Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Simfahamu kwakweli tunahusishwa nae tuHuyu ndiyo namsikia hapa kwako leo mkuu
Simfahamu kwakweli tunahusishwa nae tuHuyu ndiyo namsikia hapa kwako leo mkuu
SimfahamuVipi huyu anajua?
ChelKenge Bado Ni klabu ndogo tuInawezekana hata Arsenal isifikie profile ya Inter Milan sasa sembuse kuifananisha na Chelsea. Bwa Mdogo jichunge
Chelsea's initial proposal was rejected by Amadou Onana. However Sources close to Onana have not yet ruled out a transfer before the window shuts.Wanauza habari hao, mchezaji level ya Onana hawezi kuikataa Chelsea
Huyu Arsenal mumchukue, huyu hawez kuja improve mid yetu,Chelsea's initial proposal was rejected by Amadou Onana. However Sources close to Onana have not yet ruled out a transfer before the window shuts.
(@Matt_Law_DT )
- Player also of interest to Arsenal.
Tuna tetesi na Federico Chiesa pia mkuu.Simfahamu kwakweli tunahusishwa nae tu
Hiki kitimu cha 2000'sInawezekana hata Arsenal isifikie profile ya Inter Milan sasa sembuse kuifananisha na Chelsea. Bwa Mdogo jichunge






Chelsea Kuna watu wanajua imeanzishwa 2005Hiki kitimu cha 2000's
Nyie shabiki wengi wa Chelsea ni badobado sana......maana mmeanza kupenda soka miaka ya 2000 wengi mmezaliwa miaka ya 95 kwenda mbele...
Wakati huo sisi tupo tunaangalia hii EPL kwenye Local Channels kabla ya haya ma DSTV yenu ambayo yamewafumbua macho na kuwaleta katika ulimwengu wa kabumbu
Unaniita bwa mdogo ila kipindi unazaliwa mimi ndio nawatazama kina Dani Petrescu,Tole ande Flo,Gianfranco Zola,Didier Deschamps,Marcel Dersaily ,Gianlucca Viarri na wengineo wanakipiga hapo Chelsea na sijawahi kuvutiwa nao maana walikuwa midtable team nikachagua Chama la kweli Arsenal ..
The pride of London.
Ngoja Bukayo Saka afanye kama FeisalArsenal squad wages. [Sportrac via Sun]View attachment 2496345
Bwa mdogo punguza kipipiHiki kitimu cha 2000's
Nyie shabiki wengi wa Chelsea ni badobado sana......maana mmeanza kupenda soka miaka ya 2000 wengi mmezaliwa miaka ya 95 kwenda mbele...
Wakati huo sisi tupo tunaangalia hii EPL kwenye Local Channels kabla ya haya ma DSTV yenu ambayo yamewafumbua macho na kuwaleta katika ulimwengu wa kabumbu
Unaniita bwa mdogo ila kipindi unazaliwa mimi ndio nawatazama kina Dani Petrescu,Tole ande Flo,Gianfranco Zola,Didier Deschamps,Marcel Dersaily ,Gianlucca Viarri na wengineo wanakipiga hapo Chelsea na sijawahi kuvutiwa nao maana walikuwa midtable team nikachagua Chama la kweli Arsenal ..
The pride of London.
) Ibrahima Bamba. No bid placed but they’ve been tracking him for some time.
Nimeona wakala wake kakanusha habari zilizosambaaArsenal are firm admirers of Italian youngster (and Football Manager wonderkid) Ibrahima Bamba. No bid placed but they’ve been tracking him for some time.
Other clubs in Premier League and beyond have Vitoria Guimaraes midfielder, 20, on their radar.
James Benge
Ila anakubali kuwa London japo anasema yeye anafanya kazi na watu tofauti tofauti na sio Bamba peke yake. Maneno yake yanatafakalisha ukiyarejea mara mbiliNimeona wakala wake kakanusha habari zilizosambaa
DTV channel... zamani, umenikumbusha enzi zile mpira wa bure bila hata king'amuzi. We funga ki antenna chako basi.Hiki kitimu cha 2000's
Nyie shabiki wengi wa Chelsea ni badobado sana......maana mmeanza kupenda soka miaka ya 2000 wengi mmezaliwa miaka ya 95 kwenda mbele...
Wakati huo sisi tupo tunaangalia hii EPL kwenye Local Channels kabla ya haya ma DSTV yenu ambayo yamewafumbua macho na kuwaleta katika ulimwengu wa kabumbu
Unaniita bwa mdogo ila kipindi unazaliwa mimi ndio nawatazama kina Dani Petrescu,Tole ande Flo,Gianfranco Zola,Didier Deschamps,Marcel Dersaily ,Gianlucca Viarri na wengineo wanakipiga hapo Chelsea na sijawahi kuvutiwa nao maana walikuwa midtable team nikachagua Chama la kweli Arsenal ..
The pride of London.
DID YOU KNOW!