Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kesho nitakuonesha video, kazinguliwa na Ode sababu ya poor positioning
Hata mimi niliona, ile nafasi ya namba 6 kabisa lakini hakuwepo pale, na kulikua na gape kubwa sana pale, walipaswa kua wachezaji wawili viungo eneo lile lakini najiuliza kwann hakua pale, na kuna muda nilikua namuona yeye kama namba 6 anaenda kumpress rodri ambae pasi kapokea kutoka kwa kipa wa city.
 
[emoji1593]Arteta kaisuka Arsenal ambayo ipo sawasawa physically na technically , wachezaji wapo imara sana kimwili na wakiwa na mali wapo salama sana , ngumu kuwazuia kutoka nyuma na kufika mbele
 
Hao wanaangalia mpira Livescore achana nao
Sawa tutaona hiyo Emirates inamaajabu gani ,mwaka wa Saba huu tunawagonga nje ndani ,nje ndani ,msimu baada ya msimu Leo huko Emirates Kuna nin ,zinchenko ,martinell , ordegard au [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Arteta says Partey felt something.

"We didn't want to take any risks. He could not continue."
Kitakacho waponza nyie ni media tu ....


Bora mngekuwa mnakaa kimya tunakutana na surprise kama za Brentford,Everton ....ila nyie tutawagonga mpaka mtajuta [emoji3][emoji3]
 
Mashabiki wa Arsenal tumefungwa lakini hatuoni shida maana kwa ufinyu wa kikosi chetu hatuwezi kushindana vikombe vinne ndomana tumetoka Carabao na FA nguvu ipo EPL na Europa.
 
Yule aliyesema Saka anakabwa na watu watatu Yuko wapi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwel arsenal Ina empty headed fans wengi ,zero brain

Ake pocketed Saka and scored the only goal of the Match.
 
Watu wa arsenal mna kele nyingi kumbe mbwa Koko tu hamueleweki hata mnataka nn[emoji1][emoji1][emoji1].

Ok see you kwenu hapo kwa tarehe 15[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170],[emoji1690][emoji1690][emoji1690][emoji1690]CITY

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Yale ya dogo Mudy yatajirudia na hapa?

Hii ni baada ya gemu yetu Vs City
20230128_013757.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom