Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule sio mchezaji Mpira kabisa nadhani alisajiliwa kwa mihemko tu. Kipindi anasajiliwa tulitoa maoni yetu ila tukatukanwa sana kuwa hatujui lolote.
Kwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.

Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
 
Lakini media nyingi za uingereza zimeona its a great deal. Sijui nyie kwa nini mnaona Edu na Arteta wameboronga.
Wachezaji na Staff na Bench wamefurahishwa na ujio wake

Usiumize kichwa na Hawa Hawa waliopinga ujio wa kina Ramsdale , ode,n.k

Juz hapa wame question usajili wa Trossard ,gafla wamebadilika wanamsfia
 
Kwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.

Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
Lokonga ndio maana amepelekwa hapo hapo EPL Kuna vitu ana mis ,na timu kwasasa haina muda wakumsubiri tunahitaji kupigania Epl sio kwa kubahatisha
 
Great deal? Maybe sababu ni Bora kuliko Wale mizigo yaani Elneny na Lokonga.

Great deal sababu at least amesajiliwa mtu kuliko tusingesajili kabisa.

Ila kutoka kwenye kumsajili zubimendi/Caceido/Rice Hadi kumsajili Jorginho imeonekana ni failure.
Toa sababu za kiufundi mkuu. Lakini kumbuka kila mtu anasema usajili wa January ni mgumu coz hakuna timu inataka kuharibu mipango yake katikati ya msimu.

Swali lingine, Joginho amekuja kama backup ya Partey au competitor wake? Tukipata jibu lake hapo tunaweza kuendelea na mjadala.
 
Huna akili kumzidi Arteta aliyetengeneza competitive team ,leo umpangie Nani amsajili Nani asimsajili ,nasema huna unachomzidi Arteta


Wachezaji na Staff wamefurahi ujio wake , wewe endelea kulalamika
Wewe nimekuzoea uliwahi sema Felix hafai kwenye mfumo ila ukaja kupost humu kuwa tunamfukuzia. Ulidai tunamsajili Danilo ila ghafla akapotezewa. Uliwahi sema Lokonga kaletwa kama back up ya Partey Leo unadai eti hakuja kama DM.

So siwezi bishana na wewe maana ni mouthpiece ya Arteta hauna objectivity yoyote kwenye uchambuzi una bias eti kisa Arteta!!
 
Wewe nimekuzoea uliwahi sema Felix hafai kwenye mfumo ila ukaja kupost humu kuwa tunamfukuzia. Ulidai tunamsajili Danilo ila ghafla akapotezewa. Uliwahi sema Lokonga kaletwa kama back up ya Partey Leo unadai eti hakuja kama DM.

So siwezi bishana na wewe maana ni mouthpiece ya Arteta hauna objectivity yoyote kwenye uchambuzi una bias eti kisa Arteta!!
Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu Chadema


Cry more

Jorginho atavaa jez no.20

Wachezaji na Staff pamoja na Arteta wamefurahi ,anajiandaa na mechi Jumamosi Vs Everton


Cry more ,sitakujibu Tena
 
Good luck Sambi
IMG_20230131_174750.jpg
 
Leta maoni yako uliyotoa ,

Lokonga alisajiriwa Kama mchezaji potential ,Ni kawaida kutofikia

Arteta na Edu maamuz na sajili zao wamefanikiwa kwa 80%, usijipe umuhimu usiokuwa nao
Wewe nilikwambia hatuna depth ya LCB ukanitukana weeee mbona Sasa wamesajili LCB? After all tulimfukuzia RB yule Fresneda.

Mimi niliongelea Hilo suala October mkadai sijui lolote mara Kuna combination sijui Tomi ni LCB mara hatuhitaji RB maana tuna White na kelele kibao.

Sasa mbona wamesaji LCB January? Means niliona tatizo kabla ya nyie mashabiki uchwara. So huyo Arteta sio malaika kwamba anajua Kila kitu otherwise asingefukuzia RB na LCB January instead of last August when the problem was imminent!!
 
Pep inasemekana hapatani na Bernado ,kama ilivyo kwa Cancelo ambaye amesepa


| BREAKING: Bernardo Silva has decided to leave Manchester City, like João Cancelo! He wants to join FC Barcelona NOW.
@gerardromero []
 
Wewe nilikwambia hatuna depth ya LCB ukanitukana weeee mbona Sasa wamesajili LCB? After all tulimfukuzia RB yule Fresneda.

Mimi niliongelea Hilo suala October mkadai sijui lolote mara Kuna combination sijui Tomi ni LCB mara hatuhitaji RB maana tuna White na kelele kibao.

