Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tetes zinasema ataleta watu wakutosha ,kina Gundo wote anawaondoaNaona kabisa Summer Pep akipitisha fagio na kuleta wachezaj wengine sio kama 3-5
Tetes zinasema ataleta watu wakutosha ,kina Gundo wote anawaondoaNaona kabisa Summer Pep akipitisha fagio na kuleta wachezaj wengine sio kama 3-5
Lokonga hamna mtu mule, anaenda Palace kwa mkopo probably next season pia ataenda loan au kuuzwa kabisa maana ameshindwa kudeliver kilichohitajikaKwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.
Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
Kuhusu Trossard hapana kaka, wengi walifurahia ujio wakeWachezaji na Staff na Bench wamefurahishwa na ujio wake
Usiumize kichwa na Hawa Hawa waliopinga ujio wa kina Ramsdale , ode,n.k
Juz hapa wame question usajili wa Trossard ,gafla wamebadilika wanamsfia
Huyu akishindwa kuimprove uko palace apigwe bei tuGood luck SambiView attachment 2501528
Mkuu Jorginho amesajiliwa akiwa ni "cover" na ana mkataba wa mwaka mmoja.Jorginho wote tumemuona.
Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.
Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.
Sasa kaja wa 30+
Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?
Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
️
#AFCWewe usajiri gan wa Arteta uliwai kukubaliana naoJorginho wote tumemuona.
Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.
Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.
Sasa kaja wa 30+
Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?
Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
Mipango ya DM imekuja sababu ya injury ya ElnenyKuna swali najiuliza,Arsenal tulikuwa na partey,lokonga na elneny na bado tulikuwa tunazungumzia kusajili DM.sasa kaumia elneny na bado sambi anatolewa kwa mkopo.mmh hivi kuna anayefikiria nachokifikiria?hii vita inataka akili saana
Mkuu hili ni jukwaa la Arsenal sio la siasa kwahiyo hakukua na haja ya kutaja chadema hapa. Hapa tunatambuana kwa timu za mpira tu.Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu Chadema
Cry more
Jorginho atavaa jez no.20
Wachezaji na Staff pamoja na Arteta wamefurahi ,anajiandaa na mechi Jumamosi Vs Everton
Cry more ,sitakujibu Tena
Ok mkuu, Huyo jamaa anapenda kunishambulia na kuingiza Mambo ya diniMkuu hili ni jukwaa la Arsenal sio la siasa kwahiyo hakukua na haja ya kutaja chadema hapa. Hapa tunatambuana kwa timu za mpira tu.
Mpira ni sanaa hivyo kila mmoja ana mtizamo wake kwahiyo anaweza kuwa sahihi au kukosea na hili hutokea kwa wote kuanzia kwa makocha mpaka sisi mashabiki.
Sasa tusubili kuona kama tumelamba dume au galasa kwa jorginho
Sio nakufuatilia ila wewe ndio una kiherehere kupost humu asbuhi mpaka usiku maoni Yako ukiongozwa na hisia. Unadhani ungekua haupost utumbo ningekua na muda na wewe? You're misinforming people ndio maana tupo hapa kuweka rekodi sawa.Ok nimeumbuka , mbona unanifatilia Sasa
Najua unatafutaga Ligi na Mimi , huo muda Sina ,
Naona chuki zako juu yangu zitakuua , nikikaa mbali na wewe unanifatilia ,
Acha chuki na Mimi ,sijakuchukulia mkeo, kupost humu inakuuma ,bando langu,Sio nakufuatilia ila wewe ndio una kiherehere kupost humu asbuhi mpaka usiku maoni Yako ukiongozwa na hisia. Unadhani ungekua haupost utumbo ningekua na muda na wewe? You're misinforming people ndio maana tupo hapa kuweka rekodi sawa.
Hauna credibility yoyote ya mtu kutaka debate na wewe, ila labda kueleweshwa maana hauna unachojua zaidi ya ushabiki kichaa.
Ukigombea taji haipaswi kuwa na "back up" Bali competition ya starting 11 Ili ubora usipungue hata mchezaji mmoja akiumia.Toa sababu za kiufundi mkuu. Lakini kumbuka kila mtu anasema usajili wa January ni mgumu coz hakuna timu inataka kuharibu mipango yake katikati ya msimu.
Swali lingine, Joginho amekuja kama backup ya Partey au competitor wake? Tukipata jibu lake hapo tunaweza kuendelea na mjadala.

YeS mkuu nilimaanisha hivyo. Timu ndogo kama manyumbu watafurahia mgogoro huo maana utawdhoofisha City.Pep pia anapungukiwa nguvu kwenye tittle run