Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tumebaki na DM mmoja Partey tu, Elneny kaumia Tena
Albert Sambi lokonga kwa wasiojua ,Bench la ufundi lilisema limegundua hafai kuwa DM Bali anafaa kuwa RCM au twaweza kusema Advanced no.8
Hivo tunatafuta DM wa muda mfupi wa kumsaidia Partey
Majina yanayotajwa ya haraka Ni
Onana wa Everton ambaye hata Mazoezini hataki kwenda
Zubimendi dili limekuwa gumu anataka kubaki Hadi mwisho wa msimu
Albert Sambi lokonga kwa wasiojua ,Bench la ufundi lilisema limegundua hafai kuwa DM Bali anafaa kuwa RCM au twaweza kusema Advanced no.8
Hivo tunatafuta DM wa muda mfupi wa kumsaidia Partey
Majina yanayotajwa ya haraka Ni
Onana wa Everton ambaye hata Mazoezini hataki kwenda
Zubimendi dili limekuwa gumu anataka kubaki Hadi mwisho wa msimu

️
️ #FulhamFC
️It's done.



Loan until the end of the season;