BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Jorginho hajawa marehemu kihivyo mkuu!!!!Mtu mwenye akili timamu yeyote huu ndio mfumo alternative, unamtumia Ben White kwenye mechi zenye physicality kama Crystal Palace, Southampton na Brentford.
Huku mechi nyingine anatumika Zinchenko na Kiwior hii ndio maana ya backup, Partey na Xhaka bado hawajaumia wala kuwa suspended.
Imebaki michezo 26 hivyo ikitokea leo asianze Partey hadi msimu unaisha hao wachezaji watatu kila mmoja atacheza michezo 8 katika mashindao mawili.
Jorginho is the worst deal in history of this club and also is a sabotage plan, Edu hastahili kuwa Arsenal kuanzia tarehe 1 February!

Jorginho transfer from Chelsea to Arsenal has gone down very well among #AFC squad + staff. Feeling is the midfielder brings technical ability, tactical understanding, experience level ideal for title bid. #CFC happy with money so all win
| @David_Ornstein on Jorginho: