Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumebaki na DM mmoja Partey tu, Elneny kaumia Tena

Albert Sambi lokonga kwa wasiojua ,Bench la ufundi lilisema limegundua hafai kuwa DM Bali anafaa kuwa RCM au twaweza kusema Advanced no.8


Hivo tunatafuta DM wa muda mfupi wa kumsaidia Partey

Majina yanayotajwa ya haraka Ni

Onana wa Everton ambaye hata Mazoezini hataki kwenda

Zubimendi dili limekuwa gumu anataka kubaki Hadi mwisho wa msimu
 
Arsenal mna karibia miaka 20 sasa no kombe kwaiyo mlikuwa hamuweki project za wachezaji wadogo au mbona Chelsea tumeona ikifanikiwa pasipo project ndefu?
Tunazungumzia New Era after Wenger ,hata uwejezaji timu imebadilika

Arsenal ilikuwa haimilikiwi 100% na KSE,

2018 ndipo wameichukua kwa 100%

Na wameonesha Nia kubwa ya kuwekeza
 
Ok tuseme ni ya uwongo je kwani uwongo project yenu aina miaka 3 na sisi miezi 6?
Kuna tofauti kubwa Sana ,fatilia hizi factors kwanza

Kikosi alichokikuta Arteta Arsenal na Alichokikuta ETH man u ,cha man u Ni kizuri Sana

Dirisha la kwanza tu Arteta alipewa /£70m

ETH dirisha la kwanza kapewa €245m

Hadi Sasa toka Arteta afike Arsenal ametumia jumla ~€310m tu huku Ten hag ndani ya miezi 6 tu katumia €250m

Maswali yangu kwenu ,Je hii project yenu Ni short term au long term

Maana mihimili ya timu Wana 30+

Varane

Casemiro

Degea

Eriksen

Je huoni hii project haina miaka miwili mbele mtarudi mlikotoka?
 
Cedric Soares to Fulham kwa Mkopo

Watalipa mshahara wake wote £100k per week

Fulham expecting to complete 6 month loan deal for Cedric by the end of this week. Cottagers will cover his 100kpw wages. Marco Silva viewed him as a priority signing. More to follow on @ArsenalFC_fl soon
 
Fulham are close to complete signing of Cedric Soares from Arsenal by the end of the week ️ #FulhamFC

Understand it’d be a loan move until June, no buy option clause included. Fulham will cover his wages up to 100k/week #AFC

Talks at final stages, as @JamesOlley reported.
 
First game ya Arteta

Saka kama LB

Kambadilisha na kuwa mojawapo ya mawinga wakuogopwa

IMG-20230125-WA0024.jpg
 
️It's done.


Arsenal accepted the offer from @FulhamFC for Cédric Soares. Loan with no option to buy included. #Fulham will cover 100% of his wages. Contracts are being prepared and will be sign in the next hours.
 
Ok tuseme ni ya uwongo je kwani uwongo project yenu aina miaka 3 na sisi miezi 6?
Project yenu ilianza tangu enzi za van Gaal. Kwanini unahesabu miezi ya ten hag peke yake? Kwani project yenu ni kocha au ni timu?

Arsenal project ilianza na unai ingawa baadae arteta aliondoa wengi waliosajiliwa kipindi kile.
 
Nimeshangazwa na watu wanaodai Tierney auzwe July na wakiona White ni right back. Ben White alianza RB msimu huu kwa emergence tulikuwa nayo ya Tomiyasu kuwa majeruhi. Ben White ni CB na DM mwenye uwezo wa kuperform RB.

Tierney bado ni mchezaji muhimu katika timu na kwa miaka yote tumekuwa tukililia "Deep Squad", kikosi imara na bora kinakuwa na wachezaji wasiopishana uwezo sana na kwa kila nafasi.

Tomiyasu + New RB
Saliba + White
Gabriel + Kiwior
Zinchenko + Tierney

Tuungane kuwapiga vita wanaotaka kuona Tierney akiuzwa. Katika Msimu kuna mashindano manne lazima uwekeze katika deep 2 squad kuweza kushindana.
 
Nimeshangazwa na watu wanaodai Tierney auzwe July na wakiona White ni right back. Ben White alianza RB msimu huu kwa emergence tulikuwa nayo ya Tomiyasu kuwa majeruhi. Ben White ni CB na DM mwenye uwezo wa kuperform RB.

Tierney bado ni mchezaji muhumi katika timu na kwa miaka yote tumekuwa tukililia "Deep Squad", kikosi imara na bora kinakuwa na wachezaji wasiopishana uwezo sana na kwa kila nafasi.

Tomiyasu + New RB
Saliba + White
Gabriel + Kiwior
Zinchenko + Tierney

Tuungane kuwapiga vita wanaotaka kuona Tierney akiuzwa. Katika Msimu kuna mashindano manne lazima uwekeze katika deep 2 squad kuweza kushindana.
Ndugu hivi unadhani watu wanasema auzwe au Ni mahitaji ya timu yatamfanya auzwe?

Tierney kwa uwezo wake hawezi kuendelea kusugua benchi

Kumbuka Zinny na Tomiyasu Ni First priority linapokuja Swala la LB kwa Arsenal inavyocheza Sasa, hata KT mwenyewe alisema ana struggle kucheza hii role ya LB kuwa holding MD tofauti na Zinchenko au Tomiyasu ambao walishawahi kucheza hizo nafasi za Kiungo .

So huoni Kama Tierney kukaa bench na kuwa mchezaji wa Cups itamfanya aangalie sehemu nyingine?