Sasa mbona wamesaji LCB January? Means niliona tatizo kabla ya nyie mashabiki uchwara. So huyo Arteta sio malaika kwamba anajua Kila kitu otherwise asingefukuzia RB na LCB January instead of last August when the problem was imminent!!
Mimi nishaacha kukujibu maana huna ujualo, tulikwambia LCB sio Kipaumbele Kama LW , na DM


Kipaumbele ilikuwa LW kuliko LCB na DM sababu Kuna watu wanaweza kucheza hizo nafasi


Na DM ameletwa sababu ya kuumia Elneny ,ukakomaa DM lazima aje ,Wakati Kuna Elneny


Mimi nilishaacha kukujibu ,ila una Ni quote ovyo ovyo ,
 
Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu Chadema


Cry more

Jorginho atavaa jez no.20

Wachezaji na Staff pamoja na Arteta wamefurahi ,anajiandaa na mechi Jumamosi Vs Everton


Cry more ,sitakujibu Tena
Nilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.

Danilo uliumbuka
Ujio wa Kiwior uliumbuka
Kumfukuzia Fresneda uliumbuka
Felix uliumbuka
Lokonga uliumbuka

So hakuna ulilowahi debate na Mimi ukafanikiwa. So nshakudharau kitambo tu. Tokea jukwaa la intelligence ulikua na ubishi wa KISABATO wakati ulikua hujui lolote kuhusu bible.

Angalia comments za watu about you wote wanakuona delusional. JITAFAKARI
 
Kwangu mimi naona arsenal kalamba dume.
sababu inaonifanya kwangu nione arsenal kalamba dume kwa jorginho kwanza jamaa ukicheki record yake ya misimu iliyopita alikuwa moja ya viungo bora ulaya iweje leo ashuke mapema hivi.

hapa tuseme tu na motisha ya timu ya chelsea kwa wachezaji imeshuka sana joginho watu wana mtupia lawama za bure tu.

Nachojua arsenal kwasasa timu motisha yake ipo juu inaweza kusaidia kupush kuludi kiwango cha jorginho yule wa misimu miwili iliyopita.

hapa tunaweza kusema muda ndo mwalimu mzuri kwangu naona kwa arsenal ilivyo saizi jorginho ni mchezaji sahihi kabisa.

Bora hata useme hilo kaka
 
Nilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.

Danilo uliumbuka
Ujio wa Kiwior uliumbuka
Kumfukuzia Fresneda uliumbuka
Felix uliumbuka
Lokonga uliumbuka

So hakuna ulilowahi debate na Mimi ukafanikiwa. So nshakudharau kitambo tu. Tokea jukwaa la intelligence ulikua na ubishi wa KISABATO wakati ulikua hujui lolote kuhusu bible.

Angalia comments za watu about you wote wanakuona delusional. JITAFAKARI
Ok nimeumbuka , mbona unanifatilia Sasa

Najua unatafutaga Ligi na Mimi , huo muda Sina ,

Naona chuki zako juu yangu zitakuua , nikikaa mbali na wewe unanifatilia ,
 
Nawashangaa humu, haohao waliokua wanamtukana Tambi za Ukonga sasa hivi wanalalamika kwa nini ameondoka?
Halafu haohao wanakubali kua Jojinah yupo vizuri kuliko Tambi kisha haohao wanalalamikia usajili wa Jojinah.
Hawa ndio mashabiki wa Arsenyani tunaowajua sisi

😂😂😂 Lokonga kule cheap labour wengi anaenda kufundishwa kuzuia sasa
 
Pep inasemekana hapatani na Bernado ,kama ilivyo kwa Cancelo ambaye amesepa


| BREAKING: Bernardo Silva has decided to leave Manchester City, like João Cancelo! He wants to join FC Barcelona NOW.
@gerardromero []
Hii inakuwa Ile vita ya panzi faida Kwa kunguru. Hapo Manchester United wanafurahi sana maana wataona nafasi ya kuipambania nafasi ya 2.
 
Pep inasemekana hapatani na Bernado ,kama ilivyo kwa Cancelo ambaye amesepa


| BREAKING: Bernardo Silva has decided to leave Manchester City, like João Cancelo! He wants to join FC Barcelona NOW.
@gerardromero []
Naona kabisa Summer Pep akipitisha fagio na kuleta wachezaj wengine sio kama 3-5
 
As reported earlier, Arsenal have not completely walked away from a deal for Caicedo yet

Theres is a VERY SMALL chance Arsenal do launch a third bid and test Brightons resolve. Developments needed soon to give this deal any chance. Still one to watch
 
Back
Top Bottom