Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe jamaa ndio maana yule jamaa anakutukana matusi makubwa , lini mashabiki wa Arsenal walimtukana jorginho ? Mchezaji wa Chelsea atukanwe na mashabiki wa Arsenal ,hebu acheni kutafuta Kiki humu

Huyo Silvester kipind hicho hata JF sidhani Kama ilikuwepo au imechangamka ,

Jitahidi kuchangia point

Wanaotukana wachezaji Mimi binafsi huwa nawaambia ukweli ,katika sajili za Arteta na Edu wamefaulu kwa 80% na wapingaji wameaibika

Hata Jesus , Ramsdale,ode,Tomiyasu, n.k wametukanwa Sana humu ,
Umesahau beki mrefu Gabriel, watu wamemtukana sana humu, lakini kila zikiletwa stats anaonekana yuko vizuri
 
Kwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.

Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
He's approaching 24 kijana mdogo? analingana age na Rice!! Vipi Gavi, pedri, Bellingham Wana umri Gani? mbona wako vizuri ingawa wachanga na hawana uzoefu mkubwa sana.

Tatizo la Lokonga Hana defensive awareness hajui muda Gani akabe nafasi. Hana spidi ya kukaba mapema, Hana physicality ya kudominate Midfield, Bado Hana aggressiveness inayohitajika..... Passing ndio kabisa mbovu!! Odegaard alimfokea sana mechi iliyopita mpaka jamaa akasusa.

Kiufupi hayupo tayari kwa timu kama Arsenal labda acheze ligue 1 kidogo hakuna agressiveness kubwa.
 
Mkuu Jorginho amesajiliwa akiwa ni "cover" na ana mkataba wa mwaka mmoja.

Ni kweli Jorginho ana mapungufu yake lakini amesaidia timu ya Chelsea kutwaa Champions league, UEFA Super Cup na pia kombe la mataifa ya Ulaya akiwa na Italy.

Lakini kati ya sasa na May kwa Arsenal kumsajili Jorginho ni kwamba wamesajili uzoefu na "winning mentality".

Bado Arsenal wanahitaji DM na watarudi kwa Caicedo na Declan Rice ifikapo Julai 1.

Tusubiri hadi wakati huo.
Kwa umri wake hakuna anayeamini kwamba huyu ni wa muda mrefu na ni crucial starter

Swali ni je kwa style yake ya uchezaji atatoa hiyo cover tunayoitaka?
 
Wewe usajiri gan wa Arteta uliwai kukubaliana nao
Ramsdale mpaka kesho unamtilia mashaka ,mechi na Spurs ukamsifia Lloris akakuumbua
Kina odegad ,Tomiyasu, sajiri zote za Arteta unazipondaga
Kupigwa kupo ila 90% Sajiri za Arteta zimekuvueni nguo
Sishangai kupinga ujio wa Jojinho
Bado natasaka sajiri gani ya Arteta umewahi kubali
Ulisema asisajiliwe Partey aletwe auor na odegad sio AM
Acheni umbambamba
You are just another confused fan with access to smartphone
 
Jorginho wote tumemuona.

Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.

Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.

Sasa kaja wa 30+

Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?

Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
Arteta, mbona aliongea wiki iliyopita baada ya deal la Trossard kukamilika si lazima wasajili mchezaji wa 20's wataangalia na soko na quality.

Jorginho kwa mtu wa mpira nani asiyemjua. Kila mtu anakosea mkuu. Hilo huwezi kukwepa.
 
You are just another confused fan with access to smartphone
Jibu hoja wewe Ni pinga pinga huna unalojua ulilalamika Artata hasajili AM, Mpaka leo hakuwahi kumleta
Bali Ni odegad maestro
Ulimtukana Sana Ramsdale ,n.k
Acheni ubabaishaji
 
Kwa Mujibu Wa David Ornstein Usajili Wa Jorginho Umepokelewa Kwa Mikono Miwili Kuanzia Na Wachezaji Pamoja na Staffs Wote Huku Wakiamini Ana
-Ufundi Wa Hali ya Juu
-Uelewa Mzuri wa Mbinu za Walimu
-Uzoefu wa Kuelekea Ubingwa

Halafu Mtu Yupo Tanzania Ndani Ndani Huko Tandahimba Anasema Sijui Kaisha Sijui Anapiga Back Pass Sijui Mzee..

Nakumbuka Wengi Wenu Ndo Mliponda Usajili Wa Ramsdale Mkitaka Martinez Abaki Ben White mkasema ni Mlaini..Odergaard Mkasema Bora Madisson

Kama Arteta Anamhusudu Jorginho Tangu akiwa Man City alitaka Wamsajili Me ni Nan Nipingane

Kuna Siku Tutampangia Mtu Partey Jorginho Pale Chini Halafu Juu Odergaard Halafu Tutapiga pasi Laki Mbili na Ushee ndo Utajua Jorginho sio Fred wala Lokonga..

