Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini

Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu
Atakuepo jumamosi against Everton
 
Thomas Partey is expected to be fit against Everton.


Initial tests have shown no serious injury.


Endeleeni na Ramli nyingine
Ataumia tena, injuries are looming after him
Muombeni Mola sana awasaidie, na dili la Caicedo ndio hilo limefika mil 90 Sterling Pound
 
Ataumia tena, injuries are looming after him
Muombeni Mola sana awasaidie, na dili la Caicedo ndio hilo limefika mil 90 Sterling Pound
Unapiga ramli aumie? Game zaidi ya 20 amekosa mechi 3 au 2

Endelea kuomba aumie huenda tukashuka had nafasi ya 10

Mlisema hivo hivo kwa jeraha la Jesus ,had Sasa anakaribia kurudi tupo vile vile
 
Unapiga ramli aumie? Game zaidi ya 20 amekosa mechi 3 au 2

Endelea kuomba aumie huenda tukashuka had nafasi ya 10

Mlisema hivo hivo kwa jeraha la Jesus ,had Sasa anakaribia kurudi tupo vile vile
Nimesema wapi hivyo badala yake nimewaambie muombe
 
ARTETA ANATAKA KUTENGENEZA TIMU YA KUSHINDANA KWA MIAKA MITANO HADI SITA

Tunaelekea kwenye Phase ya mwisho ya Project(THE ARSENAL WAY) ambayo Kikosi Cha Kwanza na Cha 2 vinakuwa vinakaribiana Quality

Summer anaondoka HOLDING, ELNENY NA LOKONGA ANATOLEWA MKOPO




Arsenal will launch Declan Rice move in the summer even if they sign Moises Caicedo

Arsenal's move for Rice could be worth around £70m

(@SamJDean )
 
ARTETA ANATAKA KUTENGENEZA TIMU YA KUSHINDANA KWA MIAKA MITANO HADI SITA

Tunaelekea kwenye Phase ya mwisho ya Project(THE ARSENAL WAY) ambayo Kikosi Cha Kwanza na Cha 2 vinakuwa vinakaribiana Quality

Summer anaondoka HOLDING, ELNENY NA LOKONGA ANATOLEWA MKOPO




Arsenal will launch Declan Rice move in the summer even if they sign Moises Caicedo

Arsenal's move for Rice could be worth around £70m

(@SamJDean )
Hamna uwezo wala jeuri ya kujenga project ya muda mrefu
Anceloti anamtaka Bukayo Saka his dream team
Kwa vijisenti hivyo m,navyotoa aisee mjenge team A na B yenye quality sawa
Waulize city wametumia kiasi gani kujenga team A and B zinazolingana
Pesa ndefu baba, bila hiyo msijigambe hata kidogo
Hizi nguvu za soda za mwaka huu zisiwapumbaze
Wanaume tumekaa pembeni tunawasanifu tu na kuwachorea ramani
 
Hamna uwezo wala jeuri ya kujenga project ya muda mrefu
Anceloti anamtaka Bukayo Saka his dream team
Kwa vijisenti hivyo m,navyotoa aisee mjenge team A na B yenye quality sawa
Waulize city wametumia kiasi gani kujenga team A and B zinazolingana
Pesa ndefu baba, bila hiyo msijigambe hata kidogo
Hizi nguvu za soda za mwaka huu zisiwapumbaze
Wanaume tumekaa pembeni tunawasanifu tu na kuwachorea ramani
Dah wewe jamaa unaumia Sana aisee

Hiyo Saka kutakiwa na Anceloti Sijui umeitoa wapi

Ulianza Ramli kwa Partey ,IMEBUMA

Ulipiga ramli kwa Jesus IMEBUMA

Umekuja Tena kupiga ramli kwa Saka, ambaye soon anasaini mkataba mpya na Saliba ,

Martinell kasaini Jana


Arsenal sio timu ya kuuza ,ungeshaona watu wanaweka Bid kwa kina martinel, Ode ,saka ,n.k

Najua unaumia Chelsea haijulikan lini itanyanyuka ,au huenda nafas ya 10 yakawa makao yenu
 
Hamna uwezo wala jeuri ya kujenga project ya muda mrefu
Anceloti anamtaka Bukayo Saka his dream team
Kwa vijisenti hivyo m,navyotoa aisee mjenge team A na B yenye quality sawa
Waulize city wametumia kiasi gani kujenga team A and B zinazolingana
Pesa ndefu baba, bila hiyo msijigambe hata kidogo
Hizi nguvu za soda za mwaka huu zisiwapumbaze
Wanaume tumekaa pembeni tunawasanifu tu na kuwachorea ramani
Timu yetu tunaijua Sisi ,ndio maana tunapokwambia tunakaribia kuwa na timu A na B zinazokaribiana tunamaanisha

Tumebakiza wachezaji watatu Tuwe na Timu A na B zinazokaribiana uwezo

Tuna wachezaji wanacheza nafasi zaidi ya 1 -2 ,

Arsenal are keen to dramatically strengthen their midfield in the medium and long-term, with Caicedo and Rice regarded as the ideal players to provide competition for Granit Xhaka and Thomas Partey. [Telegraph]
Screenshot_20230128-185941~2.jpg
 
Kwa uzoefu wangu ,Arsenal hawatavuka zaidi ya £70m , Brighton wakikaza ,Arsenal atahamia Option nyingine

Itakuwa Surprised tukilipa €100m(£90m) kwa mchezaji ambaye ameanza mechi hazifiki 40 za EPL ,analipwa £3k per week


Pia Brighton watakuwa wehu Kama £70m watazidi kukaza

Akili Yao Chelsea atakuja na €100m
Hapo kwa Chelsea hujadanganya mkuu
 
Hamna uwezo wala jeuri ya kujenga project ya muda mrefu
Anceloti anamtaka Bukayo Saka his dream team
Kwa vijisenti hivyo m,navyotoa aisee mjenge team A na B yenye quality sawa
Waulize city wametumia kiasi gani kujenga team A and B zinazolingana
Pesa ndefu baba, bila hiyo msijigambe hata kidogo
Hizi nguvu za soda za mwaka huu zisiwapumbaze
Wanaume tumekaa pembeni tunawasanifu tu na kuwachorea ramani
Pambana huenda Hata Conference league ukaikosa
 
Back
Top Bottom