We've never been lucky with Chelsea veterans. Hao Chelsea wenyewe walishaamua akae benchi and this is what divides fanbase.Okay, lakini pia jinsi tunamtizama Joginho ni kama tunaongelea competitor wa Partey, je anakuja kama competitor wa Partey, future ya Arsenal au he's just there to cover for a season or so? Na kama anakuja kama cover ya DM kwa short term kwa nini tunambrand kama failure?
Hizi stats ambazo zinaonekana ni nzuri hazijasaidia asikae benchi Chelsea.Distance covered ni umekimbia umbali gani pale dimbani hivyo yageuzwa kuwa Kms.
Hata kwenye tennis ni hivyohivyo si wapima kitenesi kimeruka umbali gani kwa kms?
Hivi ni vipimo vitumikavyo.
Pili, hizo stats zimetumika za 21/22 kwasababu wanaangalia mechi ambazo wachezaji hao wamecheza kwa msimu mzima wa 21/22
Pia ni kwa kuzingatia kuwa kabla Jorginho hajaanza kusugua bench.
Kumbuka tunaangalia kwanini ni Jorginho ndilo suali lako la msingi.
Ni cover tu mpaka Mei (amepewa 12 months) na ana option ya kuongeza mwaka.Okay, lakini pia jinsi tunamtizama Joginho ni kama tunaongelea competitor wa Partey, je anakuja kama competitor wa Partey, future ya Arsenal au he's just there to cover for a season or so? Na kama anakuja kama cover ya DM kwa short term kwa nini tunambrand kama failure?
Boss tulia bhana 😆 sisi tumeshakubali kuwa mmetupiga parefu Kwa mchezaji anayemalizia miezi 6 yake hapo kwenu. Tumeshajeruhiwa halafu unaleta utani utani unao uma?Tuongezeeni pesa kidogo basi.
Kuna video nashindwa ku upload Jorginho alizidiwa mbio na refa wakati anarudi kufanya recovery.Mimi fans wake mkubwa
Tunashukuru
Mzee taratibu basi wajameni. Tunavunja ngalawa tunayosafiria pamoja.Acha chuki na Mimi ,sijakuchukulia mkeo, kupost humu inakuuma ,bando langu,
Una chuki hakika wewe Ni mshirikina , sijawahi kuku qoute popote ila kutwa kuniandama
Kama nimekuchukulia mkeo ,move on
Sitakujibu Tena ,ili uzidi kuumia na kunichukia zaidi
RichardKuna video nashindwa ku upload Jorginho alizidiwa mbio na refa wakati anarudi kufanya recovery.
Labda aamue mwenyewe kubadilika. Ila jamaa ni mvivu sana.
Unachosema ni kweli kocha ana nafasi yake kubwa kwa mchezaji ila tambua na mchezaji nae aamue mwenyewe ku step up na kumuaminisha kocha hakukosea kusajiliwa.Nikikumbuka Sajili za Mikel zilivyotukanwa na kubezwa na pale alivyowapa jezi no. 7 na 10 Saka na Smith Rowe alivyoshambuliwa ,nabaki nacheka tu
Aaron Ramsdale alifunga had social media
Ninachompendea Mikel hajawahi kusikiliza makelele
Alimuondoa Auba ,laca ,ozil ,Guendoz ,na makelele yalikuwa kibao
Alimpa nafasi Nketiah na kumpiga chini lacazette hakumsikiliza mtu
Huyo Ndiye Mikel ninayemjua mimi

