BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Manchester wanawanga hapa wakisaidiwa na Chelsick khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
BTW Nadal amefanya vitu vyake kule Barcelona ..... ........ ...... ...... ....... ...... 6 titles
Nimemuona Nadal Mkuu lakini yule Djokovic anataka kumnyang'anya number. Mwaka huu kaanza vizuri sana anakarivibia kuvunja rekodi iliyowekwa 1986 ya kucheza mechi 25 bila kufungwa. Kama sikosei Djokocic ameshacheza mechi 23 hivyo anahitaji mechi 2 tu kutie that record na mechi tatu kuivunja kitu ambacho hata wakongwe akina Sampras na Agassi hawakuwahi kukifanya.