Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Stan Kroenke has given the green light for Arsenal to submit one final bid for Moises Caicedo to get a deal over the line. But Brighton say NOT FOR SALE


[Mark Irwin/Sun Sport].
 
Kwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.

Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
Lokonga hamna mtu mule, anaenda Palace kwa mkopo probably next season pia ataenda loan au kuuzwa kabisa maana ameshindwa kudeliver kilichohitajika
 
Wachezaji na Staff na Bench wamefurahishwa na ujio wake

Usiumize kichwa na Hawa Hawa waliopinga ujio wa kina Ramsdale , ode,n.k

Juz hapa wame question usajili wa Trossard ,gafla wamebadilika wanamsfia
Kuhusu Trossard hapana kaka, wengi walifurahia ujio wake

Tunangoja Jorginho atuoneshe ambacho Arteta anaamini ataweza kukiexploit kwake
 
Jorginho wote tumemuona.

Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.

Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.

Sasa kaja wa 30+

Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?

Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
 
Jorginho wote tumemuona.

Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.

Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.

Sasa kaja wa 30+

Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?

Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
Mkuu Jorginho amesajiliwa akiwa ni "cover" na ana mkataba wa mwaka mmoja.

Ni kweli Jorginho ana mapungufu yake lakini amesaidia timu ya Chelsea kutwaa Champions league, UEFA Super Cup na pia kombe la mataifa ya Ulaya akiwa na Italy.

Lakini kati ya sasa na May kwa Arsenal kumsajili Jorginho ni kwamba wamesajili uzoefu na "winning mentality".

Bado Arsenal wanahitaji DM na watarudi kwa Caicedo na Declan Rice ifikapo Julai 1.

Tusubiri hadi wakati huo.
 
Here’s Jorginho in Arsenal shirt after deal signed until June 2024 with an option to further season — together with his agent João Santos #AFC

Official statement to follow.
IMG_20230131_185637.jpg
 
Kuna swali najiuliza,Arsenal tulikuwa na partey,lokonga na elneny na bado tulikuwa tunazungumzia kusajili DM.sasa kaumia elneny na bado sambi anatolewa kwa mkopo.mmh hivi kuna anayefikiria nachokifikiria? hii vita inataka akili saana
 
Jorginho wote tumemuona.

Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.

Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.

Sasa kaja wa 30+

Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?

Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
Wewe usajiri gan wa Arteta uliwai kukubaliana nao
Ramsdale mpaka kesho unamtilia mashaka ,mechi na Spurs ukamsifia Lloris akakuumbua
Kina odegad ,Tomiyasu, sajiri zote za Arteta unazipondaga
Kupigwa kupo ila 90% Sajiri za Arteta zimekuvueni nguo
Sishangai kupinga ujio wa Jojinho
Bado natasaka sajiri gani ya Arteta umewahi kubali
Ulisema asisajiliwe Partey aletwe auor na odegad sio AM
Acheni umbambamba
 
Kuna swali najiuliza,Arsenal tulikuwa na partey,lokonga na elneny na bado tulikuwa tunazungumzia kusajili DM.sasa kaumia elneny na bado sambi anatolewa kwa mkopo.mmh hivi kuna anayefikiria nachokifikiria? hii vita inataka akili saana
Mipango ya DM imekuja sababu ya injury ya Elneny

Awali ilikuwa iwe summer

Pia mechi zimebaki 26 tu EPL & Europa ,so i think DM wawili wanatosha kabisa kwa idadi hiyo ya mechi

Labda tuone Kama Kuna uwezekano wakuongezwa DM Mwingine ,but chance naona ndogo
 
Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu Chadema


Cry more

Jorginho atavaa jez no.20

Wachezaji na Staff pamoja na Arteta wamefurahi ,anajiandaa na mechi Jumamosi Vs Everton


Cry more ,sitakujibu Tena
Mkuu hili ni jukwaa la Arsenal sio la siasa kwahiyo hakukua na haja ya kutaja chadema hapa. Hapa tunatambuana kwa timu za mpira tu.

Mpira ni sanaa hivyo kila mmoja ana mtizamo wake kwahiyo anaweza kuwa sahihi au kukosea na hili hutokea kwa wote kuanzia kwa makocha mpaka sisi mashabiki.

