Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtu mwenye akili timamu yeyote huu ndio mfumo alternative, unamtumia Ben White kwenye mechi zenye physicality kama Crystal Palace, Southampton na Brentford.

Huku mechi nyingine anatumika Zinchenko na Kiwior hii ndio maana ya backup, Partey na Xhaka bado hawajaumia wala kuwa suspended.

Imebaki michezo 26 hivyo ikitokea leo asianze Partey hadi msimu unaisha hao wachezaji watatu kila mmoja atacheza michezo 8 katika mashindao mawili.

Jorginho is the worst deal in history of this club and also is a sabotage plan, Edu hastahili kuwa Arsenal kuanzia tarehe 1 February!
Jorginho hajawa marehemu kihivyo mkuu!!!!
 
Mbona Jorginho anampita Partey kwenye idara nyingi tu na sisi Chelsea tulimuona kama ndie hafai pale katikati? Takwimu saa nyingine bana, acha tu. Nadhani inayomuangusha Jorginho ni mistakes anazofanya na back passes nyingi
View attachment 2501309
System ya Chelsea sio rafiki kwa Jorginho ,

Huyo Ni Register ,walimu waliopita Chelsea ukutoa Sari na lampard ndio walimtumia vzr

Jorginho anafahamika Kama master pass ,kwa System ya Arsenal Cha Kwanza Ni kutunza Mali ,kuregain possession ,

Jorginho hapo ndio kafika
 
Kwangu mimi Jorginho ni mchezaji slow, hana pace, mzito kwenye decision making na anakuepo kwenye mechi kwaajili ya kupiga penati tu.

Arsenal tumetumia wachezaji wa Chelsea for years na hakuna ambaye alikuja pale akaacha kumbukumbu nzuri. Ukimtaja Cech unakumbuka fainali na Chelsea Europa, ukimtaja Luiz unakumbuka zile penati na red ambazo zingine wakati zinatokea alikua anatabasamu.

Sijui Jorginho atafanya nini cha msingi at this moment.

Logic ipo hivi:

Una 60M unahitaji mchezaji. Unaambiwa anauzwa 90M (mfano) hii inamaanisha kutoka kwenye original price unatakiwa uongeze 30M ili uchukue trophy.
Timu kama Arsenal kuongeza 30M ili kupata trophy ni shida?

Jorginho alionekana mzuri kwakua kulikua na Kante, sisi tunamleta tukitarajia yeye awe Kante. Mafanikio ya ujumla na Italia na klabu yakafanya mashabiki wa Chelsea wadai jamaa anastahili Ballon D'or.
 
Mtu mwenye akili timamu yeyote huu ndio mfumo alternative, unamtumia Ben White kwenye mechi zenye physicality kama Crystal Palace, Southampton na Brentford.

Huku mechi nyingine anatumika Zinchenko na Kiwior hii ndio maana ya backup, Partey na Xhaka bado hawajaumia wala kuwa suspended.

Imebaki michezo 26 hivyo ikitokea leo asianze Partey hadi msimu unaisha hao wachezaji watatu kila mmoja atacheza michezo 8 katika mashindao mawili.

Jorginho is the worst deal in history of this club and also is a sabotage plan, Edu hastahili kuwa Arsenal kuanzia tarehe 1 February!
Tuache mihemko , Jorginho amekuwa mbovu kiasi hicho?


Yaan upo tayari twende roond ya 2 na DM kiraka White ? Lini ulimuona White akicheza DM hapo Arsenal toka aje?

Kuna sehemu zakufanyie rotation ,sio Kiungo

Ndio maana maeneo yote tumeweka Vijana Hadi wa miaka 20 ,Ila pale kwenye MIDFIELDERS Kuna wanaume wawili XHAKA NA PARTEY


White kacheza Kiungo kwa Bielsa huko,


Kaumia Elneny ,tunabaki na Partey tu

Kumbuka Huyo Lokonga sio DM anawekwa tu pale ...

