Yaani hawa mashabiki wanataka mchezaji akisajiliwa wote tusujudu.
Mimi mpira naangalia sifuatilii livescore. Kama anayesajiliwa nimewahi kumuona nitasema nilichokiona wakati Tomi anakuja nikasema jamaa ni CB naturally so hatooffer mchango attack wise kwenye upande wa full back
Shabiki mmoja anakuja kuniambia niliponda usajili haya niambie Tomi ana assists ngapi? Kwanini tunamtaka Fresneda?
Kuna mashabiki wapuuzi sana. Anawashiwa hotspot na cha kwanza anachowaza ni kupinga watu.
Partey anakuja huku tulikua na idea ya kuleta AM na DM kwa pamoja too bad akaja DM, nikasema this means tutakua butu and we were.
Tunapoteza games simply kwakua our most lethal man hapati mipira kwenye hili jukwaa nipo peke yangu wewe ulikua wapi? Livescore?
Hatutakuja fanana mawazo mara zote. Jitahidi uelewe, kama una hoja weka, huna kaa kushoto
hamis77