Sasa tusubili kuona kama tumelamba dume au galasa kwa jorginho
 
Mkuu hili ni jukwaa la Arsenal sio la siasa kwahiyo hakukua na haja ya kutaja chadema hapa. Hapa tunatambuana kwa timu za mpira tu.

Mpira ni sanaa hivyo kila mmoja ana mtizamo wake kwahiyo anaweza kuwa sahihi au kukosea na hili hutokea kwa wote kuanzia kwa makocha mpaka sisi mashabiki.

Sasa tusubili kuona kama tumelamba dume au galasa kwa jorginho
Ok mkuu, Huyo jamaa anapenda kunishambulia na kuingiza Mambo ya dini

So nilimwambia akae mbali


Let's focus na Mambo mengine
 
Ok nimeumbuka , mbona unanifatilia Sasa

Najua unatafutaga Ligi na Mimi , huo muda Sina ,

Naona chuki zako juu yangu zitakuua , nikikaa mbali na wewe unanifatilia ,
Sio nakufuatilia ila wewe ndio una kiherehere kupost humu asbuhi mpaka usiku maoni Yako ukiongozwa na hisia. Unadhani ungekua haupost utumbo ningekua na muda na wewe? You're misinforming people ndio maana tupo hapa kuweka rekodi sawa.

Hauna credibility yoyote ya mtu kutaka debate na wewe, ila labda kueleweshwa maana hauna unachojua zaidi ya ushabiki kichaa.
 
Sio nakufuatilia ila wewe ndio una kiherehere kupost humu asbuhi mpaka usiku maoni Yako ukiongozwa na hisia. Unadhani ungekua haupost utumbo ningekua na muda na wewe? You're misinforming people ndio maana tupo hapa kuweka rekodi sawa.

Hauna credibility yoyote ya mtu kutaka debate na wewe, ila labda kueleweshwa maana hauna unachojua zaidi ya ushabiki kichaa.
Acha chuki na Mimi ,sijakuchukulia mkeo, kupost humu inakuuma ,bando langu,

Una chuki hakika wewe Ni mshirikina , sijawahi kuku qoute popote ila kutwa kuniandama


Kama nimekuchukulia mkeo ,move on

Sitakujibu Tena ,ili uzidi kuumia na kunichukia zaidi
 
Toa sababu za kiufundi mkuu. Lakini kumbuka kila mtu anasema usajili wa January ni mgumu coz hakuna timu inataka kuharibu mipango yake katikati ya msimu.

Swali lingine, Joginho amekuja kama backup ya Partey au competitor wake? Tukipata jibu lake hapo tunaweza kuendelea na mjadala.
Ukigombea taji haipaswi kuwa na "back up" Bali competition ya starting 11 Ili ubora usipungue hata mchezaji mmoja akiumia.

Hiyo ndio maana walitaka kusajili Mudryk, or Felix walijua kabisa sio back ups ila ni kikosi Cha kwanza hivyo Kuna game hata Saka na Marti wangeanzia benchi. Hiyo ndio logic ya usajili wa January kwa Arsenal.

Changamoto bei zilikua juu same to Caicedo hakupaswa kuja kuwa back up ila competition and potential starter.

So Jorginho haji kama back up ila starter tatizo ni kwamba Jorginho Hana quality za kumuweka Partey benchi. Sababu haingii hata robo kwa quality za Partey ila mtu kama zubimendi au Caicedo au Rice wangeweza kumuweka Partey benchi.

Uliona game ya City, imagine pale angeingia Zubimendi au Caicedo unadhani city wangepata mwanya wowote?

Tukubali tu ilikua panic buy Wala hakuna logic ya usajili huu.
 
Chelsea tunaendelea tu kusumbua ulimwengu kwa kufuru za usajili.

Kimombo tuwaachie Arse8 ambao wanatamba na harakati za kunyanyua ubingwa wa EPL 2022 - 2023.

Liverkuku Fans ni mwendo wa kisandawe kuchambua karanga badala ya kuchambua mpira kwa kimombo chao kileeee.

Kweli kutesa kwa zamu na kila kitabu na zama zake
Screenshot_2023-01-31-19-33-00-10_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-20-34_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-47-46_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
Back
Top Bottom