Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Moises knows what’s good. He didn’t make any statements when Chelsea were in for him. My player.
 
Yan kwa full mkoko huu wa Man city alf mmeashindwa hata kutengeneza nafasi za wazi, mje kwenye ligi tuna full mkoko na sisi, mnapoint zetu 4 au 6.. Sijaona man city ya kuisumbua Arsenal kwenye Ligi wote wakiwa full nondo
Taja mchezaji wa arsenal ambaye hajacheza Leo ....
 
Kesho nitakuonesha video, kazinguliwa na Ode sababu ya poor positioning
Hata mimi niliona, ile nafasi ya namba 6 kabisa lakini hakuwepo pale, na kulikua na gape kubwa sana pale, walipaswa kua wachezaji wawili viungo eneo lile lakini najiuliza kwann hakua pale, na kuna muda nilikua namuona yeye kama namba 6 anaenda kumpress rodri ambae pasi kapokea kutoka kwa kipa wa city.
 
Arteta kaisuka Arsenal ambayo ipo sawasawa physically na technically , wachezaji wapo imara sana kimwili na wakiwa na mali wapo salama sana , ngumu kuwazuia kutoka nyuma na kufika mbele
 
Arteta says Partey felt something.

"We didn't want to take any risks. He could not continue."
Kitakacho waponza nyie ni media tu ....


Bora mngekuwa mnakaa kimya tunakutana na surprise kama za Brentford,Everton ....ila nyie tutawagonga mpaka mtajuta
 
Mashabiki wa Arsenal tumefungwa lakini hatuoni shida maana kwa ufinyu wa kikosi chetu hatuwezi kushindana vikombe vinne ndomana tumetoka Carabao na FA nguvu ipo EPL na Europa.
 
Yule aliyesema Saka anakabwa na watu watatu Yuko wapi kwel arsenal Ina empty headed fans wengi ,zero brain

Ake pocketed Saka and scored the only goal of the Match.
 
Back
Top Bottom