Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inaingia akilini?

Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua

Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.

Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
4 4 3 hii chai😅😅😅
 
Kwa hiyo Rams anacho-offer ni kitu gani mkuu? Na kwa nini Arteta & Co wakaona ni bora Leno aondoke abaki Rams? Toa ufafanuzi hapo.
Ramsdale is good attack wise. Anamzidi Leno kwenye footwork na punt kicks so hichi ndicho kimempa namba pale.
 
NA
Kuna swali najiuliza,Arsenal tulikuwa na partey,lokonga na elneny na bado tulikuwa tunazungumzia kusajili DM.sasa kaumia elneny na bado sambi anatolewa kwa mkopo.mmh hivi kuna anayefikiria nachokifikiria? hii vita inataka akili saana
Nakumbuka Aaron aliwahi kusema sambi Sasa ni 8 siyo 6 tena
 
Our worst ten games. Odegaard alikua wapi?

Na hili sitakuja kulificha juu ya Ramsdale na nimesema mara zote yeye siyo shot stopper hutaki kaa kushoto.
Unaongea pumba nyingi,hii Ni project yenye process ulitaka odegad abebe timu Wakati Hain wachezaj wa kuibuildup nyuma
Ndio maana nasema mpira hujui
Ramsdale takwimu zinasema Ni shot stopper mzuri Tena yupo juu
Mech na Spurs kafanya save za hatari kibao
Leo unasema sio shot stopper
Kubali kula matapishi yako
 
Mkuu, kuna mahali humu niligusia suala la timu za Ulaya au soka la Ulaya kuongozwa sana na teknolojia kwa sasa hivi.

Zipo programs nyingi sana za computer ambazo zasaidia mameneja, washauri, wadau na wachambuzi kufanya tathmini ya wachezaji hadi kufikia maamuzi.

Na sasa hivi Artificial Intelligence au AI nazo zimeingia kazini zafanya kazi hiyohiyo.

Hivyo basi takwimu au statistics zaonyesha kwamba Jorginho awazidi Partey na Caicedo kwa maeneo kama kukimbia uwanjani. Jorginho (kwa dakika 90 ) akimbia kilomita 11.1 kulinganisha na Partey ambae akimbia kilomita 10.5 na Caicedo akimbia kilomita 10.2

Pia ndani ya dakika 90 kwenye "interceptions" na "tackles" Jorginho ana 8.3 , huku Partey akiwa na 7.3 na Caicedo akiwa na 6.2

Nisisitize tu hapa kwamba hiyo haimaanishi kwamba Arsenal isimsajili Caicedo lakini ni kwa ajili ya future na mrithi wa Partey kwani atakua na muda wa kijiimarisha zaidi.

Eneo moja ambalo Jorginho atiliwa shaka ni namna jinsi apitwavyo kwa chenga ndani ya box yaani dribbled pass ambapo apata alama za chini yaani 0.9 wakati Partey ni 1.1 tu na Caicedo 0.6

Hiyo yaweza kabisa kuwa improved kwa maelekezo ya kocha Arteta.

Kwa uelewa zaidi angalia hiyo Chart hapo chini.

Jorginho stats vs Thomas Partey & Moises Caicedo

Premier League Since 21/22Jorginho (per 90)Partey (per 90)Caicedo (per 90)
Appearances474026
Minutes355934262271
Goals8 (0.2)4 (0.11)2 (0.08)
Assists2 (0.05)1 (0.03)2 (0.08)
Chances Created34 (0.9)31 (0.8)24 (1)
Distance covered (km)437.7 (11.1) 399.9 (10.5) 257.9 (10.2)
Passes2761 (69.8)2247 (59)1341 (53.1)
Passing Accuracy88%86%87%
Passes Ending Final 1/3806 (20.4)624 (16.4)372 (14.7)
Forward Passes792 (20)636 (16.7)367 (14.5)
Through Balls10 (0.3)13 (0.3)8 (0.3)
Carry Distance (m)4311.4 (109)4700 (123.5)2445.1 (96.9)
Tackles106 (2.7)79 (2.1)68 (2.7)
Interceptions57 (1.4)42 (1.1)36 (1.4)
Possession Won327 (8.3)277 (7.3)170 (6.7)
Dribbled past by opp.77 (1.9)40 (1.1)15 (0.6)
Duel Success52%54.2%57.8%
Umemjibu kwa data Cha ajabu atapingana na data
 
Ramsdale is good attack wise. Anamzidi Leno kwenye footwork na punt kicks so hichi ndicho kimempa namba pale.
Kwa hiyo walikuwa sahihi kumruhusu Leno asepe au vipi? Maana yangu ni kwamba, anachooffer Rams ni zaidi ya Leno?
 
