyingine.Kwenye hii comment yako naomba huyu mwamba hapa chini asihusishwe, maana mpaka leo hua anajilaumu sana kupoteza muda wake mwingi kuchezea timu ya Academy.
Povu ruksaaaa. View attachment 2502271
Hapo Bado wametupiga. Walitakiwa wapewe 2 kwanza, tukibeba kombe wapewe 2 tena




daaahhh sio kwa kumshusha thamani huko dada Jorjinah. wivu2 kaeni na kinyonga wenuKuna mchezaji anaitwa James Rodriguez, mColombia, akasumbua sana kwenye WC watu wakasema kifaa hichi hapa.
Kikaenda Bayern kikaenda Madrid ila hakikung'aa kama kilivyong'aa WC. Na ile volley yake
Anyway, jana nilikua mtandao fulani hivi nikakuta wanamsifia Enzo na clip waliyoweka kwa 70% ilikua inatokea kombe la dunia la Qatar ambapo hiyo clip inaonyesha akipiga long balls tu na moja akifanya body faint.
Bora kaja EPL ili wote tuone.
Kututapeli mtutapeli na bado mnatutambiawivu2 kaeni na kinyonga wenu
Mashabiki wa United hamjui mpira.Kuna kitu umesahau kuwaambia hawa kima, huyo Marcel Sabitzer ana PHD ya kupiga pasi, ana Masters kwenye maswala ya tackling na kuzuia, hajawahi kupata chini ya A katika somo la kupiga mashuti na kwenye maswala ya mbio huwa anafanya mazoezi na Hussein Bolt.
Bayern kilichokua kinamuweka nje Marcel Sabitzer ni majeruhi tu.Mashabiki wa United hamjui mpira.
Angekua na huo uwezo angestruggle namba Bayern?
Mngempata nyinyi?
Huyu jamaa msimu wake ambao alikua kwenye peak kabisa ni wa 19-20, akafunga magoli 10 nafikiri. Sasa nyinyi mnampata leo halafu unakuja kuandika taarab?
Ni kama jamaa ameandika Jorginho ni mzuri hata Pep alimtaka alipokua Napoli. Yaani mambo ya Napoli anayaleta hapa
Wewe hua unamuangalia Sabitzer yupi mwenye speed ya Martinelli?Bayern kilichukua kinamuweka nje ni majeruhi.
Ila huyo jamaa mpira wake ni combination ya ufundi wa Casemiro, Thomas Chapati, Zinchenko na speed ya Martinel kwa pamoja.
Yaani natamani kwenye Europa tukutane tena na nyinyi ili tuwafundishe adabu.
Acha inyeshe kaka tutaona panapovujaKuna mchezaji anaitwa James Rodriguez, mColombia, akasumbua sana kwenye WC watu wakasema kifaa hichi hapa.
Kikaenda Bayern kikaenda Madrid ila hakikung'aa kama kilivyong'aa WC. Na ile volley yake
Anyway, jana nilikua mtandao fulani hivi nikakuta wanamsifia Enzo na clip waliyoweka kwa 70% ilikua inatokea kombe la dunia la Qatar ambapo hiyo clip inaonyesha akipiga long balls tu na moja akifanya body faint.
Bora kaja EPL ili wote tuone.
Ungemalizia hapo