Kwanza Huyu Mwanaume Kaumbwa Kwenye Team za Kupiga Pass na kumiliki Mchezo

Hey Jorginho Frello,Am Ur Fan Here..
IMG_20230131_125733.jpg
 
Sio nakufuatilia ila wewe ndio una kiherehere kupost humu asbuhi mpaka usiku maoni Yako ukiongozwa na hisia. Unadhani ungekua haupost utumbo ningekua na muda na wewe? You're misinforming people ndio maana tupo hapa kuweka rekodi sawa.

Hauna credibility yoyote ya mtu kutaka debate na wewe, ila labda kueleweshwa maana hauna unachojua zaidi ya ushabiki kichaa.
Hili jukwaa la Arsenal, mshabuki
Jorginho wote tumemuona.

Huwezi kutudanganya kwamba alikua mzuri sana kama vile wengine hatuna TV.

Project ilisema mchezaji asiwe na zaidi ya miaka 25. Akaja wa miaka 28, 28 ni umri ambao wengi hua kwenye prime na atakaa hapo hata after 30 so it is fine.

Sasa kaja wa 30+

Kichekesho ni kwamba kuna watu wanaamini makocha hawakosei, wakisema fulani ni mzuri basi neno lao ndiyo tulishikilie. Ferguson alipigwa, Wenger alipigwa, Pep kapigwa, Arteta na wenzake ni nani wasipigwe kwamba wao wakiongea tusijiulize kua hapa waliwaza nini?

Yaani idea yenu ni kwamba wote tuwe na akili moja? Hilo haliwezekani.
Nani anakudanganya?! Arteta na Edu?! Au benchi la ufundi la Arsenal?!
 
Yaani hawa mashabiki wanataka mchezaji akisajiliwa wote tusujudu.

Mimi mpira naangalia sifuatilii livescore. Kama anayesajiliwa nimewahi kumuona nitasema nilichokiona wakati Tomi anakuja nikasema jamaa ni CB naturally so hatooffer mchango attack wise kwenye upande wa full back

Shabiki mmoja anakuja kuniambia niliponda usajili haya niambie Tomi ana assists ngapi? Kwanini tunamtaka Fresneda?

Kuna mashabiki wapuuzi sana. Anawashiwa hotspot na cha kwanza anachowaza ni kupinga watu.

Partey anakuja huku tulikua na idea ya kuleta AM na DM kwa pamoja too bad akaja DM, nikasema this means tutakua butu and we were.

Tunapoteza games simply kwakua our most lethal man hapati mipira kwenye hili jukwaa nipo peke yangu wewe ulikua wapi? Livescore?

Hatutakuja fanana mawazo mara zote. Jitahidi uelewe, kama una hoja weka, huna kaa kushoto hamis77
 
Arteta, mbona aliongea wiki iliyopita baada ya deal la Trossard kukamilika si lazima wasajili mchezaji wa 20's wataangalia na soko na quality.

Jorginho kwa mtu wa mpira nani asiyemjua. Kila mtu anakosea mkuu. Hilo huwezi kukwepa.
Yeah kila mtu anakosea ndiyo mbona nimesema
 
Jibu hoja wewe Ni pinga pinga huna unalojua ulilalamika Artata hasajili AM, Mpaka leo hakuwahi kumleta
Bali Ni odegad maestro
Ulimtukana Sana Ramsdale ,n.k
Acheni ubabaishaji
Our worst ten games. Odegaard alikua wapi?

Na hili sitakuja kulificha juu ya Ramsdale na nimesema mara zote yeye siyo shot stopper hutaki kaa kushoto.
 
Yaani hawa mashabiki wanataka mchezaji akisajiliwa wote tusujudu.

Mimi mpira naangalia sifuatilii livescore. Kama anayesajiliwa nimewahi kumuona nitasema nilichokiona wakati Tomi anakuja nikasema jamaa ni CB naturally so hatooffer mchango attack wise kwenye upande wa full back

Shabiki mmoja anakuja kuniambia niliponda usajili haya niambie Tomi ana assists ngapi? Kwanini tunamtaka Fresneda?

Kuna mashabiki wapuuzi sana. Anawashiwa hotspot na cha kwanza anachowaza ni kupinga watu.

Partey anakuja huku tulikua na idea ya kuleta AM na DM kwa pamoja too bad akaja DM, nikasema this means tutakua butu and we were.

Tunapoteza games simply kwakua our most lethal man hapati mipira kwenye hili jukwaa nipo peke yangu wewe ulikua wapi? Livescore?

Hatutakuja fanana mawazo mara zote. Jitahidi uelewe, kama una hoja weka, huna kaa kushoto hamis77
Hakuna mtu anakwambia usujudu. Benchi limeamua wewe nani unapinga? Wewe toa tathmini yako basi sio unatoa tathimini yako huku unapinga wengine na kulaumu kocha na timu
 
Brighton midfielder Moises Caicedo is expected back in training tomorrow after bids from Chelsea and Arsenal were rejected.

@NizaarKinsella provides the latest update on that in our blog.

LIVE: bit.ly/DeadlineDay2023

#DeadlineDay
 
Hakuna mtu anakwambia usujudu. Benchi limeamua wewe nani unapinga? Wewe toa tathmini yako basi sio unatoa tathimini yako huku unapinga wengine na kulaumu kocha na timu

Nimesema jamaa yuko slow, hana pace, mzito kwenye decision making.

Wewe sasa usikomae na benchi limesema. Nijibu wewe kwa kutumia akili zako kwamba nimekosea kwa sababu hizi hapa.

Hoja ya benchi limesema ni hoja ya wafuatilia mpira livescore
 
Our worst ten games. Odegaard alikua wapi?

Na hili sitakuja kulificha juu ya Ramsdale na nimesema mara zote yeye siyo shot stopper hutaki kaa kushoto.
Kwa hiyo Rams anacho-offer ni kitu gani mkuu? Na kwa nini Arteta & Co wakaona ni bora Leno aondoke abaki Rams? Toa ufafanuzi hapo.
 
Kwa umri wake hakuna anayeamini kwamba huyu ni wa muda mrefu na ni crucial starter

Swali ni je kwa style yake ya uchezaji atatoa hiyo cover tunayoitaka?
Mkuu, kuna mahali humu niligusia suala la timu za Ulaya au soka la Ulaya kuongozwa sana na teknolojia kwa sasa hivi.

Zipo programs nyingi sana za computer ambazo zasaidia mameneja, washauri, wadau na wachambuzi kufanya tathmini ya wachezaji hadi kufikia maamuzi.

Na sasa hivi Artificial Intelligence au AI nazo zimeingia kazini zafanya kazi hiyohiyo.

Hivyo basi takwimu au statistics zaonyesha kwamba Jorginho awazidi Partey na Caicedo kwa maeneo kama kukimbia uwanjani. Jorginho (kwa dakika 90 ) akimbia kilomita 11.1 kulinganisha na Partey ambae akimbia kilomita 10.5 na Caicedo akimbia kilomita 10.2

Pia ndani ya dakika 90 kwenye "interceptions" na "tackles" Jorginho ana 8.3 , huku Partey akiwa na 7.3 na Caicedo akiwa na 6.2

Nisisitize tu hapa kwamba hiyo haimaanishi kwamba Arsenal isimsajili Caicedo lakini ni kwa ajili ya future na mrithi wa Partey kwani atakua na muda wa kijiimarisha zaidi.

Eneo moja ambalo Jorginho atiliwa shaka ni namna jinsi apitwavyo kwa chenga ndani ya box yaani dribbled pass ambapo apata alama za chini yaani 0.9 wakati Partey ni 1.1 tu na Caicedo 0.6

Hiyo yaweza kabisa kuwa improved kwa maelekezo ya kocha Arteta.

Kwa uelewa zaidi angalia hiyo Chart hapo chini.

Jorginho stats vs Thomas Partey & Moises Caicedo

Premier League Since 21/22Jorginho (per 90)Partey (per 90)Caicedo (per 90)
Appearances474026
Minutes355934262271
Goals8 (0.2)4 (0.11)2 (0.08)
Assists2 (0.05)1 (0.03)2 (0.08)
Chances Created34 (0.9)31 (0.8)24 (1)
Distance covered (km)437.7 (11.1) 399.9 (10.5) 257.9 (10.2)
Passes2761 (69.8)2247 (59)1341 (53.1)
Passing Accuracy88%86%87%
Passes Ending Final 1/3806 (20.4)624 (16.4)372 (14.7)
Forward Passes792 (20)636 (16.7)367 (14.5)
Through Balls10 (0.3)13 (0.3)8 (0.3)
Carry Distance (m)4311.4 (109)4700 (123.5)2445.1 (96.9)
Tackles106 (2.7)79 (2.1)68 (2.7)
Interceptions57 (1.4)42 (1.1)36 (1.4)
Possession Won327 (8.3)277 (7.3)170 (6.7)
Dribbled past by opp.77 (1.9)40 (1.1)15 (0.6)
Duel Success52%54.2%57.8%
 
Back
Top Bottom