Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Moises knows what’s good. He didn’t make any statements when Chelsea were in for him. My player. 


Taja mchezaji wa arsenal ambaye hajacheza Leo ....Yan kwa full mkoko huu wa Man city alf mmeashindwa hata kutengeneza nafasi za wazi, mje kwenye ligi tuna full mkoko na sisi, mnapoint zetu 4 au 6.. Sijaona man city ya kuisumbua Arsenal kwenye Ligi wote wakiwa full nondo




Hata mimi niliona, ile nafasi ya namba 6 kabisa lakini hakuwepo pale, na kulikua na gape kubwa sana pale, walipaswa kua wachezaji wawili viungo eneo lile lakini najiuliza kwann hakua pale, na kuna muda nilikua namuona yeye kama namba 6 anaenda kumpress rodri ambae pasi kapokea kutoka kwa kipa wa city.Kesho nitakuonesha video, kazinguliwa na Ode sababu ya poor positioning
You are out of FA cup ,...Kama umeangalia mechi ya leo ,City Ni mweupe Sana
Sipati picha pale Emirates atatokea wapi
Kila la heri katika kusaka ubingwa.Kama umeangalia mechi ya leo ,City Ni mweupe Sana
Sipati picha pale Emirates atatokea wapi
Arteta kaisuka Arsenal ambayo ipo sawasawa physically na technically , wachezaji wapo imara sana kimwili na wakiwa na mali wapo salama sana , ngumu kuwazuia kutoka nyuma na kufika mbeleWepesi sana aiseeNdio nilichokiona aisee, City kumbe wameisha Hivi
Acha uchochezi 🤣🤣🤣🤣You are out of FA cup ,...
Sisi tushabeba 14 hayo mataji ya FA cupYou are out of FA cup ,...
Arteta ataendelea kumfundishwa mpira na pep akiwa huko huko arsenal ....Ndio nilichokiona aisee, City kumbe wameisha Hivi
Hao wanaangalia mpira Livescore achana naoKama umeangalia mechi ya leo ,City Ni mweupe Sana
Sipati picha pale Emirates atatokea wapi
Nimeamini aise, ndio maana nikiona shabiki anakuwa surprised Arsenal kupigania Epl msimu huu ,najua huyu Ni wa liverscoreHao wanaangalia mpira Livescore achana nao
Sawa tutaona hiyo Emirates inamaajabu gani ,mwaka wa Saba huu tunawagonga nje ndani ,nje ndani ,msimu baada ya msimu Leo huko Emirates Kuna nin ,zinchenko ,martinell , ordegard auHao wanaangalia mpira Livescore achana nao




Kitakacho waponza nyie ni media tu ....Arteta says Partey felt something.
"We didn't want to take any risks. He could not continue."


Timu yako imechokeana ,unasaka furaha kokote Sasa,Na hizo mechi mbili za ligi wanapasuka zote.

Our FA Cup cabinet is a bit full at the moment anyways. The premier league title cabinet needs some new additions and the 2022/2023 premier league title has a nice ring to it.You are out of FA cup ,...





kwel arsenal Ina empty headed fans wengi ,zero brain 

. 






,


CITY