Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwangu Mimi bada naona Tomiyasu ndio namba mbili wetu bora na Tierney namba tatu wetu bora. Zinchenko namuona kama midfielder zaidi na ana perfome vizur Kama tukiwa tunashambulia, Kama tunashambuliwa awi mzuri sana kwenye kudefend kama namba tatu so ukiachana na mambo ya technical kimajukumu ya namba tatu Tierney yuko mile ahead kwa zinchenko hayo n mawazo yangu,
White ile perfomce yake msimu ulio pita bado unambeba lakn sijaona Kama amemzid sana Tomiyasu, kilichomshusha Tomiyasu n yale majeruhi
Overall natamani beki zibak kama zilivo asiondoke ata mmoja quality na kikosi kipana ni muhimu sana,
Kwa Arsenal tunavyocheza ,hasa msimu huu ...tunamuhitaji Sana Zinchenko
 
Ramsdale:

“Trossard is coming to take someone’s place, in his head.. Like I was with Leno, I’ve come to take Leno’s place. He’s coming to take one of the front the players’ place.”
IMG_20230125_202816.jpg
 
I’m hearing that Arsenal are expected to make an offer for Moisés Caicedo before the window ends, I’m wondering whether this might spur Chelsea into a response.

It’s unknown right now whether Chelsea will go back in these final days of the window.

#CFC

(@siphillipssport)
 
Mchezaji kukataa timu Kuna factors nyingi tu ,usikariri

Ebowei mwaka Jana aliikataa man u akaenda Crystal palace ambapo anakaa benchi
YEah

Mshiko au na, dk. Hizo ndizo main. Nasikia alikataa baada ya kujadiliana. Sasa kama Chelsea wanataka kwa udi na uvumba kuwasajili akina Enzo na Caicedo, yeye anaogopa atakosa namba. Na kama mchezaji bado kuinua kiwango akienda kwenye timu kubwa ndio anaua kabisa
 
Back
Top Bottom