Kwangu Mimi bada naona Tomiyasu ndio namba mbili wetu bora na Tierney namba tatu wetu bora. Zinchenko namuona kama midfielder zaidi na ana perfome vizur Kama tukiwa tunashambulia, Kama tunashambuliwa awi mzuri sana kwenye kudefend kama namba tatu so ukiachana na mambo ya technical kimajukumu ya namba tatu Tierney yuko mile ahead kwa zinchenko hayo n mawazo yangu,
White ile perfomce yake msimu ulio pita bado unambeba lakn sijaona Kama amemzid sana Tomiyasu, kilichomshusha Tomiyasu n yale majeruhi
Overall natamani beki zibak kama zilivo asiondoke ata mmoja quality na kikosi kipana ni muhimu sana,