Kumbuka Hata RB ambayo White amekuwa akicheza Bado Arteta anataka kuleta complete Inverted RB ,

Na bahati mbaya au nzuri Tomiyasu Bado anaweza kucheza hiyo RB , Kwahiyo White ana advantage ya katumika RB na CB mwalimu akimuhitaji .


Sio mashabiki wanataka auzwe ,ila nafasi ya KT kucheza imekuwa finyu ,hasa Baada ya Arteta kuacha kutumia LB Kama winger ,

Juzi hapa alitoka Martinel akaingia KT Kama winger ,na sio LB , hiyo Ni ishara taratibu Arteta anaachana na KT Kama LB Labda itokee Zinny na Tomiyasu injury ndio unamuona KT akipata nafasi LB ,

Zaidi ya hapo asubiri FA cup au Carabao ,

Hapo lazima atatafuta maisha kwingine , Labda Kama asiwe na tamaa Sana ya kuondoka.
 
Kuna tofauti kubwa Sana ,fatilia hizi factors kwanza

Kikosi alichokikuta Arteta Arsenal na Alichokikuta ETH man u ,cha man u Ni kizuri Sana

Dirisha la kwanza tu Arteta alipewa /£70m

ETH dirisha la kwanza kapewa €245m

Hadi Sasa toka Arteta afike Arsenal ametumia jumla ~€310m tu huku Ten hag ndani ya miezi 6 tu katumia €250m

Maswali yangu kwenu ,Je hii project yenu Ni short term au long term

Maana mihimili ya timu Wana 30+

Varane

Casemiro

Degea

Eriksen

Je huoni hii project haina miaka miwili mbele mtarudi mlikotoka?
Sisi tunavyoanza project tunataka na kushinda hapo hapo kama umemsikilaza kocha wetu anasema project inatakiwa iendane na ushindi ndani yake.

Sio kama Chelsea wanasema wako kwenye project lakini timu inazidi kufumuliwasisi hayo hatutaki ndo maana ukiangalia kwenye kikosi chetu kuna vijana kibao tu japo wanapewa nafasi kidogo kidogo ila ndo project yetu iyo.

Ni lazima tuandae project huku tunashinda na mechi zingine na tuna hakikisha tuna shiriki uefa ndo maana tuna mwaga na hela kusajili wachezaji wa kuingia moja kwa moja kwenye mfumo.

Uwezi anza kutegemea vijana wadogo moja kwa moja unakumbuka chenye kilikuwa kinawapata kipindi mnawatumia watoto kama chambers,Hector bellerin?
 
Can't pick a side man. Zubimendi simjui vizuri, kwenye viclip anaonekana class, hizi news zinachanganya mno.
Elneny kaumia ,Tumebaki na DM mmoja tu

Arteta anafanya press muda huu kuelekea mechi na mancity ijumaa anasema anahitaji DM ila soko la January Ni gumu

Tumehusishwa na

Weston Mckennie

Andre Onana

Zubimendi


Bench la ufundi lilikataa kumtumia Lokonga kama DM Labda tubanwe Sana , wanasema wanamuona Ni Advanced 8 kuliko kuwa DM.
 
Sisi tunavyoanza project tunataka na kushinda hapo hapo kama umemsikilaza kocha wetu anasema project inatakiwa iendane na ushindi ndani yake.

Sio kama Chelsea wanasema wako kwenye project lakini timu inazidi kufumuliwasisi hayo hatutaki ndo maana ukiangalia kwenye kikosi chetu kuna vijana kibao tu japo wanapewa nafasi kidogo kidogo ila ndo project yetu iyo.

Ni lazima tuandae project huku tunashinda na mechi zingine na tuna hakikisha tuna shiriki uefa ndo maana tuna mwaga na hela kusajili wachezaji wa kuingia moja kwa moja kwenye mfumo.

Uwezi anza kutegemea vijana wadogo moja kwa moja unakumbuka chenye kilikuwa kinawapata kipindi mnawatumia watoto kama chambers,Hector bellerin?
Shida yenu au ya huyu kocha wenu muoga Sana kuwapa nafasi watoto

Anaenda kusajiri CF Besikitas ,watu wanajiuliza je academy hakuna CF apewe nafasi

Ngoja tuone mwisho wake
 
Project yenu ilianza tangu enzi za van Gaal. Kwanini unahesabu miezi ya ten hag peke yake? Kwani project yenu ni kocha au ni timu?

Arsenal project ilianza na unai ingawa baadae arteta aliondoa wengi waliosajiliwa kipindi kile.
Naona mkuu umeamua kuacha kutumia akili yako tu ujui kwamba kila kocha anakuwa na wachezaji wake anao wataka unataka kuniambia project ya emery ndo ya arteta leo?
 
Cedric Soares to Fulham, on the verge of being completed as Arsenal are now checking final details then here we go ️ #Fulham #AFC

Loan until the end of the season;
No buy option clause in June;
Full salary covered by Fulham.

Marco Silva, key to complete the deal.
 
Shida yenu au ya huyu kocha wenu muoga Sana kuwapa nafasi watoto

Anaenda kusajiri CF Besikitas ,watu wanajiuliza je academy hakuna CF apewe nafasi

Ngoja tuone mwisho wake
Arsenal mlikuwa mkiwapa sana nafasi watoto tumeshuhudia mkikutana na nini?

Kwa takwimu arsenal ndo team kubwa kwa miaka ya karibuni kuchapwa goli nyingi inapokutana na wakubwa wenzie hata mechi mnayopigwa goli 6 na Chelsea nadhani ulijionea watoto wenu walifanya nini ile mechi.
 
Back
Top Bottom