ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,427
- 118,956
Wewe hata hujulikani unashabikia wapi? Ma**ya wa soka.View attachment 2501212
Pension fc jorginho kachukue hela za wajinga wajinga kazi kupiga nyeto tu arsenyeto bin ueropa
Wewe hata hujulikani unashabikia wapi? Ma**ya wa soka.View attachment 2501212
Pension fc jorginho kachukue hela za wajinga wajinga kazi kupiga nyeto tu arsenyeto bin ueropa
Tumekubali tumepigwa ila akiperform tutapoa tuMkuu hela ndogo hiyohutaki hata sisi tufaidike
![]()
Tusubiri kuona hii ikitimiaUsajili wa Jorginho utatusaidia kuchukua ubingwa wa ligi msimu huu maana atakuwa option nzuri ya partey au baadhi ya game kama za Europa anaweza akawa anaanza yy na Xhaka.
kwa usajili wa mwaka Mmoja sio mbaya then summer tunaingia kuchukua midfielders wa maana na right winger Kwa ajili ya kusaidiana na Saka.
Arteta ndio kampendekeza Jorginho Kwa hiyo Sina wasiwasi na usajili huu na Kwa taarifa yenu Jorginho atang'aa sana hamtaamini Kwa wale wanaombeza
Brighton kwa maamuzi yao wapo Sahihi.Ila hao brighton ni wajinga sana, hawajui kufanya biashara. Wakitegemea summer ndio watapiga bei wanajidanganya. Pia watakuwa wamemdhoofisha huyo kijana wa watu, kuna uwezekano asicheze tena vizuri kwani juhudi yake yote imeishia uvunguni mwa Brighton. Naomba hao jamaa washuke hata daraja msimu ujao.
Mkopo kwa EPL utamfaa
Arsenal and Palace are close to finalizing a loan move for Sambi Lokonga.
Xhaka na Jorginho Ni wachezaji ambao Arteta anasema waliwahitaji Sana akiwa city na PepNaenda na Arteta. Sijui kaona nini kwa Jorginho lakini ukweli ni kwamba Arteta katu-prove wrong sehemu nyingi sana alizofanya maamuzi..
Kuanzia kuondoka kwa Auba na Özil, kusajiliwa kwa Ødegaard, kuwaamini Saka, ESR, Martinelli na Nketiah, kuweza kumbadilisha Xhaka, n.k.
Kwahiyo mi nitakua mtu wa mwisho kuamini kama Arteta kakosea kumchukua Jorginho.
Tayari wako kwenye mtego, mchezaji asiyekuwa happy hawezi kuipa timu mafanikio. Tunza hii coment yangu sidhani kama Caisedo atacheza tena kwa moyo. Ungeisoma ile Intagram post yake ungejifunza jambo. Bora hata basi wangemboreshea posho yake. Unamlipa mtu paundi 3,600 wakati angeenda Arsenal au Chelsea angelipwa Paund 100,000/++. Ada ya mauzo ingewasaidia wao kupata wachezaji wa kuimarisha timu zaidi ya kubaki na mchezaji asiye happyBrighton kwa maamuzi yao wapo Sahihi.
1.Malengo yao ni kucheza Europe msimu ujao, watakuwa ni wajinga kuweaken kikosi chao katikati ya msimu.
2. Ni Player power vs Club Power.
Mchezaji ametangaza hadharani anataka kuondoka, wakati msimu bado unaendelea.
Wakikubali wanajiweka kwenye mazingira magumu huko mbeleni.
Hana shida kubwa kivile ni vile kaamua kubaki hapo.,na project ipo kasi inamuachaPalace si wanakosea kumfuata huyu jamaa? Zile shida zake akiwa kwetu akipeleka kwao si watashuka daraja?
Mtu mwenye akili timamu yeyote huu ndio mfumo alternative, unamtumia Ben White kwenye mechi zenye physicality kama Crystal Palace, Southampton na Brentford.Duuuh!!!Kuna mwamba katoka kunambia haya jana!!
Ben Cheupe(kama wanavyomwita mashabiki wa timu pinzani) arudi kiungo, then Tomiyassu apige mbili.
Mkuu una maoni Gani? Jorginho ni part of Arteta plan? Kuna wakati panic buys hazikwepeki kabisa. Nimpongeze Arteta kwa hili hata kama kanunua mzigo!!Arteta tayari ana plani , sio Huyo Zitto
Why kwenye signing nzuri mnamsifia Arteta alafu kwenye majanga mnamuweka Edu? Hivi si Arteta ndio alimsajili Willian na Tavares? Nadhani tusimfanye ni malaika hapa kachemka ila nampongeza kwa ujasiri huu na kuacha kiburi kilichotucost last januaryJorginho is the worst deal in history of this club and also is a sabotage plan, Edu hastahili kuwa Arsenal kuanzia tarehe 1 February!
Ndiye kamtaka ,Ni mchezaji aliyemtaka since 2020Mkuu una maoni Gani? Jorginho ni part of Arteta plan? Kuna wakati panic buys hazikwepeki kabisa. Nimpongeze Arteta kwa hili hata kama kanunua mzigo!!
Umeona Sasa lembu , wachezaji Kuna muda wanakuwa ovyo sababu ya SystemMbona Jorginho anampita Partey kwenye idara nyingi tu na sisi Chelsea tulimuona kama ndie hafai pale katikati? Takwimu saa nyingine bana, acha tu
View attachment 2501309