Yeah kila mtu anakosea ndiyo mbona nimesema
Hakuna sajili za Arteta umewahi kuzikubali Ni kuponda tu
Unazidi kuaibika
Leo unasema Ramsdale sio shot stopper
Na Spurs ulidai lolis mzuri zaidi akachoma
Na anaongoza kwa kuchoma kuliko makipa wote epl
Unapenda vibovu
 
Kuna swali najiuliza,Arsenal tulikuwa na partey,lokonga na elneny na bado tulikuwa tunazungumzia kusajili DM.sasa kaumia elneny na bado sambi anatolewa kwa mkopo.mmh hivi kuna anayefikiria nachokifikiria? hii vita inataka akili saana
Arsenal Defensive Midfielders Thomas Partey na Jorginho, Granit Xhaka Mohammed Elneny (majeruhi).

Xhaka amesogezwa mbele kuwa Central Midfielder

CM ni Martin Odegaard, Fabio Vieira, Emily Smith Rowe na Bukayo Saka.

Arsenal ina wachezaji wa kiungo 8
 
Mkuu, kuna mahali humu niligusia suala la timu za Ulaya au soka la Ulaya kuongozwa sana na teknolojia kwa sasa hivi.

Zipo programs nyingi sana za computer ambazo zasaidia mameneja, washauri, wadau na wachambuzi kufanya tathmini ya wachezaji hadi kufikia maamuzi.

Na sasa hivi Artificial Intelligence au AI nazo zimeingia kazini zafanya kazi hiyohiyo.

Hivyo basi takwimu au statistics zaonyesha kwamba Jorginho awazidi Partey na Caicedo kwa maeneo kama kukimbia uwanjani. Jorginho (kwa dakika 90 ) akimbia kilomita 11.1 kulinganisha na Partey ambae akimbia kilomita 10.5 na Caicedo akimbia kilomita 10.2

Pia ndani ya dakika 90 kwenye "interceptions" na "tackles" Jorginho ana 8.3 , huku Partey akiwa na 7.3 na Caicedo akiwa na 6.2

Nisisitize tu hapa kwamba hiyo haimaanishi kwamba Arsenal isimsajili Caicedo lakini ni kwa ajili ya future na mrithi wa Partey kwani atakua na muda wa kijiimarisha zaidi.

Eneo moja ambalo Jorginho atiliwa shaka ni namna jinsi apitwavyo kwa chenga ndani ya box yaani dribbled pass ambapo apata alama za chini yaani 0.9 wakati Partey ni 1.1 tu na Caicedo 0.6

Hiyo yaweza kabisa kuwa improved kwa maelekezo ya kocha Arteta.

Kwa uelewa zaidi angalia hiyo Chart hapo chini.

Jorginho stats vs Thomas Partey & Moises Caicedo

Premier League Since 21/22Jorginho (per 90)Partey (per 90)Caicedo (per 90)
Appearances474026
Minutes355934262271
Goals8 (0.2)4 (0.11)2 (0.08)
Assists2 (0.05)1 (0.03)2 (0.08)
Chances Created34 (0.9)31 (0.8)24 (1)
Distance covered (km)437.7 (11.1)399.9 (10.5)257.9 (10.2)
Passes2761 (69.8)2247 (59)1341 (53.1)
Passing Accuracy88%86%87%
Passes Ending Final 1/3806 (20.4)624 (16.4)372 (14.7)
Forward Passes792 (20)636 (16.7)367 (14.5)
Through Balls10 (0.3)13 (0.3)8 (0.3)
Carry Distance (m)4311.4 (109)4700 (123.5)2445.1 (96.9)
Tackles106 (2.7)79 (2.1)68 (2.7)
Interceptions57 (1.4)42 (1.1)36 (1.4)
Possession Won327 (8.3)277 (7.3)170 (6.7)
Dribbled past by opp.77 (1.9)40 (1.1)15 (0.6)
Duel Success52%54.2%57.8%
Distance covered in terms ya kukimbia au umbali aliocover? Nitofautishie hapa. Coz in terms of kukimbia wa kwanza atakua Caicedo. Ila pitch coverage yeyote aweza zidi.

Nimeona stats nyingi leo zinazoonyesha Jorginho is better than Partey and miles better than any CM wa Chelsea. Considering chini yA potter hajacheza mechi nyingi kuna uwezekano kwamba hizi stats ni nzuri under mechi chache?

Wewe umeamua kuleta za msimu uliopita, sijui kwanini umeamua hivyo ila sioni kama natakiwa rely kwenye stats za msimu uliopita kwaajili ya msimu huu.
 
Unaongea pumba nyingi,hii Ni project yenye process ulitaka odegad abebe timu Wakati Hain wachezaj wa kuibuildup nyuma
Ndio maana nasema mpira hujui
Ramsdale takwimu zinasema Ni shot stopper mzuri Tena yupo juu
Mech na Spurs kafanya save za hatari kibao
Leo unasema sio shot stopper
Kubali kula matapishi yako
Umeshindwa hoja umeanza matusi.

Unaona ulivyokua mpuuzi?
 
Nimesema jamaa yuko slow, hana pace, mzito kwenye decision making.

Wewe sasa usikomae na benchi limesema. Nijibu wewe kwa kutumia akili zako kwamba nimekosea kwa sababu hizi hapa.

Hoja ya benchi limesema ni hoja ya wafuatilia mpira livescore
Unatuongopea data zao hizi hapa
Hizo Sifa unazomsingizia Jojinho Ni za lokonga
IMG_20230131_175248.jpg
 
Kwa hiyo walikuwa sahihi kumruhusu Leno asepe au vipi? Maana yangu ni kwamba, anachooffer Rams ni zaidi ya Leno?
Considering Arsenal ilitaka iwe inapossess mpira mara zote uamuzi ulikua sawa.
 
Distance covered in terms ya kukimbia au umbali aliocover? Nitofautishie hapa. Coz in terms of kukimbia wa kwanza atakua Caicedo. Ila pitch coverage yeyote aweza zidi.

Nimeona stats nyingi leo zinazoonyesha Jorginho is better than Partey and miles better than any CM wa Chelsea. Considering chini yA potter hajacheza mechi nyingi kuna uwezekano kwamba hizi stats ni nzuri under mechi chache?

Wewe umeamua kuleta za msimu uliopita, sijui kwanini umeamua hivyo ila sioni kama natakiwa rely kwenye stats za msimu uliopita kwaajili ya msimu huu.
Distance covered ni umekimbia umbali gani pale dimbani hivyo yageuzwa kuwa Kms.

Hata kwenye tennis ni hivyohivyo si wapima kitenesi kimeruka umbali gani kwa kms?

Hivi ni vipimo vitumikavyo.

Pili, hizo stats zimetumika za 21/22 kwasababu wanaangalia mechi ambazo wachezaji hao wamecheza kwa msimu mzima wa 21/22

Pia ni kwa kuzingatia kuwa kabla Jorginho hajaanza kusugua bench.

Kumbuka tunaangalia kwanini ni Jorginho ndilo suali lako la msingi.
 
Nikikumbuka Sajili za Mikel zilivyotukanwa na kubezwa na pale alivyowapa jezi no. 7 na 10 Saka na Smith Rowe alivyoshambuliwa ,nabaki nacheka tu

Aaron Ramsdale alifunga had social media


Ninachompendea Mikel hajawahi kusikiliza makelele

Alimuondoa Auba ,laca ,ozil ,Guendoz ,na makelele yalikuwa kibao

Alimpa nafasi Nketiah na kumpiga chini lacazette hakumsikiliza mtu

Huyo Ndiye Mikel ninayemjua mimi
 
Considering Arsenal ilitaka iwe inapossess mpira mara zote uamuzi ulikua sawa.
Okay, lakini pia jinsi tunamtizama Joginho ni kama tunaongelea competitor wa Partey, je anakuja kama competitor wa Partey, future ya Arsenal au he's just there to cover for a season or so? Na kama anakuja kama cover ya DM kwa short term kwa nini tunambrand kama failure?
 
Back
Top Bottom