GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Mimi nina akili kuliko huyu fan mwenzenu.View attachment 2501217
Kilichonivutia Kwa Jorginho alivyokuja kwenu ni long balls na line breaking passes out from deep. Alikuwa muanzisha counters mzuri sana. Anapokea pasi Kwa beki, anageuka anapeleka through ball Kwa striker ama winger. Martinelli, Saka, Trossard au Nketiah na Jesus watazifurahia hizo. Labda kama makocha wamembadili ila mie niliona hiyo ilikuwa strength yake nilivyomuangalia misimu kadhaa iliyopita. Tunaomba aje yule.Sina shida na Jorginho
Uchezaji wake mbaya kwa baadhi ya mechi za Chelsea inaweza kuwa mifumo ya makocha, waliomzunguka nk
Ila ukweli ni huu Arteta akiweza kumguide aache tabia ya kukaa na mpira kwenye mazingira ya hatari hadi ananyanganywa na kusababisha unnesesary counter attack kwa opponent basi anaweza akawafaa sana kwa short term plan. Ni short pass passer mzuri, anaweza pia kupiga long passes, sijamuona akipiga through passes za kubreak lines. Tabisa nyingine ni too much back passes na saa nyingine hizo back passes anapiga hata bila kuangalia zinaishia kwa nani?
So Arteta anakazi ya
1) Kumuwezesha aache kukaa na mpira hadi anyang'anywe na opponent
2) aache tabia ya kupiga back passes kiholela
Akisolve hizo changamoto mbili atakuwa good signing

Lokonga anakusalimia..... Arsenal hamuwezi kuwa a top club na wachezaji wenu wa mafungu. Jorginho anakuja kuongeza tu idadi ya wachezaji mlionao.Wewe una akili kuliko MIKEL Arteta ?
Sikuona tatizo kwa CechCech (BAKU)
David Luiz
Willian
Jorginho
Tukutane May kwa mahesabu![]()
Ninachojua hakuna kombe mtabeba msimu huu,Lokonga anakusalimia..... Arsenal hamuwezi kuwa a top club na wachezaji wenu wa mafungu. Jorginho anakuja kuongeza tu idadi ya wachezaji mlionao.
Au mtamtumia kwenye Cup games..... aaah! kumbe mmetolewa kote.![]()
Huyo dogo sikupenda aondoke, akipewa game time, saka anaweza kukaa. Kwa mtizamo wangu, msitukane
Kule Baku kabla hawajaanza na Cech waanze na kocha Kwanza EmerySikuona tatizo kwa Cech
David Luiz aliisha hapo mlikosea
Wilian mlikosea kumpa mktaba mrefu, huyo alifaa mkataba wa mwaka mmoja, si unaona Fulam anavyocheza vizuri
Jorginho atawasaidia kuliko msingekuwa na backup ya Partey na Arteta kamchukua kwa maana hiyo hiyo baada ya dili la Caicedo kufeli na muda haupo tena
Tumebaki na mechi 26 tu EPL na Europa , nafasi kwake Ni finyuHuyo dogo sikupenda aondoke, akipewa game time, saka anaweza kukaa. Kwa mtizamo wangu, msitukane
Nyie endeleni kupinga ukweli ila Arsenal kila dirisha mnashindwa kupata top targets mnahamia kwenye wachezaji wa mafungu.Ninachojua hakuna kombe mtabeba msimu huu,
Timu yenu haiwezi kusajili hivo unakuja humu kupoza
Lokonga kwa manyua anacheza,kwa Arsenal 3rd choice
Whoscored wanasema Ni wachezaji wawili kutoka unyumbuni wanaingia kikosi Cha Arsenal
Why lokonga Kwenu asichezeView attachment 2501225
" 
Sasa tungefanyaje wakati Caicedo tumenyimwa na tuna EPL na Europa za kucheza? Hii inaitwa stop-gap in case tukimkosa au ikibidi kumpumzisha Partey. Msimu ujao atatafutwa mtu sahihi.Hamjifunzi tuu na hao Chelsea cast-off?
Hivi Kwa 12m hatujapigwa kweli? Si alikuwa na miezi 6 tu imebaki?Jorginho to Arsenal.
• £12m fee.
• One-and-a-half-year contract, with the option of a further year.
• Mikel Arteta was the ‘driving force’ behind the move.
Duuuh!!!Kuna mwamba katoka kunambia haya jana!!Dah ikishindikana iatabidi achukuliwe ivan fresnada toka spain acheze RB kisha ben white acheze kiungo.tuliambiwa hawa wachezaji ni "versatile "ni muda sasa tuone uwezo wao wa kunyumbulika
Mkuu hela ndogo hiyoHivi Kwa 12m hatujapigwa kweli? Si alikuwa na miezi 6 tu imebaki?

hutaki hata sisi tufaidike

Sisi ishu siyo pass nyingi tu Bali tumiliki mpira na tuingie 18 za timu pinzani na kupiga mabao mengi. Alete magoli mengi sana pia£12?
Hapana tuongezeeni ifike 20M.
Tunawauzia mashine ya kazi.
Injury free na atafanya vizuri kwenye mfumo wenu wa pass nyingi.
Pass nyingi ndio chakula cha Jorgnho.