Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea hawajawh kumtaka Ferran Tores na hawajawah submit bid yeyote hayuko hata katika wachezaj wanaotakiwa.

Mchezaj pekee anayeweza fikiriwa kutoka barce tena ni kwa loan ni Kessie endapo sajil zikigoma kwa wachezaj tunaowatak

Priority ni Enzo n Caicedo
Priority nyingine Malo Gusto RB wa lyon

Fatilia mkuu.
Kiongozi wangu hizi mada za usodoaji achana nazo
 
Hebu kua na adabu basi japo kidogo kwa Caicedo.
Chelsea, Bayern Munich, PSG na Real Madrid wote wanamtolea udenda halafu Kima wewe unakuja kuuliza Caicedo ana profile gani?

Sasa wewe unataka kumfananisha Caicedo na huyo Kwiyo wenu mliyemuokota kwa eftatu? View attachment 2493807
We jamaa sijui kama huwa unafkiria vizuri kabla ya kuandika.
Naanza kuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.
 
KWANINI ARSENAL INAMUHITAJI IVAN FRESNEDA BEKI WA KULIA?


Arsenal wanamtaka Fresneda licha ya uwepo wa White, Tomiyasu na kipaji kinachokuja kwa kasi Brooks Norton-Cuffy.



Kwa maoni yangu ni kuwa ukimuangalia Zinchenko au Rico Lewis wa man city utapata jibu. Nafikir Arteta anapenda kucheza na inverted full back mmoja kama sio left back ni right back.

Ben White, Tomiyasu na Brooks hawawezi kucheza hiyo role vizuri. Fresneda anaonekana atamudu vizuri hiyo role.

Kwa maoni yangu, Sion Tierney akibaki msimu ujao. Ujio wa Kiwior na Tomiyasu kuweza kucheza left back ni tishio kwa maisha ya Tierney pale arsenal
 
Arsenal are in the lookout for a right-back and a midfielder. If Cédric leaves, a move for a right-back will happen. In midfield, they’re exploring options. Reports,


@FabrizioRomano on @podcastherewego.
 
Comparisons with Roberto Carlos at 8-years-old
Played alongside Sambi at Anderlecht
Discovered by same scout who found Milan Skriniar
Once cost just €10k
Tracked by Arsenal since last summer

This is JAKUB KIWIOR

@TheAthleticFC ️ #AFC
IMG-20230123-WA0078.jpg
 
Nyie matakataka naona mkamuosheya manjestaa 😂😂😂
Nyie tambeni tu wakati wenu umefika na unakaribiya wa kulia na kusaga meno
 
Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.
1674590029039.jpg
 
Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.View attachment 2494521
Kila mtu ashinde tu game zake, mwambie hivyo,, kwan tushamzoea kuropoka kwake,, nakumbuka huyu aliishawah kutoa mbov kuhusu xhaka

Bladifuckeni Henry

Yeye ni legend tu, atuachie timu yetu
 
Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.View attachment 2494521
Lete source

Najua hayo ni maneno ya De Gea
 
Back
Top Bottom