ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,390
- 118,834
Kwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.Yule sio mchezaji Mpira kabisa nadhani alisajiliwa kwa mihemko tu. Kipindi anasajiliwa tulitoa maoni yetu ila tukatukanwa sana kuwa hatujui lolote.
Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.

]