Sasa Jorginho huyu aliyetaka had kupewa ballon dor unavyomzungumza like Kama Hajui mpira kabisa
 
Mkuu una maoni Gani? Jorginho ni part of Arteta plan? Kuna wakati panic buys hazikwepeki kabisa. Nimpongeze Arteta kwa hili hata kama kanunua mzigo!!
Jorginho sio panic buy, amekuwa kwenye Mipango yake toka anafika Arsenal ,

Caicedo alikuwa top priority Baada yakuumia Elneny juz hapa ,mpango ulikuwa tumalize msimu na Partey na Elneny tu ,

Kuumia kwa Elneny kumefanya uibuke mjadala wa Caicedo ambaye imeshindikana ,

Jorginho Ni mchezaji ambaye Arteta anamtaka , panic buy Ni Kununua mchezaji hakuwa kwenye Mipango yako
 
Mtu mwenye akili timamu yeyote huu ndio mfumo alternative, unamtumia Ben White kwenye mechi zenye physicality kama Crystal Palace, Southampton na Brentford.

Huku mechi nyingine anatumika Zinchenko na Kiwior hii ndio maana ya backup, Partey na Xhaka bado hawajaumia wala kuwa suspended.

Imebaki michezo 26 hivyo ikitokea leo asianze Partey hadi msimu unaisha hao wachezaji watatu kila mmoja atacheza michezo 8 katika mashindao mawili.

Jorginho is the worst deal in history of this club and also is a sabotage plan, Edu hastahili kuwa Arsenal kuanzia tarehe 1 February!

Strongly supports your last paragraph, maybe we shall see a difference Jorginho after arriving at the club, but still sceptic
 
Jorginho sio panic buy, amekuwa kwenye Mipango yake toka anafika Arsenal ,

Caicedo alikuwa top priority Baada yakuumia Elneny juz hapa ,mpango ulikuwa tumalize msimu na Partey na Elneny tu ,

Kuumia kwa Elneny kumefanya uibuke mjadala wa Caicedo ambaye imeshindikana ,

Jorginho Ni mchezaji ambaye Arteta anamtaka , panic buy Ni Kununua mchezaji hakuwa kwenye Mipango yako
Aaaah sio kweli Caicedo is better than Lokonga na Elneny hiyo Iko wazi so hauwezi sema jorginho angekuja if at all Caicedo angenunuliwa.

Tukubali tu hii ni panic buy, inaweza kutusaidia sababu tu he's better than elneny na Lokonga (ambao ni mizigo) ila kusema alikua kwenye mipango sio kweli.

Yasije kutukuta ya Willian
 
Why kwenye signing nzuri mnamsifia Arteta alafu kwenye majanga mnamuweka Edu? Hivi si Arteta ndio alimsajili Willian na Tavares? Nadhani tusimfanye ni malaika hapa kachemka ila nampongeza kwa ujasiri huu na kuacha kiburi kilichotucost last january
Edu ndiye finalizer ndio maana ya kuwa Sporting Director na sio tu kwamba ni SD, amewahi kuwa mchezaji mkubwa duniani kuona anapatisha upuuzi wakati ananafasi nzuri ya maamuzi inaonesha hafai na ameshindwa kujifunza kutokana na makosa yake.

Pepe, Willian, Pablo Mari, Lokonga, Tavares, Runnarson & others. Wachezaji hawa wote wamepitshwa na yeye.

Usajili ulitakiwa kufanyika January lakini sio sabotage na mchezaji anayemaliza soka lake, kuna options 5 kuliko upuuzi anaofanya.
 
Pale Chelsea?? Hivi kweli Chelsea ndio timu ya kusema ukiwa best midfielder basi utakua better kwingine? Jamaa ana 31!! Atakua deadweight kama Auba sio muda mrefu na atashindwa kuuzika.
Sidhan Kama Arsenal wamemsajili ili wamuuze, wamemsajili awe cover ya Partey maana Elneny kuumia had mwisho wa msimu,
 
Aaaah sio kweli Caicedo is better than Lokonga na Elneny hiyo Iko wazi so hauwezi sema jorginho angekuja if at all Caicedo angenunuliwa.

Tukubali tu hii ni panic buy, inaweza kutusaidia sababu tu he's better than elneny na Lokonga (ambao ni mizigo) ila kusema alikua kwenye mipango sio kweli.

Yasije kutukuta ya Willian
Jorginho transfer from Chelsea to Arsenal has gone down very well among #AFC squad + staff. Feeling is the midfielder brings technical ability, tactical understanding, experience level ideal for title bid. #CFC happy with money so all win


@TheAthleticFC
 
Mmegawanyika, baadhi yenu mnaona Jorg ameshaisha Hana lolote jipya Tena ,,,,

Chelsea kule alikuwa anatukanwa kila siku, Hana pace, back passes kila Mara, mistake nyingi zinaanzia kwake n.k n.k !

Swali , kwa mnaomkubali, kwa Nini mnatumia nguvu nyingi kumtetea ?

Binafsi naona kwa kipindi hiki ambacho mo Ni majeruhi, Sambi haeleweki Ni back up nzuri kwa Thomas,,,, ila mjue jorg wa sarri sio huyu wa sasa hivi ,,, !
 
Mmegawanyika, baadhi yenu mnaona Jorg ameshaisha Hana lolote jipya Tena ,,,,

Chelsea kule alikuwa anatukanwa kila siku, Hana pace, back passes kila Mara, mistake nyingi zinaanzia kwake n.k n.k !

Swali , kwa mnaomkubali, kwa Nini mnatumia nguvu nyingi kumtetea ?

Binafsi naona kwa kipindi hiki ambacho mo Ni majeruhi, Sambi haeleweki Ni back up nzuri kwa Thomas,,,, ila mjue jorg wa sarri sio huyu wa sasa hivi ,,, !
Labda Kama Ni mgeni na fanbase

Hawa hawa ndio walimtukana Sana Aaron Ramsdale wakamfata Hadi kwenye social media ikabid azifunge kwa muda sababu ya matusi

Hawa hawa ndio walimtukana Sana Arteta kwanini anamleta Øde anamuacha Buendia

Hawa hawa ndio walimtukana Arteta kwanini anawapa no.7 na no.10 Saka na Smith Rowe .

Trend Ni kubwa ,Juzi hapa wame questions kwanini anamuamini Eddie nketiah .


Wachezaji wa Arsenal na Staff wamemfurahia Sana Jorginho ,waulize hao wanaomponda hoja Yao ipi hasa

| @David_Ornstein on Jorginho:

“The word I’m hearing from inside Arsenal is there’s quite a lot of excitement among the players and staff about a very experienced player.”


[@TheAthleticFC] #afc
 
Tuache mihemko , Jorginho amekuwa mbovu kiasi hicho?


Yaan upo tayari twende roond ya 2 na DM kiraka White ? Lini ulimuona White akicheza DM hapo Arsenal toka aje?

Kuna sehemu zakufanyie rotation ,sio Kiungo

Ndio maana maeneo yote tumeweka Vijana Hadi wa miaka 20 ,Ila pale kwenye MIDFIELDERS Kuna wanaume wawili XHAKA NA PARTEY


White kacheza Kiungo kwa Bielsa huko,


Kaumia Elneny ,tunabaki na Partey tu

Kumbuka Huyo Lokonga sio DM anawekwa tu pale ...

Sasa Jorginho huyu aliyetaka had kupewa ballon dor unavyomzungumza like Kama Hajui mpira kabisa
Wewe ndiye mwenye mihemko, kila andishi lako humu limejaa mihemko, nimewahi kukuambia unahitaji kusikia tu Arsenal imesajili pasipo yakutumia akili nani anasajiliwa. Toa boliti kwenye jicho lako!

Kila anayatakiwa wewe husema ni mzuri, atatufaa na bla bla bla nyingi sana, sasa hivi kila sehemu ya Jorginho unaandika "Arteta Alimtaka"!

Lokonga sihesabu kama mchezaji, hakukuwa na ulazima wa kuchukua Jorginho the worst and older player wakati kuna options zaidi.

Hata Sanchez aliwahi kuwa top 5 kwenye Ballon'dor list na alikuwa kuwa claimed kama 3rd best nyuma ya Messi na Ronaldo akiwa Arsenal.
 
Back
Top Bottom