Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji599] I’m hearing that Arsenal are expected to make an offer for Moisés Caicedo before the window ends, I’m wondering whether this might spur Chelsea into a response.

It’s unknown right now whether Chelsea will go back in these final days of the window.

#CFC

(@siphillipssport)
 
Mchezaji kukataa timu Kuna factors nyingi tu ,usikariri

Ebowei mwaka Jana aliikataa man u akaenda Crystal palace ambapo anakaa benchi
YEah

Mshiko au na, dk. Hizo ndizo main. Nasikia alikataa baada ya kujadiliana. Sasa kama Chelsea wanataka kwa udi na uvumba kuwasajili akina Enzo na Caicedo, yeye anaogopa atakosa namba. Na kama mchezaji bado kuinua kiwango akienda kwenye timu kubwa ndio anaua kabisa
 
Kwahiyo inter milan na chelsea ipi ni timu kubwa?????
Acha kashafa wewe bro, Chelsea ni ya kuilinganisha na vitimu vya Itally vilivyojifia kiaina. Chelsea inalinganishwa na Bayern, Real Madrid, PSG, Barcelona ya mwaka juzi, Manure, Liverpool na Man city
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom