mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Mimi kama mkorea mzee wa arsenal NDOO
NIMEBARIKI USAJILI WA PASS MASTER JOGINHO





Kesho ntakuja na analysis yangu kwa uelewa wangu huu mdogo wa kisoka
Arsenal NDOO
Haaland kiatu
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMEBARIKI USAJILI WA PASS MASTER JOGINHO





Kesho ntakuja na analysis yangu kwa uelewa wangu huu mdogo wa kisoka
Arsenal NDOO
Haaland kiatu
Sent using Jamii Forums mobile app


kwa sasa anaweza akatusaidia kwa kiasi kikubwa kusonga mbele na I am happy kwa Lokonga kusepa zake so kwa usajili huu naona ni mzuri tu kwa team yetu ya Arsenal keshakutana na big games za national na clubs so let's hope atatusaidia
Arsenal will likely try to sign Moisés Caicedo AND Declan Rice this summer. Reports,


️