Kama unafahamu maana ya project kuna kitu kinanitwa plan na una ruhusiwa kuweka plan A mpaka infinity ni wewe tu. Tumemkosa Mudy tumempata Tross na unajua alichofanya .Mimi kwangu naona project nzuri nikumpa coach wachezaji wake watao fiti kwenye mfumo wake tu.
Sio nyie mmechelewesha dili la mudryk mpaka yamewatokea yakuwatokea.
Kuwa kama pep tu omba hela kwa maboss sajili wachezaji watao kufaa hata mkienda nao msimu mmoja na mkabeba kombe sio mbaya kuliko kukaa miaka 19 bila kombe la ligi kama arsenal na miaka 10 kama Manchester bila kombe lolote huku tukijificha kwenye kimvuli kuwa tuna jenga timu.
Tujiulize Chelsea,Madrid,man city wanawezaje.
Ila sasa kama huna plan ndiyo hayo unanunua Spin doctor na Ghost baada ya kupanick.
Arsenal rejects AS Monaco’s approach to take Albert Sambi Lokonga on loan. Reports, @MailSport.