naona wadau mmechafukwa na jorginho balaaa..tulikuwa tunaongea lugha moja kwa caisedo,zubimendi na onana ila alipoingia jorginho hali ya hewa imebadilika.relaax guys its all about fun.tusiwe emotional wadau.Kwa Nini mlimsugulisha bench?Tumewauzia mchezaji ambaye ni:-
Injury free
Wenye brain ya kuusoma mchezo hatua mbili mbele
Passer mzuri
Uwezo wa kucontrol dimba na kuamua timu ichezeje kwa wakati gani
Mchezaji kiongozi uwanjani
Mchezaji wenye rekodi ya kubeba makombe makubwa/Winning mentality.
Tuongezeeni angalau £5M wazee, acheni ubahili
Kwa sababu ya kukosekana kwa KANTE ambaye ni majeruhi.
Zitto kwenye moja na mbili, kuna game ambazo Jorginho anauwezo wa kuanza na partey akakaa benchi, wala sio back up pekeeUkigombea taji haipaswi kuwa na "back up" Bali competition ya starting 11 Ili ubora usipungue hata mchezaji mmoja akiumia.
Hiyo ndio maana walitaka kusajili Mudryk, or Felix walijua kabisa sio back ups ila ni kikosi Cha kwanza hivyo Kuna game hata Saka na Marti wangeanzia benchi. Hiyo ndio logic ya usajili wa January kwa Arsenal.
Changamoto bei zilikua juu same to Caicedo hakupaswa kuja kuwa back up ila competition and potential starter.
So Jorginho haji kama back up ila starter tatizo ni kwamba Jorginho Hana quality za kumuweka Partey benchi. Sababu haingii hata robo kwa quality za Partey ila mtu kama zubimendi au Caicedo au Rice wangeweza kumuweka Partey benchi.
Uliona game ya City, imagine pale angeingia Zubimendi au Caicedo unadhani city wangepata mwanya wowote?
Tukubali tu ilikua panic buy Wala hakuna logic ya usajili huu.
Unaanza na sentesi usitudanganye! Nani anakudanganya?Nimesema jamaa yuko slow, hana pace, mzito kwenye decision making.
Wewe sasa usikomae na benchi limesema. Nijibu wewe kwa kutumia akili zako kwamba nimekosea kwa sababu hizi hapa.
Hoja ya benchi limesema ni hoja ya wafuatilia mpira livescore
Je hiyo ni lugha nyepesi tu ya kusema mmetupiga parefu? 😄😄😄Nadhani kocha Arteta ameshaandaa namna timu itacheza kwa style ya kubeba madhaifu ya Jognho na zaidi kupata kile kilicho bora kutoka kwake.
Tulieni msiwe na wasiwasi, hiyo ni kazi ya kocha
Baada ya kombe la dunia Jamaa mistake tulizokua tunaziona hazipo tena that why huoni tunamsema tena GM6, ndivyo hata mwanzo Will Jr alikua anasema kuhusu Partey na ni wachache sana waliokua wanaona kua kuna mistake anazifanya hapaswi kufanya ila kuna watu pia walikua hawaelewi kabisa, Ndo maana saiv huwez kuona malalamiko tena kuhusu Partey ndivyo ilivyo kwa GM6 now yuko njema sanaUmesahau beki mrefu Gabriel, watu wamemtukana sana humu, lakini kila zikiletwa stats anaonekana yuko vizuri
Kwahiyo umeingilia kitu hujui kilipoanzia kwakua umeona neno 'usitudanganye'?Unaanza na sentesi usitudanganye! Nani anakudanganya?
Unachosema ni kweli kocha ana nafasi yake kubwa kwa mchezaji ila tambua na mchezaji nae aamue mwenyewe ku step up na kumuaminisha kocha hakukosea kusajiliwa.
Jorginho ni mchezaji mzuri ila shida yake yupo very slow, mvivu. Labda kama ataamua mwenyewe kubadilika.
Keshafika Emirates na medali za UEFA na CWC naambiwa Martneli alitaka kupiga nazo picha akanyang'anywa simu na Arteta![]()



utani wa ngumi huu.


but for me Jorginho naona ni usajili sahihi kwa sasa sababu ya Experience kubwa aliyonayo mtu ana Euro ,Champions league trophies
kwa sasa anaweza akatusaidia kwa kiasi kikubwa kusonga mbele na I am happy kwa Lokonga kusepa zake so kwa usajili huu naona ni mzuri tu kwa team yetu ya Arsenal keshakutana na big games za national na clubs so let's hope atatusaidia