verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,179
Atakuepo jumamosi against EvertonNaomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini
Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu
Thomas Partey is expected to be fit against Everton.